City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Sure mkuuKuna muda unakuwa barabarani, mtu anatoka speed anakupita kumbe yeye anashindana na wewe wakati wewe huna hata habari kama aliyekupita yuko kwenye mashindano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure mkuuKuna muda unakuwa barabarani, mtu anatoka speed anakupita kumbe yeye anashindana na wewe wakati wewe huna hata habari kama aliyekupita yuko kwenye mashindano
Wapo sahihi kabisaa mkuu!!! Hapo kwenye confidence nimeamini sio uongoWazee wa Fuji Heavy Industries.
Subaru kauli mbiu yao ni "Confidence in Motion".
Sawa tajiriDogo acha ushamba wa kif
Dogo acha ushamba wa kisukuma , siku ukiendesha chuma cha pua kama Jeep wrangler si ndio utakufuru kabisa wewe ?, maana hizo zote unazoziita gari ni takataka mbele ya Jeep wrangler katika kila angle
Ila wabongo tuna kazi kubwa Sana...wewe umeendesha Subaru ipi?Subaru over 100 speed.. zinakua nyepesi kama karatasi.. kupepesuka njiani
Gari hua Ni uwezo tu wa dereva kua kichaa.Nishakimbizana na Ford ranger T6 nikiwa na gx110,mpk mwenye hio Ford akaja kunisalimia kwny msosi Singida hio.Akaniambia mdau hii kitu si mchezoKaka V8 ni habari ingine, Ranger iko vizuri ukiifata uwe na kifua ila usitune njiani kaka utapasuka barabara zenyewe full mashimo na mawimbi
Unakimbia kumfurahisha nani?Kwenye safari niliyofanya kutoka DAR-DODOMA-SHINYANGA-MASWA-LAMADI HADI KISORYA nilifanya test ya kumwaga moto nione hii ndinga ikoje, aisee Subaru ni gari banaa asukuambie MTU.
Aliyebuni hizi boxer engine anastahili sifa maana kama hii nguvu iliyopo kwenye hizi engine ni balaa Sana maana Ngoma ilikuwa inapenda mlima kama inashuka vileee!!!
Kwenye overtaking inakupa kujiamini mno na niliweza kuovertake magari manne bila shida( mfumo wake wa sport na sport sharp# ni kama unaendesha fighter jets)
Kama mateso kuna madereva nimewatesa Sana njiani hasa wale wanaopenda ligi.
Compact crossover Ambazo ukizifuata unapotea ni Mazda CX5
....mazda CX 5 zina balaa Sana hii gari ikikupita achana nayo usijaribu kuifuata maana Moto wake sijaona WA kuifananisha, Kwa segment ya crossover sijaona bado WA kuikalisha hii Mazda CX5
Ukiachana na land cruiser LC 200 na LC 300 kuna Prado TXL na Baba lao FORD RANGER hizi gari usijaribu kubishana nazo
madereva ambao wanapenda kutunisha misuli msijaribu kwa FORD RANGER hii ni habari nyingine,hii gari nahisi inaongoza Huko barabarani Kwa kumwaga moto maana kama V8 ilikuwa inakalishwa wewe ni Nani unataka kufata huu Moto?
Hadi namaliza safari yangu sijaona gari inakimbia kama ford ranger......
Kila kheri madereva!!!!!
Nimeipenda hiiSema
Gari unauza.sh ngapi January hii Acha kampeni mkuu watoto wanataka ada
Barabara zetu maeneo mengi zinaruhusu mwendo mpaka 170kph hivi. Yaani kabla hujafika 180 au 200 kuna kitu, aidha kona,tuta,Lori etc. Kwahio ukiwa na Gx110 au Crown au Mark X unaweza kusumbuana na mtu mwenye gari yenye top speed 200÷ kwasababu hatapata sehemu ya kufikisha hio 200+ so mtacheza kwenye 140-180 ambapo Crown na ndugu zaje ni kugusa.Gari hua Ni uwezo tu wa dereva kua kichaa.Nishakimbizana na Ford ranger T6 nikiwa na gx110,mpk mwenye hio Ford akaja kunisalimia kwny msosi Singida hio.Akaniambia mdau hii kitu si mchezo
Taratibu familia yako bado wanakupenda.Ila wabongo tuna kazi kubwa Sana...wewe umeendesha Subaru ipi?
Kumbuka forester non turbo steering wheel yake ni electronic.
Karibu siku moja XT hii ni hydraulic wheel unamaliza sahani na bado hausikii kitu, achana na hii gari ndugu
Pamoja chiefTaratibu familia yako bado wanakupenda.
Nadhani CX5 ya Petrol.....hizi za Diesel nyanya haswa zinachemsha na kufa engine kirahisi sanaaas......shida nini? Nimeona kama 3 hivi.....engine zimekufaUko serious unatuanbia Subaru iko vizuri halafu unasema hakuna gari ya kuikalisha Mazda CX5, hii ya 2.2 diesel au kuna ingine? Vijana tafuteni magari muendeshe kabla ya kuja na conclusion.
