Aliyechoma Quran Sweden sasa misahafu 1000 yainuliwa juu na kisomo ili Kukomesha

Aliyechoma Quran Sweden sasa misahafu 1000 yainuliwa juu na kisomo ili Kukomesha

Sikutegemea kuandika utopolo kama huu mithili ya dunduka.

Points no 2 ni moja kwa moja ni weakest point .Nitajie nchi kumu zinazotekeleza sheria hiyo hapa duniani , vipi huku bongo ,UK ,Syria ,Oman ,Dubai ,Qatar , Morocco , Egypt ,Albania ,Turkey ,Turkimenistan ,Tajikstan na Kazhakstan wanachinja ?

Tena hata nchi za kiarabu na zenye Waislamu wengi watu wanaenda wanachagua wanapopataka kwa uhuru bila kuchinjwa na huko Makanisa yapo mengi.

Ukweli ni kwamba misingi ya dini ya kiislamu inajenga mtu kiimani ya sawasawa inakuwa ngumu kusilimu hata awe mlevi kichwani anajua uislamu ni haki na bila uislamu atakufa katika hasara kubwa.Ndio maana humu Jf hata ulimwenguni Atheism wengi wanatoka upande wa ukiristo kulinganisha na Uislamu.
Iran, Pakistan, Afghanistan, Qatar, Brunei, Sudan, EAU, Mauritania and Saudi Arabia.

Na tena Pakistan juzi wameongeza sheria nyingine mpya ya adhabu ya kifo kwa mtu ataye mkashifu Muhammed.

Hizo nchi kuna high rate of apostasy
 
Iran, Pakistan, Afghanistan, Qatar, Brunei, Sudan, EAU, Mauritania and Saudi Arabia.

Na tena Pakistan juzi wameongeza sheria nyingine mpya ya adhabu ya kifo kwa mtu ataye mkashifu Muhammed.

Hizo nchi kuna high rate of apostasy
Utekelezaji hakuna na watu wapo wanaobadilisha dini bila kufanyia chochote.Hata hivyo tufanye ni kweli haya ukizitoa nchi hizo mbona nchi nyingi tu hazina sheria hiyo na bado rate ya watu kuhama uislamu sio kubwa kama sababu ya vitisho ?
IMG_20230713_224631.jpg
 
Twende mbele turudi nyuma,nyie Islam na Arabs,mnafanya nini nchi za wala kitimoto?si mrudi kwenu Arabia?mkiona mnazulumiwa,nendeni doha,UAE,Saudi nk,acheni wakristo tujidai,ulaya
Ubinafsi huo, mwanaadamu ana haki yakuishi popote ilimwenguni tena si ardhini tu hata angani na baharini ili mradi tu awe na uwezo wakufanya hivyo.
 
Acheni kubishana mambo ya kipuuzi.

Ya kwenu yamewashinda mnakimbilia mambo ya nchi za watu, hapa bongo kuna mengi ya kuongelea nje ya upuuzi wa hao wazungu.

Hizo dini zao acha watwangane wao kwa wao maana hazimuhusu mtu mweusi.

Dini ni stori za wazungu na waarabu walitunga ili kuwacontrol watu, kuwagawanya na kutengeneza matabaka na vita ama sababu za kueneza ugaidi.

Hakuna ukweli ktk dini yoyote ile msipoteze muda wenu, anaebisha abishe tumuoneshe na uongo wa dini yake.

Haiwezekan dunia iwe na maelfu ya miaka alafu vijidini vya kishenzi vilivyoanzishwa juzi tu vijifanye viko sahihi kuliko imano zilizokuwepo kabla yake.

Amkeni nyie wajinga
 
Utekelezaji hakuna na watu wapo wanaobadilisha dini bila kufanyia chochote.Hata hivyo tufanye ni kweli haya ukizitoa nchi hizo mbona nchi nyingi tu hazina sheria hiyo na bado rate ya watu kuhama uislamu sio kubwa kama sababu ya vitisho ?View attachment 2687173
Hata Tanzania tuna hukumu ya kunyongwa hadi kufa lakini leo hii ukiambiwa taja rekodi ya watu kunyongwa ni ya kutafuta.

Lakini hao wanaokutwa na hatia ya hayo makosa huwa wanahukumiwa vifungo.

