Aliyebuni hizi engine za forester XT aishi milele huko aliko

Aliyebuni hizi engine za forester XT aishi milele huko aliko

Land cruiser Wana top trim gani zaidi?
Australia ndiyo mteja mkubwa wa magari ya Toyota hasa land cruiser lkn cha kushangaza hizo LC 300 zilitumika kwenye idara ya polisi Tu.
Kwa kifupi Hadi nashindwa kujua kwanini Toyota ili afanye biashara Kwa USA na Europe lazima abadilishe brand iwe LEXUS (japokiwa brand ya Toyota inakuwepo Kwa baadhi ya magari)
Ukitaja Lexus hiyo ni toyota, ni kama infinity na Nissan
 
Life bwana nimepambanaa wewe nimeishia kununua Pikipiki Sino ray 250cc used kwa mtu ,,wakati ndoto zilikua Polo GTI😁😁😁.

Anyway nafika ninapotaka ,ila wazee pikipiki riski sana ni vile sina namna lazima niwe na chombo wakati huu ila kila nikitoka dua na hofu nyingi balaa.
 
Life bwana nimepambanaa wewe nimeishia kununua Pikipiki Sino ray 250cc used kwa mtu ,,wakati ndoto zilikua Polo GTI😁😁😁.

Anyway nafika ninapotaka ,ila wazee pikipiki riski sana ni vile sina namna lazima niwe na chombo wakati huu ila kila nikitoka dua na hofu nyingi balaa.
😁😁😁😁😁😁Sino Ray zile copy za Honda DV na Honda Click...Ni huzuniii
 
madereva ambao wanapenda kutunisha misuli msijaribu kwa FORD RANGER hii ni habari nyingine,hii gari nahisi inaongoza Huko barabarani Kwa kumwaga moto maana kama V8 ilikuwa inakalishwa wewe ni Nani unataka kufata huu Moto?

Hadi namaliza safari yangu sijaona gari inakimbia kama ford ranger......
Ford ranger ni balaa ingine bwashee, Nissan Terra ilikimbiza mpaka ikasujudu yenyewe, zilikua DFPB za taasisi fulani tofauti 😀😀😀😀
 
Life bwana nimepambanaa wewe nimeishia kununua Pikipiki Sino ray 250cc used kwa mtu ,,wakati ndoto zilikua Polo GTI😁😁😁.

Anyway nafika ninapotaka ,ila wazee pikipiki riski sana ni vile sina namna lazima niwe na chombo wakati huu ila kila nikitoka dua na hofu nyingi balaa.
Mkuu tunashhukuru Kwa kila Jambo,tuzidi kuomba MUNGU tu
 
Life bwana nimepambanaa wewe nimeishia kununua Pikipiki Sino ray 250cc used kwa mtu ,,wakati ndoto zilikua Polo GTI😁😁😁.

Anyway nafika ninapotaka ,ila wazee pikipiki riski sana ni vile sina namna lazima niwe na chombo wakati huu ila kila nikitoka dua na hofu nyingi balaa.
Mkuu mimi siku ya kwanza naingia road na bike aloo sio kitoto ni nginja nginja kweli kweli
 
Kwenye safari niliyofanya kutoka DAR-DODOMA-SHINYANGA-MASWA-LAMADI HADI KISORYA nilifanya test ya kumwaga moto nione hii ndinga ikoje, aisee Subaru ni gari banaa asukuambie MTU.

Aliyebuni hizi boxer engine anastahili sifa maana kama hii nguvu iliyopo kwenye hizi engine ni balaa Sana maana Ngoma ilikuwa inapenda mlima kama inashuka vileee!!!

Kwenye overtaking inakupa kujiamini mno na niliweza kuovertake magari manne bila shida( mfumo wake wa sport na sport sharp# ni kama unaendesha fighter jets)
Kama mateso kuna madereva nimewatesa Sana njiani hasa wale wanaopenda ligi.

Compact crossover Ambazo ukizifuata unapotea ni Mazda CX5

....
mazda CX 5 zina balaa Sana hii gari ikikupita achana nayo usijaribu kuifuata maana Moto wake sijaona WA kuifananisha, Kwa segment ya crossover sijaona bado WA kuikalisha hii Mazda CX5

Ukiachana na land cruiser LC 200 na LC 300 kuna Prado TXL na Baba lao FORD RANGER hizi gari usijaribu kubishana nazo

madereva ambao wanapenda kutunisha misuli msijaribu kwa FORD RANGER hii ni habari nyingine,hii gari nahisi inaongoza Huko barabarani Kwa kumwaga moto maana kama V8 ilikuwa inakalishwa wewe ni Nani unataka kufata huu Moto?

Hadi namaliza safari yangu sijaona gari inakimbia kama ford ranger......

Kila kheri madereva!!!!!
Mkuu ina spidi ngapi?.
 
Back
Top Bottom