Tukiwa sehemu tambarare, gari yako ina maximum speed 280km/hr, na yangu ina maximum speed 260km/hr, na wote sehemu hiyo hatuwezi kuzidi spedi ya 180km/hr ambayo iko within range ya gari zetu. Nipe sababu ya kisayansi kwa nini useme gari mojawapo ya hizo mbli ni moto chini kuliko nyingine, kama hilo sio suala la dereva anaeiendesha. Nimeshawawashia moto watu na Benz zao mimi nikiwa na IST. Sikuona IST ni moto chini zaidi ya Benz, bali nilijua mimi ni dereva moto chini kuliko dereva wa Benz. Ndio maana hata mabasi Yutong kwa Yutong yanazidiana, kutegemea dereva!