Aliyebuni hizi engine za forester XT aishi milele huko aliko

Aliyebuni hizi engine za forester XT aishi milele huko aliko

Kwenye safari niliyofanya kutoka DAR-DODOMA-SHINYANGA-MASWA-LAMADI HADI KISORYA nilifanya test ya kumwaga moto nione hii ndinga ikoje, aisee Subaru ni gari banaa asukuambie MTU.

Aliyebuni hizi boxer engine anastahili sifa maana kama hii nguvu iliyopo kwenye hizi engine ni balaa Sana maana Ngoma ilikuwa inapenda mlima kama inashuka vileee!!!

Kwenye overtaking inakupa kujiamini mno na niliweza kuovertake magari manne bila shida( mfumo wake wa sport na sport sharp# ni kama unaendesha fighter jets)
Kama mateso kuna madereva nimewatesa Sana njiani hasa wale wanaopenda ligi.

Compact crossover Ambazo ukizifuata unapotea ni Mazda CX5

....
mazda CX 5 zina balaa Sana hii gari ikikupita achana nayo usijaribu kuifuata maana Moto wake sijaona WA kuifananisha, Kwa segment ya crossover sijaona bado WA kuikalisha hii Mazda CX5

Ukiachana na land cruiser LC 200 na LC 300 kuna Prado TXL na Baba lao FORD RANGER hizi gari usijaribu kubishana nazo

madereva ambao wanapenda kutunisha misuli msijaribu kwa FORD RANGER hii ni habari nyingine,hii gari nahisi inaongoza Huko barabarani Kwa kumwaga moto maana kama V8 ilikuwa inakalishwa wewe ni Nani unataka kufata huu Moto?

Hadi namaliza safari yangu sijaona gari inakimbia kama ford ranger......

Kila kheri madereva!!!!!
Sasa mbona hueleweki, umeanza na Subaru umemaliza na ford ranger
 
Unaijua Jeep Wrangler Rubicon wewe ?
Acha mzaha .Huo ni moto wa kuotea mbali ,chuma zina strength ya ajabu kwa kuvuta ,kumove sehemu korofi ,stability na speed pia ,gari za kiume haswa na ni moja ya gari zenye v8 engine yenye fuel efficiency kubwa na ni luxurious at the same time , full package hiyo
Sifa ya strength na kupita sehemu korofi nakubaliana na wewe ila kwenye stability na mwendo nakataa. Jeep wrangler haikuundwa kwa ajili ya mwendo mkali labda umechanganya na jeep grand Cherokee.
Na pia jeep wrangler inakuja na engine ndogo ya 2.0l Turbo, engine kubwa ni 3.6L V6.
Jeep wrangler iko class moja na Land Cruiser 70 japo kwenye uimara Land Cruiser ni CHUMA cha pua
 
Unaijua Jeep Wrangler Rubicon wewe ?
Acha mzaha .Huo ni moto wa kuotea mbali ,chuma zina strength ya ajabu kwa kuvuta ,kumove sehemu korofi ,stability na speed pia ,gari za kiume haswa na ni moja ya gari zenye v8 engine yenye fuel efficiency kubwa na ni luxurious at the same time , full package hiyo
Nadhani unaonangelea uwezo wa eough terrain wakati watu wanaongelea speed. Make no mistake gari nying ambazo ziko designed na focus ya kupita barabara ngumu , kwenye speed si sana
 
Kuifananisha 1VD ya LC200 na Ranger ni kama kuitusi. VX-R ina 260 kwenye dashboard mzee. Ford inakimbia ila mwisho wake ni 185KPH hata iende vipi na ndio maana ikikutwa na Hilux Revo au Bombardier lazma ikalishwe. Hilux inapiga 200kph kuifikia limiter.
Huijui Ford Ranger. Halafu hio Hilux mnaikuza sana. Halafu zina madereva wanapenda sana ligi. Nishamnyoosha mmoja kutoka Same kuelekea Mombo niko na Crown na mwingine nishamnyoosha kuanzia kuanzia Bagamoyo Msata niko na VW. Yaani nikiiona Hilux na wanavyopenda ligi lazima nohakikishe Nastia adabu halafu namuacha ahangaike na Lori lake.
 
