Aliyechoma Quran Sweden sasa misahafu 1000 yainuliwa juu na kisomo ili Kukomesha

Aliyechoma Quran Sweden sasa misahafu 1000 yainuliwa juu na kisomo ili Kukomesha

Yesu alikua mvaa kobazi mzuri tu,na kanzu yake jangwani akila tende na halua
Viatu vya Yesu havikuwa Makobazi bali vya kamba na vizuri sana na vilimpendeza sana.

1689349912165.png
1689349968281.png
1689350042896.png
1689350537184.png
 
Mkuu samahan dini ya kiislam si dini ya waarabu ni dini watu wote ulimwenguni, iwe sweden, US, philipine au popote, na hata huo ukiristo ulaya sio kwao, Yesu alitokea Middle East mbali sana na ulaya
Usilam ni Saudia tu. Mudy alienda hadi Jerusarem wayahudi na Wakristo wakamkataa even Original ya Kibra ni Jerusalem.. kuonesha Uislam umetungwa.. na baada ya kukataliwa huko israel akawachukia Wayahudi na Wakristo. hadi akaleta aya ya uadui hadi Kiyama.

We shabiki bendera kasome Koran imeandikwa kabisa mitume ilikuwepo kwa watu wanaozungumza lugha zao na sio lugha za kujifunza.. hata huyo Mwamedii angekuja Tanzania na aongee kiarabu hapati kusilimisha hata raia mmoja even Mbagala walipojaa waislam... so unapokuwa mjinga lazima uwe muislam ila ukisoma hiyo dini kwa tafsiri halisi ya lugha yako unaweza hata usimalize kusoma koran ukaachana na hiyo dini ya uislam.. sababu kwanza ina uongo,ujinga,na udanganyifu... Uislam ume base kiini chake haswa ni Uasherati na ni upagani wanaamini ukiligusa Jiwe linasamehe dhambi zako zote... and Kuna nchi hadi zimeachana na dhana ya kuongoza nchi zao kwa uislam..

وَمَآ أَرْسَلْنَا مِن رَّسُولٍ إِلَّا بِلِسَانِ قَوْمِهِۦ لِيُبَيِّنَ لَهُمْ ۖ فَيُضِلُّ ٱللَّهُ مَن يَشَآءُ وَيَهْدِى مَن يَشَآءُ ۚ وَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلْحَكِيمُ ٤

We have not sent a messenger except in the language of his people to clarify ˹the message˺ for them. Then Allah leaves whoever He wills to stray and guides whoever He wills. And He is the Almighty, All-Wise.

Hatukumtuma Mtume ila kwa lugha ya watu wake ili kuwafafanulia ujumbe kwa ajili yao. Kisha Mwenyezi Mungu humwacha amtakaye apotee, na humwongoa amtakaye. Naye ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
 
Inaelekea hujui kobazi ni nini!?..unafikiri kiswahili Cha sandals ni sendo!?..punguani,waisrael ni uzao wa mwarabu wa Iraq,nabii Ibrahim,utamaduni hautofautiani toka mavazi mpaka vyakula
Mpumbavu huwa hana mifano... weka mifano na picha mimi huwa naendana na fact sio mjinga mjinga... issue za keleta uzao wa kina nani ukitaka hili tutaendelea hadi tujue walitokea Africa wewe wa kunifundisha asili ya Ibrahim???? kha.. ni sawa na kuuliza nan kaweka sweetness kwenye Asali., ila maliza hili tofauti ya Makobazi na Sandals me nawamudu wapumbavu Pia Tambua Muslim wanavaa Open Shoe za kuchomeka ambavyo kwa jina zinaitwa slippers.

Hilo neno la kobaz limezoeleka tu ila waislam washaacha kuvaa wapo fashion ya mbele zaidi ya slippers sababu ya uvivu wakienda kuswali.

Swali ewe mjinga lete kiswahili na mfano wake wa hayo maneno ya Sandals na Kobazi... ifike time mtu asijifanye anajua kumbe jinga
 
Uislamu hauongezeki kwa sababu ya kusilimu. Fuatilia takwimu utajua unaongezekaje.

Uislamu unaongezeka kutoka kwa mataifa yale yale ya kiislamu kuzaliana na kuzaana sana ila sio kwa kusilimu.

Kumbuka mwanzoni mwa miaka ya 2000 ilifanyika kampeni kubwa sana ya kununua ama kusilimisha watu maarufu ulaya ili kuupa uislamu relevance lakini hakuna matokeo yoyote.

Usilamu unaingezeka uarabuni kwa kuzaliana kama mchwa.
Angalia hizi takwimu zitakusaidia.
Inamana saudia haipo hapo
 
Mpumbavu huwa hana mifano... weka mifano na picha mimi huwa naendana na fact sio mjinga mjinga... issue za keleta uzao wa kina nani ukitaka hili tutaendelea hadi tujue walitokea Africa, ila maliza hili tofauti ya Makobazi na Sandals me nawamudu wapumbavu Pia Tambua Muslim wanavaa Open Shoe za kuchomeka ambavyo kwa jina zinaitwa slippers.

Hilo neno la kobaz limezoeleka tu ila waislam washaacha kuvaa wapo fashion ya mbele zaidi ya slippers sababu ya uvivu wakienda kuswali.

Swali ewe mjinga lete kiswahili na mfano wake wa hayo maneno ya Sandals na Kobazi... ifike time mtu asijifanye anajua kumbe jinga
Wewe juha kweli!!..nimekuuliza sandals kwa kiswahili ni nini!?..unatapika na kuhara ujinga,au nikuulize kivingine,kobazi kwa kiingereza ni nini!?
 
