Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hii kibokoKichwa cha infinix, USB tecno, earphone samsung, simu Google pixel, cover la iphone.
Kinyonge sanaMi raum. Kujiamini kwako tuu barabarani.
Ukiwa na bilioni siwezi kuwa mnyonge kisa nina laki mana ndio halali yangu kwa wakati huu. Nilichonacho ndio chanipa kiburi mjiniKinyonge sana
Forester ni gari nzuri sanaWazee wa Fuji Heavy Industries.
Subaru kauli mbiu yao ni "Confidence in Motion".
Kweli ndo maana madereva waWapo sahihi kabisaa mkuu!!! Hapo kwenye confidence nimeamini sio uongo
Ukitaka hilux chuku vigo, ukichukua revo itakucost matengenezoMkuu RRONDO sijawahi kununua gari yoyote ila kwangu hilux huwa naitaman sana
Vigo na Revo zinatofauti gani? Naona maandishi tu sijui undani wake.Forester ni gari nzuri sana
Kweli ndo maana madereva wa
Ukitaka hilux chuku vigo, ukichukua revo itakucost matengenezo
Nikuelekeze uje u driveUlinunua mkuu naomba hata nipigie honi.aisee naipenda .ipo siku Tu Mungu atanibariki
Amesema umbali na muda zinaotumia, hajasema hp pekee, mahesabu ya weight to power tayari yamejumuishwa kwenye muda ziliotumia kufika hizo speed.Ume factor in weight ya L 200 vs weight ya Ford Ranger?
Weight to power ratio nayo inachangia kwenye mwendo.
Kuna LC 200 version ya USA, inamwaga moto vibaya sana..Kuifananisha 1VD ya LC200 na Ranger ni kama kuitusi. VX-R ina 260 kwenye dashboard mzee. Ford inakimbia ila mwisho wake ni 185KPH hata iende vipi na ndio maana ikikutwa na Hilux Revo au Bombardier lazma ikalishwe. Hilux inapiga 200kph kuifikia limiter.
Huyu mleta mada miyeyusho sana kumbe na ww umemsomaUko serious unatuanbia Subaru iko vizuri halafu unasema hakuna gari ya kuikalisha Mazda CX5, hii ya 2.2 diesel au kuna ingine? Vijana tafuteni magari muendeshe kabla ya kuja na conclusion.
Jamaa anazingua sana boxer ni box?😂😂😂😂 hajui kuwa piston zina enda horizontal and not upwards as othersNaijua vizuri boxer engine. Haiitwwi hivyo kwasababu iko kama box. Inaitwa hivyo kwasababu gari piston nne zi.epangwa mbili kulia mbili kushoto. The way zinazungusha engine ni kama mabondia wanarushiana ngumi hence the name boxer engine.