PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
- Thread starter
- #101
Mkuu funguka Tu kuhusu madhaifu ya Subaru maana kila gari ina changamoto zakeNatamani niseme..hizo XT hapana aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu funguka Tu kuhusu madhaifu ya Subaru maana kila gari ina changamoto zakeNatamani niseme..hizo XT hapana aisee
Ukifariki uje na hapa kuandika...Kwenye safari niliyofanya kutoka DAR-DODOMA-SHINYANGA-MASWA-LAMADI HADI KISORYA nilifanya test ya kumwaga moto nione hii ndinga ikoje, aisee Subaru ni gari banaa asukuambie MTU.
Aliyebuni hizi boxer engine anastahili sifa maana kama hii nguvu iliyopo kwenye hizi engine ni balaa Sana maana Ngoma ilikuwa inapenda mlima kama inashuka vileee!!!
Kwenye overtaking inakupa kujiamini mno na niliweza kuovertake magari manne bila shida( mfumo wake wa sport na sport sharp# ni kama unaendesha fighter jets)
Kama mateso kuna madereva nimewatesa Sana njiani hasa wale wanaopenda ligi.
Compact crossover Ambazo ukizifuata unapotea ni Mazda CX5
....mazda CX 5 zina balaa Sana hii gari ikikupita achana nayo usijaribu kuifuata maana Moto wake sijaona WA kuifananisha, Kwa segment ya crossover sijaona bado WA kuikalisha hii Mazda CX5
Ukiachana na land cruiser LC 200 na LC 300 kuna Prado TXL na Baba lao FORD RANGER hizi gari usijaribu kubishana nazo
madereva ambao wanapenda kutunisha misuli msijaribu kwa FORD RANGER hii ni habari nyingine,hii gari nahisi inaongoza Huko barabarani Kwa kumwaga moto maana kama V8 ilikuwa inakalishwa wewe ni Nani unataka kufata huu Moto?
Hadi namaliza safari yangu sijaona gari inakimbia kama ford ranger......
Kila kheri madereva!!!!!
Sio kwa ubaya,Linaenda na mleta mada yupo sahihi kwa uwezo wake.Subaru XT ,EYESITE.Mkuu funguka Tu kuhusu madhaifu ya Subaru maana kila gari ina changamoto zake
Kumbe wewe ni wa chisorya,Kwenye safari niliyofanya kutoka DAR-DODOMA-SHINYANGA-MASWA-LAMADI HADI KISORYA nilifanya test ya kumwaga moto nione hii ndinga ikoje, aisee Subaru ni gari banaa asukuambie MTU.
Aliyebuni hizi boxer engine anastahili sifa maana kama hii nguvu iliyopo kwenye hizi engine ni balaa Sana maana Ngoma ilikuwa inapenda mlima kama inashuka vileee!!!
Kwenye overtaking inakupa kujiamini mno na niliweza kuovertake magari manne bila shida( mfumo wake wa sport na sport sharp# ni kama unaendesha fighter jets)
Kama mateso kuna madereva nimewatesa Sana njiani hasa wale wanaopenda ligi.
Compact crossover Ambazo ukizifuata unapotea ni Mazda CX5
....mazda CX 5 zina balaa Sana hii gari ikikupita achana nayo usijaribu kuifuata maana Moto wake sijaona WA kuifananisha, Kwa segment ya crossover sijaona bado WA kuikalisha hii Mazda CX5
Ukiachana na land cruiser LC 200 na LC 300 kuna Prado TXL na Baba lao FORD RANGER hizi gari usijaribu kubishana nazo
madereva ambao wanapenda kutunisha misuli msijaribu kwa FORD RANGER hii ni habari nyingine,hii gari nahisi inaongoza Huko barabarani Kwa kumwaga moto maana kama V8 ilikuwa inakalishwa wewe ni Nani unataka kufata huu Moto?
Hadi namaliza safari yangu sijaona gari inakimbia kama ford ranger......
Kila kheri madereva!!!!!
Ringtones za Nokia 😂Kichwa cha infinix, USB tecno, earphone samsung, simu Google pixel, cover la iphone.
Hapana mkuu, Mimi nilivuka hapo KISORYA Hadi ukerewe.Kumbe wewe ni wa chisorya,
Hatari sana 😂Ringtones za Nokia 😂
Inaenda bei gani mkuu?Aisee hiyo gari itabidi ujipange kwelikweli maana bei yake hata used za bongo bado ni juu mno
Ila naskia bei yake imechangamka sanaHio gari ukinunua mpya unazeeka nayo bila usumbufu.
Piga block hiyo mbwa isikuzoee zoeeHuyo jamaa ni papai
kwani mmeshapita MIkese?Kwenye safari niliyofanya kutoka DAR-DODOMA-SHINYANGA-MASWA-LAMADI HADI KISORYA nilifanya test ya kumwaga moto nione hii ndinga ikoje, aisee Subaru ni gari banaa asukuambie MTU.
Aliyebuni hizi boxer engine anastahili sifa maana kama hii nguvu iliyopo kwenye hizi engine ni balaa Sana maana Ngoma ilikuwa inapenda mlima kama inashuka vileee!!!
Kwenye overtaking inakupa kujiamini mno na niliweza kuovertake magari manne bila shida( mfumo wake wa sport na sport sharp# ni kama unaendesha fighter jets)
Kama mateso kuna madereva nimewatesa Sana njiani hasa wale wanaopenda ligi.
