Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu mnatafuta vifo. Mi gari yangu ina 260 but huwa sivuki 160, pole sana, unajua miundombinu yetu hairuhusu hizo spidiKuna ford ranger iliwahi kunipita nikiwa around 170km/hr aisee kwanza nilistukia hii hapa kwenye side mirror na ilikuwa ni flat terrain lakini ili disappear si zaidi ya dakika 1 wakati barabara ilikuwa imenyoooka
Kwenye safari niliyofanya kutoka DAR-DODOMA-SHINYANGA-MASWA-LAMADI HADI KISORYA nilifanya test ya kumwaga moto nione hii ndinga ikoje, aisee Subaru ni gari banaa asukuambie MTU.
Aliyebuni hizi boxer engine anastahili sifa maana kama hii nguvu iliyopo kwenye hizi engine ni balaa Sana maana Ngoma ilikuwa inapenda mlima kama inashuka vileee!!!
Kwenye overtaking inakupa kujiamini mno na niliweza kuovertake magari manne bila shida( mfumo wake wa sport na sport sharp# ni kama unaendesha fighter jets)
Kama mateso kuna madereva nimewatesa Sana njiani hasa wale wanaopenda ligi.
Compact crossover Ambazo ukizifuata unapotea ni Mazda CX5
....mazda CX 5 zina balaa Sana hii gari ikikupita achana nayo usijaribu kuifuata maana Moto wake sijaona WA kuifananisha, Kwa segment ya crossover sijaona bado WA kuikalisha hii Mazda CX5
Ukiachana na land cruiser LC 200 na LC 300 kuna Prado TXL na Baba lao FORD RANGER hizi gari usijaribu kubishana nazo
madereva ambao wanapenda kutunisha misuli msijaribu kwa FORD RANGER hii ni habari nyingine,hii gari nahisi inaongoza Huko barabarani Kwa kumwaga moto maana kama V8 ilikuwa inakalishwa wewe ni Nani unataka kufata huu Moto?
Hadi namaliza safari yangu sijaona gari inakimbia kama ford ranger......
Kila kheri madereva!!!!!
Barabara za south unamaliza sahani la speed 260 bila shida ndiyo maana ajali zake lazima gari ikatike vipandeKuna BMW hii ilikuwa mwendo wa ngiri sauzi huko imepiga mzinga mpaka ikakatika, sijui ilikuwa spidi ngapi
View attachment 3190282
View attachment 3190288
Nimeona jamaa wengine wanasema ni M8 Competition spidi mpaka 330 sasa sijui qlifuta yoteBarabara za south unamaliza sahani la speed 260 bila shida ndiyo maana ajali zake lazima gari ikatike vipande
Toyota na stability hawakai sentence moja hasa hasa ukishahusisha magari ya mzungu. LC300 is just another Toyota.Toyota LC 300 series, 2024 latest model
Engine: DOHC V6 Cyl. - TWIN TURBO 24V, EFI, DUAL VVTi, 3445 cc, Power HP: 409, Torque KgM: 66.2, Cooling system: liquid
Fuel: Unleaded gasoline / 110 l (dual)
Transmission: 10- A/T multy mode, 4WD Full time
Suspension: Front: DBL Wisbone (IND), Rear: 4 link
Dimensions: 5130 x 1980 x 1945 mm
Ground clearance: 235 mm
Wheelbase: 2850 mm
Safety: Five-star safety rating from the Australasian New Car Assessment Program (ANCAP)
Convenience and safety features: 220V power outlet, cruise control, and front and rear door courtesy lamps
Transmission: Newly developed AJAOF 10-speed automatic transmission
Hii gari achana nayo kabisa that Power 409 HP under the hood ni hatari sanaa, barabarani ni kama ndege imekupita..!! Nikikuacha hutaniona tena..!! Top speed 260km/hr, tofauti na BMW or Range Rover ni kwamba LC 300 is very very powerful, yaani kama matairi hayagusi chini, and very very stable barabarani, usipokuwa makini unakuta uko 220km/hr ila gari iko very very stable na utadhania hukimbii sana maana utaona unapita gari zingine kama zimesimama tu, ni kuwa makini sana ukiwa unaendesha LC 300