Nimekutana nazo mbili zimekufa njiani alafu moja ilikuwa kabla ya kufika chalinze na nyingine nikaikuta maeneo ya singidaNadhani CX5 ya Petrol.....hizi za Diesel nyanya haswa zinachemsha na kufa engine kirahisi sanaaas......shida nini? Nimeona kama 3 hivi.....engine zimekufa
Umepiga mle mle hadi nafika mwiisho ni Ford Ranger. Pamoja na kuwa anauza Subaru XT. Watoto wasome saint Kayumba tuKichwa cha infinix, USB tecno, earphone samsung, simu Google pixel, cover la iphone.
CX5 ZA DIESEL NI NYANYA ZINA CHEMSHA MAPEMA SANAANimekutana nazo mbili zimekufa njiani alafu moja ilikuwa kabla ya kufika chalinze na nyingine nikaikuta maeneo ya singida
Diesel inataka matunzo ya hali ya juu. Sasa mtu kazoea kuburuza IST anarukia Mazda.Nadhani CX5 ya Petrol.....hizi za Diesel nyanya haswa zinachemsha na kufa engine kirahisi sanaaas......shida nini? Nimeona kama 3 hivi.....engine zimekufa
Mkuu mbona hueleweki mara subaru mara ford ranger😂 ebu tuliaKwenye safari niliyofanya kutoka DAR-DODOMA-SHINYANGA-MASWA-LAMADI HADI KISORYA nilifanya test ya kumwaga moto nione hii ndinga ikoje, aisee Subaru ni gari banaa asukuambie MTU.
Aliyebuni hizi boxer engine anastahili sifa maana kama hii nguvu iliyopo kwenye hizi engine ni balaa Sana maana Ngoma ilikuwa inapenda mlima kama inashuka vileee!!!
Kwenye overtaking inakupa kujiamini mno na niliweza kuovertake magari manne bila shida( mfumo wake wa sport na sport sharp# ni kama unaendesha fighter jets)
Kama mateso kuna madereva nimewatesa Sana njiani hasa wale wanaopenda ligi.
Compact crossover Ambazo ukizifuata unapotea ni Mazda CX5
....mazda CX 5 zina balaa Sana hii gari ikikupita achana nayo usijaribu kuifuata maana Moto wake sijaona WA kuifananisha, Kwa segment ya crossover sijaona bado WA kuikalisha hii Mazda CX5
Ukiachana na land cruiser LC 200 na LC 300 kuna Prado TXL na Baba lao FORD RANGER hizi gari usijaribu kubishana nazo
madereva ambao wanapenda kutunisha misuli msijaribu kwa FORD RANGER hii ni habari nyingine,hii gari nahisi inaongoza Huko barabarani Kwa kumwaga moto maana kama V8 ilikuwa inakalishwa wewe ni Nani unataka kufata huu Moto?
Hadi namaliza safari yangu sijaona gari inakimbia kama ford ranger......
Kila kheri madereva!!!!!
Mkuu soma vizuri mada yangu sijafananisha Subaru na magari mengine Bali nimesifia jinsi inavyoperfom pia nimegusia na magari mengine ambayo yanamwaga Moto kama ford ranger..Mkuu mbona hueleweki mara subaru mara ford ranger😂 ebu tulia
Unaandika kabisa uliweza kuzi overtake gari nne bila shida ungematwa na traffic ungejua shida ipo. Sheria inakukataza kuo overtake gari zaidi ya moja kwa mpigo harafu wewe unajisifuKwenye safari niliyofanya kutoka DAR-DODOMA-SHINYANGA-MASWA-LAMADI HADI KISORYA nilifanya test ya kumwaga moto nione hii ndinga ikoje, aisee Subaru ni gari banaa asukuambie MTU.
Aliyebuni hizi boxer engine anastahili sifa maana kama hii nguvu iliyopo kwenye hizi engine ni balaa Sana maana Ngoma ilikuwa inapenda mlima kama inashuka vileee!!!
Kwenye overtaking inakupa kujiamini mno na niliweza kuovertake magari manne bila shida( mfumo wake wa sport na sport sharp# ni kama unaendesha fighter jets)
Kama mateso kuna madereva nimewatesa Sana njiani hasa wale wanaopenda ligi.
Compact crossover Ambazo ukizifuata unapotea ni Mazda CX5
....mazda CX 5 zina balaa Sana hii gari ikikupita achana nayo usijaribu kuifuata maana Moto wake sijaona WA kuifananisha, Kwa segment ya crossover sijaona bado WA kuikalisha hii Mazda CX5
Ukiachana na land cruiser LC 200 na LC 300 kuna Prado TXL na Baba lao FORD RANGER hizi gari usijaribu kubishana nazo
madereva ambao wanapenda kutunisha misuli msijaribu kwa FORD RANGER hii ni habari nyingine,hii gari nahisi inaongoza Huko barabarani Kwa kumwaga moto maana kama V8 ilikuwa inakalishwa wewe ni Nani unataka kufata huu Moto?
Hadi namaliza safari yangu sijaona gari inakimbia kama ford ranger......
Kila kheri madereva!!!!!