So!?..by the way,Kuwait wamechapa nakala za laki moja za tafsiri ya Qur'an kwa kiswidi,zitaweka library za Sweden ikiwemo kwenye taasisi za elimu pia...subiri uone watavyosilimu
toa ujinga, mzungu gani asilimu? Wazungu wakisilimu giza nene litakuwa limeingia ulimwenguni na huo utakuwa mwisho wa dunia.
 
Nimekuekea juu link ya Conversion unless haujaisoma ukaipotezea.


Hio article inaongea other side ya waisilamu ambao wamesilimu, wenye asili ya Ulaya na sio wahamiaji.
Nakubaliana na hoja kuwa kuna converts ila sasa ebu tuwe serious hivi kweli unataka tutumie source kutoka kwenye personal blogs?

Blogs inayoanza kwa kuelezea mtazamo wa mtu?

Sawa ngoja tuachane na hilo.

Ni kwamba hicho ulichokiweka hakipingani na hoja yangu niliyokupa kuwa conversion zipo based kwenye marriage issue na nimekuelezea hili huko juu.

Kwamba Muislamu kubadili dini yake ni ngumu sana kutokana na uoga na vitisho vingi ambavyo amekuwa akiishi navyo kwa muda mrefu.

Hivyo linapotokea swala la ndoa kati ya muislamu na asiye muislamu ni kwamba nafasi kubwa ya asiye muislamu kuufata uislamu inakuwa kubwa kuliko Muislam.
 
toa ujinga, mzungu gani asilimu? Wazungu wakisilimu giza nene litakuwa limeingia ulimwenguni na huo utakuwa mwisho wa dunia.
Kuna Masheikh wengi sana wakiisilamu tena wakubwa wakubwa ni Wazungu, Ulaya Na Marekani wengi wanasilimu, Yusuf estes, Abdulhakim Murad, Hamza Yusuf, Hamza Tzortis etc
 
Nakubaliana na hoja kuwa kuna converts ila sasa ebu tuwe serious hivi kweli unataka tutumie source kutoka kwenye personal blogs?

Blogs inayoanza kwa kuelezea mtazamo wa mtu?

Sawa ngoja tuachane na hilo.

Ni kwamba hicho ulichokiweka hakipingani na hoja yangu niliyokupa kuwa conversion zipo based kwenye marriage issue na nimekuelezea hili huko juu.

Kwamba Muislamu kubadili dini yake ni ngumu sana kutokana na uoga na vitisho vingi ambavyo amekuwa akiishi navyo kwa muda mrefu.

Hivyo linapotokea swala la ndoa kati ya muislamu na asiye muislamu ni kwamba nafasi kubwa ya asiye muislamu kuufata uislamu inakuwa kubwa kuliko Muislam.
Mkuu hakuna personal Blog yenye domain ya Ac, hio inamaabisha academia tu. Hio ni website ya Chuo na Ukiscroll chini utaona ni Assosiate proffesor alieandika.

Pia kila nikijitahidi kuweka source mwenzangu unapuyanga tu na "Trust me Bro" evidence.
 
Mkuu hakuna personal Blog yenye domain ya Ac, hio inamaabisha academia tu. Hio ni website ya Chuo na Ukiscroll chini utaona ni Assosiate proffesor alieandika.

Pia kila nikijitahidi kuweka source mwenzangu unapuyanga tu na "Trust me Bro" evidence.
Ukitaka kuona hiyo source yako ni maoni binafsi ya mtu soma hapo chini wahusika wa blog wamemkataa huyo bibie
Screenshot_20230714-212357.png


Sasa nikuulize kwanini blog imekataa kuchukua hii article kama universal fact?

Hii ni article iliyokuwa inafafanua tu kitabu chake alichokiandika huyu dada kuhusu conversion.

Hapa ni sawa na article ambayo inazungumzia God Delusion ya Dawnkin.

Sasa hii ndio unatamba kuwa source?

Ni sawa na mimi nikupe hii
Screenshot_20230714-181401.png


Halafu madai yako yote bado yanaelea juu kwenye hoja yangu ambayo mpaka saizi ukeshindwa kui dispute.

Hao converters ambao unasema wameufata uislamu mostly ni through ndoa.

Na hiyo inatokana na uislamu kuwa na sheria ngumu zinazombana mtu kuuacha Uislamu. Uislamu una vitisho na ni kosa kubwa kwenye dini mtu kuacha Uislamu na ndio maana nchi nyingi zenye kutumia sharia huwa zinatoa adhabu ya kifo.
 
Kuna Masheikh wengi sana wakiisilamu tena wakubwa wakubwa ni Wazungu, Ulaya Na Marekani wengi wanasilimu, Yusuf estes, Abdulhakim Murad, Hamza Yusuf, Hamza Tzortis etc
wazungu kama wa kosovo, serbia, montenegro na wale wa jimbo la chechyna urusi nao unasema ni wazungu. Wazungu ni wale wenye historia ya mataifa yao kuwa na wamisionari walioneza injili afrika na dunia kwa ujumla na sio hao mamluki wazungu wanaosilimu kwa agenda zao kuutafiti uislam
 
Wavaa kobaz akili hamna ,mnaenda nchi za watu halafu mnalazimsha waishi kama ninyi , pumbavu ,akili fupi kama vipedo vyenu , wa munyazi .
Pumbaf rudini kwenye nchi zenu za kigaidi hizo
 
Back
Top Bottom