Toyota kwenye LC 300 ameboresha kiasi kikubwa kwenye transmission, series za LC walikuwa wanaishia kwenye 6 speed transmission lkn kwenye lc300 wametisha SanaToyota LC 300 series, 2024 latest model
Engine: DOHC V6 Cyl. - TWIN TURBO 24V, EFI, DUAL VVTi, 3445 cc, Power HP: 409, Torque KgM: 66.2, Cooling system: liquid
Fuel: Unleaded gasoline / 110 l (dual)
Transmission: 10- A/T multy mode, 4WD Full time
Suspension: Front: DBL Wisbone (IND), Rear: 4 link
Dimensions: 5130 x 1980 x 1945 mm
Ground clearance: 235 mm
Wheelbase: 2850 mm
Safety: Five-star safety rating from the Australasian New Car Assessment Program (ANCAP)
Convenience and safety features: 220V power outlet, cruise control, and front and rear door courtesy lamps
Transmission: Newly developed AJAOF 10-speed automatic transmission
Hii gari achana nayo kabisa that Power 409 HP under the hood ni hatari sanaa, barabarani ni kama ndege imekupita..!! Nikikuacha hutaniona tena..!! Top speed 260km/hr, tofauti na BMW or Range Rover ni kwamba LC 300 is very very powerful, yaani kama matairi hayagusi chini, and very very stable barabarani, usipokuwa makini unakuta uko 220km/hr ila gari iko very very stable na utadhania hukimbii sana maana utaona unapita gari zingine kama zimesimama tu, ni kuwa makini sana ukiwa unaendesha LC 300
Crown na BMW 3 series yana utofauti gani kwenye stability?Toyota na stability hawakai sentence moja hasa hasa ukishahusisha magari ya mzungu. LC300 is just another Toyota.
Hayo ya kitoto chuma HAMAKwenye safari niliyofanya kutoka DAR-DODOMA-SHINYANGA-MASWA-LAMADI HADI KISORYA nilifanya test ya kumwaga moto nione hii ndinga ikoje, aisee Subaru ni gari banaa asukuambie MTU.
Aliyebuni hizi boxer engine anastahili sifa maana kama hii nguvu iliyopo kwenye hizi engine ni balaa Sana maana Ngoma ilikuwa inapenda mlima kama inashuka vileee!!!
Kwenye overtaking inakupa kujiamini mno na niliweza kuovertake magari manne bila shida( mfumo wake wa sport na sport sharp# ni kama unaendesha fighter jets)
Kama mateso kuna madereva nimewatesa Sana njiani hasa wale wanaopenda ligi.
Compact crossover Ambazo ukizifuata unapotea ni Mazda CX5
....mazda CX 5 zina balaa Sana hii gari ikikupita achana nayo usijaribu kuifuata maana Moto wake sijaona WA kuifananisha, Kwa segment ya crossover sijaona bado WA kuikalisha hii Mazda CX5
Ukiachana na land cruiser LC 200 na LC 300 kuna Prado TXL na Baba lao FORD RANGER hizi gari usijaribu kubishana nazo
madereva ambao wanapenda kutunisha misuli msijaribu kwa FORD RANGER hii ni habari nyingine,hii gari nahisi inaongoza Huko barabarani Kwa kumwaga moto maana kama V8 ilikuwa inakalishwa wewe ni Nani unataka kufata huu Moto?
Hadi namaliza safari yangu sijaona gari inakimbia kama ford ranger......
Kila kheri madereva!!!!!
Kwenye safari niliyofanya kutoka DAR-DODOMA-SHINYANGA-MASWA-LAMADI HADI KISORYA nilifanya test ya kumwaga moto nione hii ndinga ikoje, aisee Subaru ni gari banaa asukuambie MTU.
Aliyebuni hizi boxer engine anastahili sifa maana kama hii nguvu iliyopo kwenye hizi engine ni balaa Sana maana Ngoma ilikuwa inapenda mlima kama inashuka vileee!!!
