Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 14,809
- 11,825
Viatu vya Yesu havikuwa Makobazi bali vya kamba na vizuri sana na vilimpendeza sana.Yesu alikua mvaa kobazi mzuri tu,na kanzu yake jangwani akila tende na halua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viatu vya Yesu havikuwa Makobazi bali vya kamba na vizuri sana na vilimpendeza sana.Yesu alikua mvaa kobazi mzuri tu,na kanzu yake jangwani akila tende na halua
Usilam ni Saudia tu. Mudy alienda hadi Jerusarem wayahudi na Wakristo wakamkataa even Original ya Kibra ni Jerusalem.. kuonesha Uislam umetungwa.. na baada ya kukataliwa huko israel akawachukia Wayahudi na Wakristo. hadi akaleta aya ya uadui hadi Kiyama.Mkuu samahan dini ya kiislam si dini ya waarabu ni dini watu wote ulimwenguni, iwe sweden, US, philipine au popote, na hata huo ukiristo ulaya sio kwao, Yesu alitokea Middle East mbali sana na ulaya
Inaelekea hujui kobazi ni nini!?..unafikiri kiswahili Cha sandals ni sendo!?..punguani,waisrael ni uzao wa mwarabu wa Iraq,nabii Ibrahim,utamaduni hautofautiani toka mavazi mpaka vyakulaViatu vya Yesu havikuwa Makobazi bali vya kamba na vizuri sana na vilimpendeza sana.
View attachment 2687997View attachment 2687998View attachment 2687999View attachment 2688010
Naona mnafundisha watoto ujinga
View attachment 2686588
Mpumbavu huwa hana mifano... weka mifano na picha mimi huwa naendana na fact sio mjinga mjinga... issue za keleta uzao wa kina nani ukitaka hili tutaendelea hadi tujue walitokea Africa wewe wa kunifundisha asili ya Ibrahim???? kha.. ni sawa na kuuliza nan kaweka sweetness kwenye Asali., ila maliza hili tofauti ya Makobazi na Sandals me nawamudu wapumbavu Pia Tambua Muslim wanavaa Open Shoe za kuchomeka ambavyo kwa jina zinaitwa slippers.Inaelekea hujui kobazi ni nini!?..unafikiri kiswahili Cha sandals ni sendo!?..punguani,waisrael ni uzao wa mwarabu wa Iraq,nabii Ibrahim,utamaduni hautofautiani toka mavazi mpaka vyakula
Inamana saudia haipo hapoUislamu hauongezeki kwa sababu ya kusilimu. Fuatilia takwimu utajua unaongezekaje.
Uislamu unaongezeka kutoka kwa mataifa yale yale ya kiislamu kuzaliana na kuzaana sana ila sio kwa kusilimu.
Kumbuka mwanzoni mwa miaka ya 2000 ilifanyika kampeni kubwa sana ya kununua ama kusilimisha watu maarufu ulaya ili kuupa uislamu relevance lakini hakuna matokeo yoyote.
Usilamu unaingezeka uarabuni kwa kuzaliana kama mchwa.
Angalia hizi takwimu zitakusaidia.
Wewe juha kweli!!..nimekuuliza sandals kwa kiswahili ni nini!?..unatapika na kuhara ujinga,au nikuulize kivingine,kobazi kwa kiingereza ni nini!?Mpumbavu huwa hana mifano... weka mifano na picha mimi huwa naendana na fact sio mjinga mjinga... issue za keleta uzao wa kina nani ukitaka hili tutaendelea hadi tujue walitokea Africa, ila maliza hili tofauti ya Makobazi na Sandals me nawamudu wapumbavu Pia Tambua Muslim wanavaa Open Shoe za kuchomeka ambavyo kwa jina zinaitwa slippers.
Hilo neno la kobaz limezoeleka tu ila waislam washaacha kuvaa wapo fashion ya mbele zaidi ya slippers sababu ya uvivu wakienda kuswali.
