Aliyebuni hizi engine za forester XT aishi milele huko aliko

Aliyebuni hizi engine za forester XT aishi milele huko aliko

Mkuu unataka kuniambia premio anaweza kumpita mwenye crown? Hata uwe dereva WA formula 1 bado hautaweza...gari yenye performance kubwa ndiyo kilakitu
Tukiwa sehemu tambarare, gari yako ina maximum speed 280km/hr, na yangu ina maximum speed 260km/hr, na wote sehemu hiyo hatuwezi kuzidi spedi ya 180km/hr ambayo iko within range ya gari zetu. Nipe sababu ya kisayansi kwa nini useme gari mojawapo ya hizo mbli ni moto chini kuliko nyingine, kama hilo sio suala la dereva anaeiendesha. Nimeshawawashia moto watu na Benz zao mimi nikiwa na IST. Sikuona IST ni moto chini zaidi ya Benz, bali nilijua mimi ni dereva moto chini kuliko dereva wa Benz. Ndio maana hata mabasi Yutong kwa Yutong yanazidiana, kutegemea dereva!
 
Tukiwa sehemu tambarare, gari yako ina maximum speed 280km/hr, na yangu ina maximum speed 260km/hr, na wote sehemu hiyo hatuwezi kuzidi spedi ya 180km/hr ambayo iko within range ya gari zetu. Nipe sababu ya kisayansi kwa nini useme gari mojawapo ya hizo mbli ni moto chini kuliko nyingine, kama hilo sio suala la dereva anaeiendesha. Nimeshawawashia moto watu na Benz zao mimi nikiwa na IST. Sikuona IST ni moto chini zaidi ya Benz, bali nilijua mimi ni dereva moto chini kuliko dereva wa Benz. Ndio maana hata mabasi Yutong kwa Yutong yanazidiana, kutegemea dereva!
Kwenye udereva mahiri upo Sahihi kabisaa hasa Kwa dereva ambaye ananusa hatari na anayeweza kupiga hesabu nzuri za barabarani..
 
Toyota LC 300 series, 2024 latest model
Engine: DOHC V6 Cyl. - TWIN TURBO 24V, EFI, DUAL VVTi, 3445 cc, Power HP: 409, Torque KgM: 66.2, Cooling system: liquid
Fuel: Unleaded gasoline / 110 l (dual)
Transmission: 10- A/T multy mode, 4WD Full time
Suspension: Front: DBL Wisbone (IND), Rear: 4 link
Dimensions: 5130 x 1980 x 1945 mm
Ground clearance: 235 mm
Wheelbase: 2850 mm
Safety: Five-star safety rating from the Australasian New Car Assessment Program (ANCAP)
Convenience and safety features: 220V power outlet, cruise control, and front and rear door courtesy lamps
Transmission: Newly developed AJAOF 10-speed automatic transmission

Hii gari achana nayo kabisa that Power 409 HP under the hood ni hatari sanaa, barabarani ni kama ndege imekupita..!! Nikikuacha hutaniona tena..!! Top speed 260km/hr, tofauti na BMW or Range Rover ni kwamba LC 300 is very very powerful, yaani kama matairi hayagusi chini, and very very stable barabarani, usipokuwa makini unakuta uko 220km/hr ila gari iko very very stable na utadhania hukimbii sana maana utaona unapita gari zingine kama zimesimama tu, ni kuwa makini sana ukiwa unaendesha LC 300

You need to pimp with Liberty Walk body kit, hatari sana kama hii 👇, hii gari acheni kabisa, but you need to pimp it upate ladha yake View attachment 3190313

Or Wald Body KityView attachment 3190317
Hii inauzwaje?
 
Exactly! Mi napenda nikisafiri ni enjoy mazingira, mwendo wa kawaida speed 100, 120 ukinyoosha sana mguu 140
Mkuu hiyo ndiyo speed tunatembea Madereva wote kwasababu ya miundombinu yetu pamoja na speed limit ya speed 50 pamoja zebra, hata hiyo speed 140 utatembea sehemu chache Sana lazima ukutane na kona Kali au malori mbele yako
 
Jeep wrangler sio gari ya kukimbia sana kama ilivyo cruiser hardtop.
Unaijua Jeep Wrangler Rubicon wewe ?
Acha mzaha .Huo ni moto wa kuotea mbali ,chuma zina strength ya ajabu kwa kuvuta ,kumove sehemu korofi ,stability na speed pia ,gari za kiume haswa na ni moja ya gari zenye v8 engine yenye fuel efficiency kubwa na ni luxurious at the same time , full package hiyo
 
Back
Top Bottom