Kwenye overtaking inakupa kujiamini mno na niliweza kuovertake magari manne bila shida( mfumo wake wa sport na sport sharp# ni kama unaendesha fighter jets)
Kama mateso kuna madereva nimewatesa Sana njiani hasa wale wanaopenda ligi.
Compact crossover Ambazo ukizifuata unapotea ni Mazda CX5
....mazda CX 5 zina balaa Sana hii gari ikikupita achana nayo usijaribu kuifuata maana Moto wake sijaona WA kuifananisha, Kwa segment ya crossover sijaona bado WA kuikalisha hii Mazda CX5
Ukiachana na land cruiser LC 200 na LC 300 kuna Prado TXL na Baba lao FORD RANGER hizi gari usijaribu kubishana nazo
madereva ambao wanapenda kutunisha misuli msijaribu kwa FORD RANGER hii ni habari nyingine,hii gari nahisi inaongoza Huko barabarani Kwa kumwaga moto maana kama V8 ilikuwa inakalishwa wewe ni Nani unataka kufata huu Moto?
Hadi namaliza safari yangu sijaona gari inakimbia kama ford ranger......
Kila kheri madereva!!!!!
Dogo acha ushamba wa kisukuma , siku ukiendesha chuma cha pua kama Jeep wrangler si ndio utakufuru kabisa wewe ?, maana hizo zote unazoziita gari ni takataka mbele ya Jeep wrangler katika kila angleKwenye safari niliyofanya kutoka DAR-DODOMA-SHINYANGA-MASWA-LAMADI HADI KISORYA nilifanya test ya kumwaga moto nione hii ndinga ikoje, aisee Subaru ni gari banaa asukuambie MTU.
Aliyebuni hizi boxer engine anastahili sifa maana kama hii nguvu iliyopo kwenye hizi engine ni balaa Sana maana Ngoma ilikuwa inapenda mlima kama inashuka vileee!!!
Kwenye overtaking inakupa kujiamini mno na niliweza kuovertake magari manne bila shida( mfumo wake wa sport na sport sharp# ni kama unaendesha fighter jets)
Kama mateso kuna madereva nimewatesa Sana njiani hasa wale wanaopenda ligi.
Compact crossover Ambazo ukizifuata unapotea ni Mazda CX5
....mazda CX 5 zina balaa Sana hii gari ikikupita achana nayo usijaribu kuifuata maana Moto wake sijaona WA kuifananisha, Kwa segment ya crossover sijaona bado WA kuikalisha hii Mazda CX5
Ukiachana na land cruiser LC 200 na LC 300 kuna Prado TXL na Baba lao FORD RANGER hizi gari usijaribu kubishana nazo
madereva ambao wanapenda kutunisha misuli msijaribu kwa FORD RANGER hii ni habari nyingine,hii gari nahisi inaongoza Huko barabarani Kwa kumwaga moto maana kama V8 ilikuwa inakalishwa wewe ni Nani unataka kufata huu Moto?
Hadi namaliza safari yangu sijaona gari inakimbia kama ford ranger......
Kila kheri madereva!!!!!
Subaru gani umeendesha?Subaru over 100 speed.. zinakua nyepesi kama karatasi.. kupepesuka njiani
Subaru proper zote ni boxer engine, labda wanazo tengeneza kwa ubia na kampuni nyingineUna Subaru gani yenye boxer engine?
Yeah ila zinatofautiana HP so sio zote zinatisha.Subaru proper zote ni boxer engine, labda wanazo tengeneza kwa ubia na kampuni nyingine
Yes, kutegemea na materials, ina turbo au lah, na mapping ya ECU, EJ20 ina range ya HP 140 mpaka 320. Wewe tuYeah ila zinatofautiana HP so sio zote zinatisha.
na hii ipo hata kwenye maisha ya kawaida kabisa,..kuna watu wanajinyima kuhakikisha wanajenga kabla yako, maana wewe uliwahi kununua kiwanja kuliko wao,...wakati huo wewe huna ratiba kabisa ya kujenga, ni mwendo wa bata tu,...✍️Kuna muda unakuwa barabarani, mtu anatoka speed anakupita kumbe yeye anashindana na wewe wakati wewe huna hata habari kama aliyekupita yuko kwenye mashindano