Swali ewe mjinga lete kiswahili na mfano wake wa hayo maneno ya Sandals na Kobazi... ifike time mtu asijifanye anajua kumbe jinga
toa ujinga, mzungu gani asilimu? Wazungu wakisilimu giza nene litakuwa limeingia ulimwenguni na huo utakuwa mwisho wa dunia.So!?..by the way,Kuwait wamechapa nakala za laki moja za tafsiri ya Qur'an kwa kiswidi,zitaweka library za Sweden ikiwemo kwenye taasisi za elimu pia...subiri uone watavyosilimu
Unahukumuje watu ambao wapo kwenye haki? Uislam ni haki, na waislamu ni haki. Unamhukumu mtu ambaye tayari yupo kwenye haki.Ili kuhukumu watu kuwa haki(uislamu)
Nimekuekea juu link ya Conversion unless haujaisoma ukaipotezea.Data gani juu ya hoja gani ambazo wewe hapo umeweka?
Hiyo screenshot yako imeelezea data za conversion?
Hakuna, nilisoma kuwa harakaEbu kwanza nioneshe wapi nimesema wanatoa adhabu kwa kuficha
Usiwe ivi Takiya ni halalHakuna, nilisoma kuwa haraka
Sina muda wa majadiliano na wewe ,kazi yangu nimemaliza nishakufungia vioo nafanya mengine.Usiwe ivi Takiya ni halal
Nakubaliana na hoja kuwa kuna converts ila sasa ebu tuwe serious hivi kweli unataka tutumie source kutoka kwenye personal blogs?Nimekuekea juu link ya Conversion unless haujaisoma ukaipotezea.
WordPress › Setup Configuration File
blogs.lse.ac.uk
Hio article inaongea other side ya waisilamu ambao wamesilimu, wenye asili ya Ulaya na sio wahamiaji.
Kuna Masheikh wengi sana wakiisilamu tena wakubwa wakubwa ni Wazungu, Ulaya Na Marekani wengi wanasilimu, Yusuf estes, Abdulhakim Murad, Hamza Yusuf, Hamza Tzortis etctoa ujinga, mzungu gani asilimu? Wazungu wakisilimu giza nene litakuwa limeingia ulimwenguni na huo utakuwa mwisho wa dunia.
Mkuu hakuna personal Blog yenye domain ya Ac, hio inamaabisha academia tu. Hio ni website ya Chuo na Ukiscroll chini utaona ni Assosiate proffesor alieandika.Nakubaliana na hoja kuwa kuna converts ila sasa ebu tuwe serious hivi kweli unataka tutumie source kutoka kwenye personal blogs?
Blogs inayoanza kwa kuelezea mtazamo wa mtu?
Sawa ngoja tuachane na hilo.
Ni kwamba hicho ulichokiweka hakipingani na hoja yangu niliyokupa kuwa conversion zipo based kwenye marriage issue na nimekuelezea hili huko juu.
Kwamba Muislamu kubadili dini yake ni ngumu sana kutokana na uoga na vitisho vingi ambavyo amekuwa akiishi navyo kwa muda mrefu.
Hivyo linapotokea swala la ndoa kati ya muislamu na asiye muislamu ni kwamba nafasi kubwa ya asiye muislamu kuufata uislamu inakuwa kubwa kuliko Muislam.
Ukitaka kuona hiyo source yako ni maoni binafsi ya mtu soma hapo chini wahusika wa blog wamemkataa huyo bibieMkuu hakuna personal Blog yenye domain ya Ac, hio inamaabisha academia tu. Hio ni website ya Chuo na Ukiscroll chini utaona ni Assosiate proffesor alieandika.
Pia kila nikijitahidi kuweka source mwenzangu unapuyanga tu na "Trust me Bro" evidence.
wazungu kama wa kosovo, serbia, montenegro na wale wa jimbo la chechyna urusi nao unasema ni wazungu. Wazungu ni wale wenye historia ya mataifa yao kuwa na wamisionari walioneza injili afrika na dunia kwa ujumla na sio hao mamluki wazungu wanaosilimu kwa agenda zao kuutafiti uislamKuna Masheikh wengi sana wakiisilamu tena wakubwa wakubwa ni Wazungu, Ulaya Na Marekani wengi wanasilimu, Yusuf estes, Abdulhakim Murad, Hamza Yusuf, Hamza Tzortis etc
Mbona swala huendeshwa kwa kiarabuHizi taarabu zenu zili ishia wapi kwa wale walio mpiga risasi lissu