Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... muiran wa dini gani? Sidhani kama atakuwa wa imani hiyo.Huko Uswidi wamevurugwa, huyu aliechoma Kuran Tukufu ni muIran.
mbona wala kitimoto pia wapo kwenye nchi za waislamTwende mbele turudi nyuma,nyie Islam na Arabs,mnafanya nini nchi za wala kitimoto?si mrudi kwenu Arabia?mkiona mnazulumiwa,nendeni doha,UAE,Saudi nk,acheni wakristo tujidai,ulaya
Twende mbele turudi nyuma,nyie Islam na Arabs,mnafanya nini nchi za wala kitimoto?si mrudi kwenu Arabia?mkiona mnazulumiwa,nendeni doha,UAE,Saudi nk,acheni wakristo tujidai,ulaya
Kizuri kula na mwenzako...Twende mbele turudi nyuma,nyie Islam na Arabs,mnafanya nini nchi za wala kitimoto?si mrudi kwenu Arabia?mkiona mnazulumiwa,nendeni doha,UAE,Saudi nk,acheni wakristo tujidai,ulaya
Aliyechoma msahafu mmoja nchini Sweden. Misahafu elfu moja imeinuliwa na kisomo cha pamoja nchini humo siku chache baadaye.
Aliyechoma msahafu mmoja nchini Sweden. Misahafu elfu moja imeinuliwa na kisomo cha pamoja nchini humo siku chache baadaye.
Mkuu samahan dini ya kiislam si dini ya waarabu ni dini watu wote ulimwenguni, iwe sweden, US, philipine au popote, na hata huo ukiristo ulaya sio kwao, Yesu alitokea Middle East mbali sana na ulayaTwende mbele turudi nyuma,nyie Islam na Arabs,mnafanya nini nchi za wala kitimoto?si mrudi kwenu Arabia?mkiona mnazulumiwa,nendeni doha,UAE,Saudi nk,acheni wakristo tujidai,ulaya
wavaa makobasi..[emoji23][emoji23] akina shekhee abbdallah bin muhamadWatoto wa mnyaazi hawaishi vituko
Kwa Mungu hakuna nchi ya Fulani,hao Wala kitimoto wakienda nchi za watu wakafanya utumwa na kuwatumikisha watu bila ujira au ujira kiduchu,Sasa hivi ni zamu ya waliowafanyia ukoloni kwenda kwaoTwende mbele turudi nyuma,nyie Islam na Arabs,mnafanya nini nchi za wala kitimoto?si mrudi kwenu Arabia?mkiona mnazulumiwa,nendeni doha,UAE,Saudi nk,acheni wakristo tujidai,ulaya
Yesu alikua mvaa kobazi mzuri tu,na kanzu yake jangwani akila tende na haluawavaa makobasi..[emoji23][emoji23] akina shekhee abbdallah bin muhamad
[emoji375]Twende mbele turudi nyuma,nyie Islam na Arabs,mnafanya nini nchi za wala kitimoto?si mrudi kwenu Arabia?mkiona mnazulumiwa,nendeni doha,UAE,Saudi nk,acheni wakristo tujidai,ulaya
So!?..by the way,Kuwait wamechapa nakala za laki moja za tafsiri ya Qur'an kwa kiswidi,zitaweka library za Sweden ikiwemo kwenye taasisi za elimu pia...subiri uone watavyosilimuKatiba ya Sweden inatoa ruhusa kuchoma kitu chochote kuanzia Biblia, Quran, Bendera nk isipokuwa tu moto huo usiwe mkubwa kutengeneza hatari nyingine.
Na sio Quran tu hata Toráh ya muisrael ilipigwa kiberiti hapo mwanzoni mwa mwaka huu.
Hilo swala la kusilimu ni sherehe kwenu.So!?..by the way,Kuwait wamechapa nakala za laki moja za tafsiri ya Qur'an kwa kiswidi,zitaweka library za Sweden ikiwemo kwenye taasisi za elimu pia...subiri uone watavyosilimu