Compact crossover Ambazo ukizifuata unapotea ni Mazda CX5
....mazda CX 5 zina balaa Sana hii gari ikikupita achana nayo usijaribu kuifuata maana Moto wake sijaona WA kuifananisha, Kwa segment ya crossover sijaona bado WA kuikalisha hii Mazda CX5
Ukiachana na land cruiser LC 200 na LC 300 kuna Prado TXL na Baba lao FORD RANGER hizi gari usijaribu kubishana nazo
madereva ambao wanapenda kutunisha misuli msijaribu kwa FORD RANGER hii ni habari nyingine,hii gari nahisi inaongoza Huko barabarani Kwa kumwaga moto maana kama V8 ilikuwa inakalishwa wewe ni Nani unataka kufata huu Moto?
Hadi namaliza safari yangu sijaona gari inakimbia kama ford ranger......
Kila kheri madereva!!!!!
Silagi machokowPapai linataka kuliwa au unalila shekhe 😅😅
Kwenye safari niliyofanya kutoka DAR-DODOMA-SHINYANGA-MASWA-LAMADI HADI KISORYA nilifanya test ya kumwaga moto nione hii ndinga ikoje, aisee Subaru ni gari banaa asukuambie MTU.
Aliyebuni hizi boxer engine anastahili sifa maana kama hii nguvu iliyopo kwenye hizi engine ni balaa Sana maana Ngoma ilikuwa inapenda mlima kama inashuka vileee!!!
Kwenye overtaking inakupa kujiamini mno na niliweza kuovertake magari manne bila shida( mfumo wake wa sport na sport sharp# ni kama unaendesha fighter jets)
Kama mateso kuna madereva nimewatesa Sana njiani hasa wale wanaopenda ligi.
Compact crossover Ambazo ukizifuata unapotea ni Mazda CX5
....mazda CX 5 zina balaa Sana hii gari ikikupita achana nayo usijaribu kuifuata maana Moto wake sijaona WA kuifananisha, Kwa segment ya crossover sijaona bado WA kuikalisha hii Mazda CX5
Ukiachana na land cruiser LC 200 na LC 300 kuna Prado TXL na Baba lao FORD RANGER hizi gari usijaribu kubishana nazo
madereva ambao wanapenda kutunisha misuli msijaribu kwa FORD RANGER hii ni habari nyingine,hii gari nahisi inaongoza Huko barabarani Kwa kumwaga moto maana kama V8 ilikuwa inakalishwa wewe ni Nani unataka kufata huu Moto?
Hadi namaliza safari yangu sijaona gari inakimbia kama ford ranger......
Kila kheri madereva!!!!!
Huyo papai sio mshangazi😅😅 Mshangazi umezimika na mnyamwezi
Hio Raptor labda kama sio zile za Ki sauzi Afirika😄 zilizojaa bongo. Ford limiter yake ni 185KPH afurukuti zaidi ya hapo. Mwanzo atamkacha yoyote wanaeanza nae mbio ila gari zote zikiwa kwenye final gears anaachwa especially kama ubao wa gari ni zaidi ya 200kphMkuu nimeshuhudia juzi ford ranger akimkanda V8 kama imesimama maana Ile ni ford ranger raptor ni hatari sana
😁😁😁😁😁😁Subaru forester XT 2009
Engine za forester zinaitwa boxer kutokana na mfumo wake kuwa horizontal hata ukifungua bonnet unaona namna engine ilivyokuwa kama box
Hivi Mazda ina uspesheli gani ile gari, sijawahi kuisikia kwenye mentions za sporty cars ila bongo ishapewa taji!?😄Uko serious unatuanbia Subaru iko vizuri halafu unasema hakuna gari ya kuikalisha Mazda CX5, hii ya 2.2 diesel au kuna ingine? Vijana tafuteni magari muendeshe kabla ya kuja na conclusion.
Atakuwa alifuta kisahani, chuma ikaagana na nyonga😁Nimeona jamaa wengine wanasema ni M8 Competition spidi mpaka 330 sasa sijui qlifuta yoteView attachment 3190302
They used to be boring but sio kwa 300 series. Try that machine ili uje uongelee uhalisia.Toyota na stability hawakai sentence moja hasa hasa ukishahusisha magari ya mzungu. LC300 is just another Toyota.
Hivi, suala la Ford, au Subaru kukimbia na kuwapita wengine, ni suala la gari au dereva wa hiyo gari? Tuanzie hapo kwanza.Kwenye safari niliyofanya kutoka DAR-DODOMA-SHINYANGA-MASWA-LAMADI HADI KISORYA nilifanya test ya kumwaga moto nione hii ndinga ikoje, aisee Subaru ni gari banaa asukuambie MTU.
Aliyebuni hizi boxer engine anastahili sifa maana kama hii nguvu iliyopo kwenye hizi engine ni balaa Sana maana Ngoma ilikuwa inapenda mlima kama inashuka vileee!!!
Kwenye overtaking inakupa kujiamini mno na niliweza kuovertake magari manne bila shida( mfumo wake wa sport na sport sharp# ni kama unaendesha fighter jets)
Kama mateso kuna madereva nimewatesa Sana njiani hasa wale wanaopenda ligi.
Compact crossover Ambazo ukizifuata unapotea ni Mazda CX5
....mazda CX 5 zina balaa Sana hii gari ikikupita achana nayo usijaribu kuifuata maana Moto wake sijaona WA kuifananisha, Kwa segment ya crossover sijaona bado WA kuikalisha hii Mazda CX5
Ukiachana na land cruiser LC 200 na LC 300 kuna Prado TXL na Baba lao FORD RANGER hizi gari usijaribu kubishana nazo
madereva ambao wanapenda kutunisha misuli msijaribu kwa FORD RANGER hii ni habari nyingine,hii gari nahisi inaongoza Huko barabarani Kwa kumwaga moto maana kama V8 ilikuwa inakalishwa wewe ni Nani unataka kufata huu Moto?
Hadi namaliza safari yangu sijaona gari inakimbia kama ford ranger......
Kila kheri madereva!!!!!