PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
- Thread starter
- #121
Sio chini ya milioni 40Inaenda bei gani mkuu?
Au ndo maana asilimia kubwa ni za serikali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio chini ya milioni 40Inaenda bei gani mkuu?
Au ndo maana asilimia kubwa ni za serikali
Mkuu unataka kuniambia premio anaweza kumpita mwenye crown? Hata uwe dereva WA formula 1 bado hautaweza...gari yenye performance kubwa ndiyo kilakituHivi, suala la Ford, au Subaru kukimbia na kuwapita wengine, ni suala la gari au dereva wa hiyo gari? Tuanzie hapo kwanza.
Tukiwa sehemu tambarare, gari yako ina maximum speed 280km/hr, na yangu ina maximum speed 260km/hr, na wote sehemu hiyo hatuwezi kuzidi spedi ya 180km/hr ambayo iko within range ya gari zetu. Nipe sababu ya kisayansi kwa nini useme gari mojawapo ya hizo mbli ni moto chini kuliko nyingine, kama hilo sio suala la dereva anaeiendesha. Nimeshawawashia moto watu na Benz zao mimi nikiwa na IST. Sikuona IST ni moto chini zaidi ya Benz, bali nilijua mimi ni dereva moto chini kuliko dereva wa Benz. Ndio maana hata mabasi Yutong kwa Yutong yanazidiana, kutegemea dereva!Mkuu unataka kuniambia premio anaweza kumpita mwenye crown? Hata uwe dereva WA formula 1 bado hautaweza...gari yenye performance kubwa ndiyo kilakitu
Kwenye udereva mahiri upo Sahihi kabisaa hasa Kwa dereva ambaye ananusa hatari na anayeweza kupiga hesabu nzuri za barabarani..Tukiwa sehemu tambarare, gari yako ina maximum speed 280km/hr, na yangu ina maximum speed 260km/hr, na wote sehemu hiyo hatuwezi kuzidi spedi ya 180km/hr ambayo iko within range ya gari zetu. Nipe sababu ya kisayansi kwa nini useme gari mojawapo ya hizo mbli ni moto chini kuliko nyingine, kama hilo sio suala la dereva anaeiendesha. Nimeshawawashia moto watu na Benz zao mimi nikiwa na IST. Sikuona IST ni moto chini zaidi ya Benz, bali nilijua mimi ni dereva moto chini kuliko dereva wa Benz. Ndio maana hata mabasi Yutong kwa Yutong yanazidiana, kutegemea dereva!
Hii inauzwaje?Toyota LC 300 series, 2024 latest model
Engine: DOHC V6 Cyl. - TWIN TURBO 24V, EFI, DUAL VVTi, 3445 cc, Power HP: 409, Torque KgM: 66.2, Cooling system: liquid
Fuel: Unleaded gasoline / 110 l (dual)
Transmission: 10- A/T multy mode, 4WD Full time
Suspension: Front: DBL Wisbone (IND), Rear: 4 link
Dimensions: 5130 x 1980 x 1945 mm
Ground clearance: 235 mm
Wheelbase: 2850 mm
Safety: Five-star safety rating from the Australasian New Car Assessment Program (ANCAP)
Convenience and safety features: 220V power outlet, cruise control, and front and rear door courtesy lamps
Transmission: Newly developed AJAOF 10-speed automatic transmission
Hii gari achana nayo kabisa that Power 409 HP under the hood ni hatari sanaa, barabarani ni kama ndege imekupita..!! Nikikuacha hutaniona tena..!! Top speed 260km/hr, tofauti na BMW or Range Rover ni kwamba LC 300 is very very powerful, yaani kama matairi hayagusi chini, and very very stable barabarani, usipokuwa makini unakuta uko 220km/hr ila gari iko very very stable na utadhania hukimbii sana maana utaona unapita gari zingine kama zimesimama tu, ni kuwa makini sana ukiwa unaendesha LC 300
You need to pimp with Liberty Walk body kit, hatari sana kama hii 👇, hii gari acheni kabisa, but you need to pimp it upate ladha yake View attachment 3190313
Or Wald Body KityView attachment 3190317
Kwenye udereva mahiri upo Sahihi kabisaa hasa Kwa dereva ambaye ananusa hatari na anayeweza kupiga hesabu nzuri za barabarani..
Nyinyi mnyongwe mpaka mfeeSisi wenye Crown Royal Saloon tunaruhusiwa kucomment?
Kiajana upo serious kweli, hata hiyo lc 300 ulishawahi kuigusa achilia mbali kuipanda?Toyota na stability hawakai sentence moja hasa hasa ukishahusisha magari ya mzungu. LC300 is just another Toyota.
Lakini dereva si yuko fresh tu?!Kuna BMW hii ilikuwa mwendo wa ngiri sauzi huko imepiga mzinga mpaka ikakatika, sijui ilikuwa spidi ngapi
View attachment 3190282
View attachment 3190288
Tunampima Mjapan mkuu. Ndo akili zetu hizi tena, hakuna namna.Mnakuwa mnakimbilia wapi ndugu zangu, mnakuwa mnawahi nini huko muendapo mpaka mnamaliza sahani??
Watu 7 akiwemo na dereva walipoteza maishaLakini dereva si yuko fresh tu?!
Mshahara wa spidi kali?!Watu 7 akiwemo na dereva walipoteza maisha
Jeep wrangler sio gari ya kukimbia sana kama ilivyo cruiser hardtop.Dogo acha ushamba wa kif
Dogo acha ushamba wa kisukuma , siku ukiendesha chuma cha pua kama Jeep wrangler si ndio utakufuru kabisa wewe ?, maana hizo zote unazoziita gari ni takataka mbele ya Jeep wrangler katika kila angle
450 Millions pamoja na kodiHii inauzwaje?
Exactly! Mi napenda nikisafiri ni enjoy mazingira, mwendo wa kawaida speed 100, 120 ukinyoosha sana mguu 140Raha ya safari na private ni kienjoy safari na kuangalia mazingira kwa upande wangu sijawai ona raha ya kukimbia na magari
Ngoja nione kama naweza kuvuta huu mkoko mwaka huu 2025450 Millions pamoja na kodi
Mkuu hiyo ndiyo speed tunatembea Madereva wote kwasababu ya miundombinu yetu pamoja na speed limit ya speed 50 pamoja zebra, hata hiyo speed 140 utatembea sehemu chache Sana lazima ukutane na kona Kali au malori mbele yakoExactly! Mi napenda nikisafiri ni enjoy mazingira, mwendo wa kawaida speed 100, 120 ukinyoosha sana mguu 140
Tafta ugomvi na serikali tuNgoja nione kama naweza kuvuta huu mkoko mwaka huu 2025
Unaijua Jeep Wrangler Rubicon wewe ?Jeep wrangler sio gari ya kukimbia sana kama ilivyo cruiser hardtop.