Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
Google ina kazi gani kwa vitu vidogo kama hiviSawa mwenye upeo mkubwa. LC top trim yake ni ipi na mie nijue?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Google ina kazi gani kwa vitu vidogo kama hiviSawa mwenye upeo mkubwa. LC top trim yake ni ipi na mie nijue?
Ukitaja Lexus hiyo ni toyota, ni kama infinity na NissanLand cruiser Wana top trim gani zaidi?
Australia ndiyo mteja mkubwa wa magari ya Toyota hasa land cruiser lkn cha kushangaza hizo LC 300 zilitumika kwenye idara ya polisi Tu.
Kwa kifupi Hadi nashindwa kujua kwanini Toyota ili afanye biashara Kwa USA na Europe lazima abadilishe brand iwe LEXUS (japokiwa brand ya Toyota inakuwepo Kwa baadhi ya magari)
SawaGoogle ina kazi gani kwa vitu vidogo kama hivi
Hawa ndo wanafanya jua kua kali..mkuu kemea sana huyo mpuuzi atakuletea mikosiAcha bangii basi
😁😁😁😁😁😁Sino Ray zile copy za Honda DV na Honda Click...Ni huzuniiiLife bwana nimepambanaa wewe nimeishia kununua Pikipiki Sino ray 250cc used kwa mtu ,,wakati ndoto zilikua Polo GTI😁😁😁.
Anyway nafika ninapotaka ,ila wazee pikipiki riski sana ni vile sina namna lazima niwe na chombo wakati huu ila kila nikitoka dua na hofu nyingi balaa.
Choko anazingua sana huyoHawa ndo wanafanya jua kua kali..mkuu kemea sana huyo mpuuzi atakuletea mikosi
Hapana kaka zile zinafanana na honda XL😁😁😁😁😁😁Sino Ray zile copy za Honda DV na Honda Click...Ni huzuniii
Mkuu Huzuni ,ila kwakweli kwa hapa naona atleast nitapanda tu nikiwa hai😁😁😁.😁😁😁😁😁😁Sino Ray zile copy za Honda DV na Honda Click...Ni huzuniii
moderator wapige banChoko anazingua sana huyo
Ford ranger ni balaa ingine bwashee, Nissan Terra ilikimbiza mpaka ikasujudu yenyewe, zilikua DFPB za taasisi fulani tofauti 😀😀😀😀madereva ambao wanapenda kutunisha misuli msijaribu kwa FORD RANGER hii ni habari nyingine,hii gari nahisi inaongoza Huko barabarani Kwa kumwaga moto maana kama V8 ilikuwa inakalishwa wewe ni Nani unataka kufata huu Moto?
Hadi namaliza safari yangu sijaona gari inakimbia kama ford ranger......
😆😆😆😆😆 Nikajua zile za kipemba,kama ile kubwa ni unyama inapigaga popsound kama bimmer.Hapana kaka zile zinafanana na honda XL
Mkuu tunashhukuru Kwa kila Jambo,tuzidi kuomba MUNGU tuLife bwana nimepambanaa wewe nimeishia kununua Pikipiki Sino ray 250cc used kwa mtu ,,wakati ndoto zilikua Polo GTI😁😁😁.
Anyway nafika ninapotaka ,ila wazee pikipiki riski sana ni vile sina namna lazima niwe na chombo wakati huu ila kila nikitoka dua na hofu nyingi balaa.
Mkuu mimi siku ya kwanza naingia road na bike aloo sio kitoto ni nginja nginja kweli kweliLife bwana nimepambanaa wewe nimeishia kununua Pikipiki Sino ray 250cc used kwa mtu ,,wakati ndoto zilikua Polo GTI😁😁😁.
Anyway nafika ninapotaka ,ila wazee pikipiki riski sana ni vile sina namna lazima niwe na chombo wakati huu ila kila nikitoka dua na hofu nyingi balaa.
Mkuu ina spidi ngapi?.Kwenye safari niliyofanya kutoka DAR-DODOMA-SHINYANGA-MASWA-LAMADI HADI KISORYA nilifanya test ya kumwaga moto nione hii ndinga ikoje, aisee Subaru ni gari banaa asukuambie MTU.
Aliyebuni hizi boxer engine anastahili sifa maana kama hii nguvu iliyopo kwenye hizi engine ni balaa Sana maana Ngoma ilikuwa inapenda mlima kama inashuka vileee!!!
Kwenye overtaking inakupa kujiamini mno na niliweza kuovertake magari manne bila shida( mfumo wake wa sport na sport sharp# ni kama unaendesha fighter jets)
Kama mateso kuna madereva nimewatesa Sana njiani hasa wale wanaopenda ligi.
Compact crossover Ambazo ukizifuata unapotea ni Mazda CX5
....mazda CX 5 zina balaa Sana hii gari ikikupita achana nayo usijaribu kuifuata maana Moto wake sijaona WA kuifananisha, Kwa segment ya crossover sijaona bado WA kuikalisha hii Mazda CX5
Ukiachana na land cruiser LC 200 na LC 300 kuna Prado TXL na Baba lao FORD RANGER hizi gari usijaribu kubishana nazo
madereva ambao wanapenda kutunisha misuli msijaribu kwa FORD RANGER hii ni habari nyingine,hii gari nahisi inaongoza Huko barabarani Kwa kumwaga moto maana kama V8 ilikuwa inakalishwa wewe ni Nani unataka kufata huu Moto?
Hadi namaliza safari yangu sijaona gari inakimbia kama ford ranger......
Kila kheri madereva!!!!!
180 TuMkuu ina spidi ngapi?.
Amin🙏Mkuu tunashhukuru Kwa kila Jambo,tuzidi kuomba MUNGU tu
IlikuajeMkuu mimi siku ya kwanza naingia road na bike aloo sio kitoto ni nginja nginja kweli kweli
Naam ,zile za kipemba bei mkasi sana used tu iliyo safi kyanzia 2.5M😆😆😆😆😆 Nikajua zile za kipemba,kama ile kubwa ni unyama inapigaga popsound kama bimmer.
Bila shaka ww mi muhayaSisi wenye Crown Royal Saloon tunaruhusiwa kucomment?