Tukiwa sehemu tambarare, gari yako ina maximum speed 280km/hr, na yangu ina maximum speed 260km/hr, na wote sehemu hiyo hatuwezi kuzidi spedi ya 180km/hr ambayo iko within range ya gari zetu. Nipe sababu ya kisayansi kwa nini useme gari mojawapo ya hizo mbli ni moto chini kuliko nyingine, kama hilo sio suala la dereva anaeiendesha. Nimeshawawashia moto watu na Benz zao mimi nikiwa na IST. Sikuona IST ni moto chini zaidi ya Benz, bali nilijua mimi ni dereva moto chini kuliko dereva wa Benz. Ndio maana hata mabasi Yutong kwa Yutong yanazidiana, kutegemea dereva!
Kuna moja inaweza kuwa na nguvu ya kutoka 0-100kph haraka kuliko ingine. Obvious hip itamuacha mwenzie.
 
Mkuu nimeshuhudia juzi ford ranger akimkanda V8 kama imesimama maana Ile ni ford ranger raptor ni hatari sana
Usisumbuke ipo Ford ranger ya 2020 2.2 Diesel ipo hapa Arusha mwambie aje na gari yake anayoiamini haya madudu ni mepesi sana..nilipokua naileta kutoka SA huko Mbeya tulikua na jamaa wana V 8 walikua wana Bendera ya Ubalozi wa DRC tulipofika Iringa nilipokua naweka mafuta walisema wataagiza Ranger kwa safari ndefu na Contact walichukua walikua hawajui kuwa Ford Ranger yupo hivi Road harafu balance ya kutosha..Jan hii ntaleta Mazda CX-5 za Petrol na Diesel ntaona moto wake Subaru ipo SH 9 kweli ni gari ila Ford ni moto mwingine..
 
Usisumbuke ipo Ford ranger ya 2020 2.2 Diesel ipo hapa Arusha mwambie aje na gari yake anayoiamini haya madudu ni mepesi sana..nilipokua naileta kutoka SA huko Mbeya tulikua na jamaa wana V 8 walikua wana Bendera ya Ubalozi wa DRC tulipofika Iringa nilipokua naweka mafuta walisema wataagiza Ranger kwa safari ndefu na Contact walichukua walikua hawajui kuwa Ford Ranger yupo hivi Road harafu balance ya kutosha..Jan hii ntaleta Mazda CX-5 za Petrol na Diesel ntaona moto wake Subaru ipo SH 9 kweli ni gari ila Ford ni moto mwingine..
V8 ipi?
 
Kwenye safari niliyofanya kutoka DAR-DODOMA-SHINYANGA-MASWA-LAMADI HADI KISORYA nilifanya test ya kumwaga moto nione hii ndinga ikoje, aisee Subaru ni gari banaa asukuambie MTU.

Aliyebuni hizi boxer engine anastahili sifa maana kama hii nguvu iliyopo kwenye hizi engine ni balaa Sana maana Ngoma ilikuwa inapenda mlima kama inashuka vileee!!!

Kwenye overtaking inakupa kujiamini mno na niliweza kuovertake magari manne bila shida( mfumo wake wa sport na sport sharp# ni kama unaendesha fighter jets)
Kama mateso kuna madereva nimewatesa Sana njiani hasa wale wanaopenda ligi.

Compact crossover Ambazo ukizifuata unapotea ni Mazda CX5

....
mazda CX 5 zina balaa Sana hii gari ikikupita achana nayo usijaribu kuifuata maana Moto wake sijaona WA kuifananisha, Kwa segment ya crossover sijaona bado WA kuikalisha hii Mazda CX5

Ukiachana na land cruiser LC 200 na LC 300 kuna Prado TXL na Baba lao FORD RANGER hizi gari usijaribu kubishana nazo

madereva ambao wanapenda kutunisha misuli msijaribu kwa FORD RANGER hii ni habari nyingine,hii gari nahisi inaongoza Huko barabarani Kwa kumwaga moto maana kama V8 ilikuwa inakalishwa wewe ni Nani unataka kufata huu Moto?

Hadi namaliza safari yangu sijaona gari inakimbia kama ford ranger......

Kila kheri madereva!!!!!
Ahsante kwa review ya zaidi ya gari tatu
 
1000007840.jpg
 
Back
Top Bottom