Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
- Thread starter
- #21
Ni kweli mkuu kikubwa Nia tuSikuhizi hadi watu wa kipato cha chini kama wauza genge na bodaboda wanapeleka watoto english medium schools kwa pesa ya upatu na kikoba sembuse mtumishi wa serikali mwenye mshahara, posho, mianya ya rushwa na marupurupu