Na ndivyo ilivyo huko Qatar.

Pia ukali wa adhabu pamoja na vitisho ni sababu nyingine ya watu kuogopa.

Nchi gani nyingine tofauti na hiyo yenye rate kubwa?

Nimekupa factors kubwa mbili, high birth rates pamoja na apostasy. So hiyo nchi yako nyingine unayoitaja lazima itakuwa imeangukia hapo kwenye birth rates
 
Yaani waislamu wote hao wanamjibu mpumbavu mmoja tu aliyechana kitabu kimoja tu.
Wakristo hata unyee hakuna hata mmoja atakae kupa attention
Hapo ni ujumbe kwa serikali ya Sweden kwa kulipa baraka suala hilo.
 
Mimi kuna siku nitachoma Qurani na Biblia kwa pamoja halafu nitasikiliza mihemuko yake.

Wakati huo nitakuwa nimejiandaa kutoroka.
 
Mimi ninachoongea ni kutokana na data na taarifa za uhakika na sio hisia , haya cheki info hizi hapa sio za miaka mingi juzi juzi tu. Japo kuzaliana inaweza kuchangia lakini mchango unaotokana na watu kusilimu upo tena kwa kiwango kizuri tu.View attachment 2686823
View attachment 2686825
Wanaongezeka kwa kuzaliana sio kuslim.
Hapo hakuna sehemu inayoonesha kuwa wanaslimu kama unavyodai humu kwenye jukwaa.

Yaani kwamba Mzungu aruke mkojo akakanyage mavi?
 
Sikutegemea kuandika utopolo kama huu mithili ya dunduka.

Points no 2 ni moja kwa moja ni weakest point .Nitajie nchi kumu zinazotekeleza sheria hiyo hapa duniani , vipi huku bongo ,UK ,Syria ,Oman ,Dubai ,Qatar , Morocco , Egypt ,Albania ,Turkey ,Turkimenistan ,Tajikstan na Kazhakstan wanachinja ?

Tena hata nchi za kiarabu na zenye Waislamu wengi watu wanaenda wanachagua wanapopataka kwa uhuru bila kuchinjwa na huko Makanisa yapo mengi.

Ukweli ni kwamba misingi ya dini ya kiislamu inajenga mtu kiimani ya sawasawa inakuwa ngumu kusilimu hata awe mlevi kichwani anajua uislamu ni haki na bila uislamu atakufa katika hasara kubwa.Ndio maana humu Jf hata ulimwenguni Atheism wengi wanatoka upande wa ukiristo kulinganisha na Uislamu.
Kwasababu muislamu psychology yake inakuwa totally corrupted.
 
Sio kweli kuwa kuslimu ndio kunakosababisha uislamu uzidi kukua.

1. High birth rates ndio big factor (hii iliwahi kufanyiwa research na pew research)

Piga hesabu mwanaume mmoja mwenye wanawake wanne azae watoto wa tatu kwa kila mwanamke atakuwa na watoto 12.

Hiyo ni sawa na jumla ya familia 4 za wasiokuwa waislamu.

2. There's no exit door in Islam

Ukiingia umeingia, kutoka lazima uache kichwa au kiungo chochote ambacho wataridhika.

Na sometimes hayo yote yasipotokea basi kubali kupoteza ndugu zako wote hadi familia inaweza kukutenga.

Kiufupi ni dini yenye mlango mmoja tu wakuingilia.
 
Sasa misahafu 1000 italeta suluhisho gani/nini? Mbona misahafu hiyo mmeiinua Palestina miaka elfu hakuna lolote.


SOLUTION: Tokeni nchi za watu nendeni kwa ndugu zenu Arabia, arab world


View attachment 2686533
Solution waambie waache kuvamia Nchi za watu, hao wakimbizi wa Syria wasingekuwepo kama Israel, Usa na Nato yao wasingevamia.

