Aliyeanzisha usafiri wa mwendokasi sidhani kama alikuwa na mpango wa kuwatesa watanzania kiasi hiki

Aliyeanzisha usafiri wa mwendokasi sidhani kama alikuwa na mpango wa kuwatesa watanzania kiasi hiki

Kuanzia leo nitaenda K,koo na Mwendokasi ila nitarudi na Bajaj.
Sio kwa mateso ya leo. Nimeingia stand saa 11 jioni ila nimepanda gari saa moja tena kwa kurukia gari kama chui anaemdaka nyumbu
Aisee ivi kumbe na nyie wa kariakoo ni mateso mimi nilijua ni sisi wa posta tu
 
Population kubwa nayo tatizo kwenye nchi yenye uwezo mdogo wa teknolojia.
Population ipi sasa mtumish gari za mwendokas zinazofanya kazi hazifika hata kumi

Zingine zote zimepaki tu
 
Amani iwe nanyi watanzania

Sina uhakika huyu aliyeanzisha huu mradi wa mwendokas kama alikuwa na lengo na kutesa watanzania kiasi hiki

Na kama angejua watu watakuja kuteseka namna hii hakika asingeuanzisha

Utawala uliopo madarakani umeshindwa hata kusimamia huu mradi alafu wanataka tuwachague tena

Inauma sana kuongozwa kibabe namna hii na watu wasio na uwezo kuwa viongozi wa darasa la tano B

Mwendokas ni mateso jaman

MWENYEZI MUNGU mwenyewe aingilie huu ugomvi

LONDON BOY
Niliona abiria wanapigwa makofi kimara na walinzi eti hawajaunga foleni...kwakweli Daslamu kinachowaeka mjini ni mdomoo tu. Wananchi wa huko makondoo we wadinye unavyotaka sawa tu
 
Amani iwe nanyi watanzania

Sina uhakika huyu aliyeanzisha huu mradi wa mwendokas kama alikuwa na lengo na kutesa watanzania kiasi hiki

Na kama angejua watu watakuja kuteseka namna hii hakika asingeuanzisha

Utawala uliopo madarakani umeshindwa hata kusimamia huu mradi alafu wanataka tuwachague tena

Inauma sana kuongozwa kibabe namna hii na watu wasio na uwezo kuwa viongozi wa darasa la tano B

Mwendokas ni mateso jaman

MWENYEZI MUNGU mwenyewe aingilie huu ugomvi

LONDON BOY
Mungu amesikia kilio chenu atakifanyia kazi
 
Back
Top Bottom