Asilimia 52 ya Wakimbizi Duniani wanatoka Nchi 3 Ukraine, Syria na Afghanistan wote hawa wamekimbia sababu ya Uvamizi

Screenshot_20230714-115954_1.png


Nchi 5 zinazoongoza Duniani kupokea wakimbizi 3 ni za Kiisilamu
1. Uturuki
2. Iran
3. Ujerumani
4. Colombia
5. Pakistan
Screenshot_20230714-120003_1.png


Bado Waisilamu wengi wana Huruma sana Kuwapokea hao wakimbizi, ingekua mimi ndio Raisi wa Nchi hizo za kiisilamu ningewakodishia Meli kabisa nikawabwaga Ulaya.

Haiwezekani waje na Mabomu yao waue Watoto, waharibu miundombinu na kila kitu, waibe Rasilimali, kama Hao Usa hadi Reserve ya Afghanistan wamichukua wao kitu ambacho kinapingana na Sheria za kimataifa. Then tabu wapate waarabu kwanini?

Waende huko huko Ulaya kama wao walikua na Guts ya kutoa wanajeshi wao kuharibu nchi za watu wawe na Guts za kuchukua responsibility kwa maovu yao waliyoyafanya.
 
Ukristo hauruhusiwi uarabuni ni bora ukutwe na bangi na Sio Bible uarabuni
Uongo, Hauruhusiwi Maeneo matakatfu ya kiisilamu yaani Hijaz kama Mecca na Madina kama Vile ambavyo hakuna uisilamu Vatican.

Ila Nchi zote za Kiarabu Egpty, Syria, Lebanon, Palestina, Iraq kuna wakristo wa Kutosha.

Hata Mkristo mwenye Hela nyingi Africa ni mwarabu.

Huwa mbadanganyana sana Humu.
 
Solution waambie waache kuvamia Nchi za watu, hao wakimbizi wa Syria wasingekuwepo kama Israel, Usa na Nato yao wasingevamia.

Asilimia 52 ya Wakimbizi Duniani wanatoka Nchi 3 Ukraine, Syria na Afghanistan wote hawa wamekimbia sababu ya Uvamizi

View attachment 2687589

Nchi 5 zinazoongoza Duniani kupokea wakimbizi 3 ni za Kiisilamu
1. Uturuki
2. Iran
3. Ujerumani
4. Colombia
5. Pakistan
View attachment 2687591

Bado Waisilamu wengi wana Huruma sana Kuwapokea hao wakimbizi, ingekua mimi ndio Raisi wa Nchi hizo za kiisilamu ningewakodishia Meli kabisa nikawabwaga Ulaya.

Haiwezekani waje na Mabomu yao waue Watoto, waharibu miundombinu na kila kitu, waibe Rasilimali, kama Hao Usa hadi Reserve ya Afghanistan wamichukua wao kitu ambacho kinapingana na Sheria za kimataifa. Then tabu wapate waarabu kwanini?

Waende huko huko Ulaya kama wao walikua na Guts ya kutoa wanajeshi wao kuharibu nchi za watu wawe na Guts za kuchukua responsibility kwa maovu yao waliyoyafanya.
Utakuwa mwarabu wewe
 
Sio kweli kuwa kuslimu ndio kunakosababisha uislamu uzidi kukua.

1. High birth rates ndio big factor (hii iliwahi kufanyiwa research na pew research)

Piga hesabu mwanaume mmoja mwenye wanawake wanne azae watoto wa tatu kwa kila mwanamke atakuwa na watoto 12.

Hiyo ni sawa na jumla ya familia 4 za wasiokuwa waislamu.

2. There's no exit door in Islam

Ukiingia umeingia, kutoka lazima uache kichwa au kiungo chochote ambacho wataridhika.

Na sometimes hayo yote yasipotokea basi kubali kupoteza ndugu zako wote hadi familia inaweza kukutenga.

Kiufupi ni dini yenye mlango mmoja tu wakuingilia.
Kasome vizuri pew reasech kuhusu uisilamu na usiquote nusu nusu, pew research wanasema Birth rate ya waisilamu Ulaya ni watoto 2.7 ni wengi kuliko wazungu ila stil ni ndogo compare na Sub sahara ama maeneo mengine Duniani, hiyo ya watoto 12 umetunga tu wewe otherwise prove.

Pia kidunia Nchi zenye watu wengi nyingi sio za Kiisilamu, India, China, Usa etc wanazaliana kila siku.

Pia hao hao pew research wana data za kusilimu sikumbuki vizuri ila zinakaribia laki.
 
Back
Top Bottom