Aliyechoma Quran Sweden sasa misahafu 1000 yainuliwa juu na kisomo ili Kukomesha

Aliyechoma Quran Sweden sasa misahafu 1000 yainuliwa juu na kisomo ili Kukomesha

Ukitaka kuona hiyo source yako ni maoni binafsi ya mtu soma hapo chini wahusika wa blog wamemkataa huyo bibieView attachment 2688210

Sasa nikuulize kwanini blog imekataa kuchukua hii article kama universal fact?

Hii ni article iliyokuwa inafafanua tu kitabu chake alichokiandika huyu dada kuhusu conversion.

Hapa ni sawa na article ambayo inazungumzia God Delusion ya Dawnkin.

Sasa hii ndio unatamba kuwa source?

Ni sawa na mimi nikupe hiiView attachment 2688221

Halafu madai yako yote bado yanaelea juu kwenye hoja yangu ambayo mpaka saizi ukeshindwa kui dispute.

Hao converters ambao unasema wameufata uislamu mostly ni through ndoa.

Na hiyo inatokana na uislamu kuwa na sheria ngumu zinazombana mtu kuuacha Uislamu. Uislamu una vitisho na ni kosa kubwa kwenye dini mtu kuacha Uislamu na ndio maana nchi nyingi zenye kutumia sharia huwa zinatoa adhabu ya kifo.
Ni refute kitu ambacho umeshindwa kuthibitisha kipo? Toa hoja with evidence kwanza kwamba Conversion za Europe ama west ni ndoa, bila kuleta hii evidence sina Chochote cha kurefute.

Na proffesor ni mtu Anayeaminika, so Maneno yake sio kama yangu na Yako.

Pia Article yako ya Budha haina namba kuprove kwamba Ubudha unakua kwa kasi kuliko uisilamu Ulaya kama ulivyoclaim

Hizi Data mbalimbali kuhusu Conversion
-Asilimia 25 ya waisilamu Marekani ni watu waliosilimu

-uisilamu utakua na Ongezeko la watu Milioni 3 ya pili nyuma ya watu wasio na dini kwenye Kubadili dini mpaka 2050
PF_15.04.02_ProjectionsOverview_religiousSwitching_640px.png


-Swansea University wana estimate Converts ni Laki 1 Uk ipo reported na BBC

Na ni ya zamani toka 2011 hio figure itakua Imeongezeka zaidi

-NYT wanasema France pia ina converts laki 1


Data zipo Nyingi mno za Conversion toka source mbalimbali.
 
wazungu kama wa kosovo, serbia, montenegro na wale wa jimbo la chechyna urusi nao unasema ni wazungu. Wazungu ni wale wenye historia ya mataifa yao kuwa na wamisionari walioneza injili afrika na dunia kwa ujumla na sio hao mamluki wazungu wanaosilimu kwa agenda zao kuutafiti uislam
Hamza Yusuf mmarekani, Abdul hakim Murad Muingereza hao niliotaja wala sio hao.

Hii article ya BBC inaelezea jinsi wazungu wanavyosilimu.

Kuna picha na video kibao humo kama shida ni kuona.
 
Ukristo hauruhusiwi uarabuni ni bora ukutwe na bangi na Sio Bible uarabuni
Wanaijua kazi yake isingekuwa na nguvu wala isingewapa shida, sasa ikiwepo moto wake huo na watu wao wakiisoma watajua ukweli, lakini kila GOTI litapigwa na kila ULIMI utakiri kuwa KRISTO YESU ni BWANA.
 
Ni refute kitu ambacho umeshindwa kuthibitisha kipo? Toa hoja with evidence kwanza kwamba Conversion za Europe ama west ni ndoa, bila kuleta hii evidence sina Chochote cha kurefute.

Na proffesor ni mtu Anayeaminika, so Maneno yake sio kama yangu na Yako.

Pia Article yako ya Budha haina namba kuprove kwamba Ubudha unakua kwa kasi kuliko uisilamu Ulaya kama ulivyoclaim

Hizi Data mbalimbali kuhusu Conversion
-Asilimia 25 ya waisilamu Marekani ni watu waliosilimu

-uisilamu utakua na Ongezeko la watu Milioni 3 ya pili nyuma ya watu wasio na dini kwenye Kubadili dini mpaka 2050
PF_15.04.02_ProjectionsOverview_religiousSwitching_640px.png


-Swansea University wana estimate Converts ni Laki 1 Uk ipo reported na BBC

Na ni ya zamani toka 2011 hio figure itakua Imeongezeka zaidi

-NYT wanasema France pia ina converts laki 1


Data zipo Nyingi mno za Conversion toka source mbalimbali.
Nimetumia logic kujenga hoja based on statistics kuwa hapo Ulaya hakukuwa na asili ya Uislamu hivyo uki apply logic kuangalia njia zilizotumika kufanya Uislamu ueneee hapo ndio hapo utakutana na hoja zangu.

Hoja yangu kubwa imetokana na sheria kali ya muislamu kutoruhusiwa kuuacha uislamu kwenda dini nyingine.

Ambapo katazo hili haliambatani tu na adhabu ya Mungu baada ya kifo bali watu hapa hapa duniani wanaweza wakatekeleza hiyo hukumu ambayo kikawaida ni kifo.

Angalia hapa
Screenshot_20230714-232921.png


Hapa wanakuambia kuwa huko magharibi kuna watu wengi wanao convert kutoka Uislamu kwenda Ukristo lakini kwa siri.

Watu wamekuwa waoga kutangaza hadharani na kwakua majina ndio yanayotumika ku represent dini ya mtu basi imekuwa vigumu sana kuwajua kwakua wamekuwa wakitumia majina yao yale yale.

Haya njoo hapa soma hapo kwenye duara jekundu.
Screenshot_20230714-232224~2.png


Hili ni jambo lipo open wala halihitaji mahesabu.

Ukitaka kuona kama dini yako inapendwa freely basi weka uhuru ondoa vitisho tuone.

Dini yenu inastawi kwasababu ya woga wa kuuana uana tu.

************

By the way link zako zote unazoweka data zake kwa ujumla hazijafafanua hiyo conversion inatokea kwa mazingira gani.

Mengine naona unarudia yale yale, sijui Uislamu unakuwa and blah blah blah. Kukua kwa Uislamu tulisha jadili kunasababishwa na migrants plus idadi kubwa ya kuzaliana. Sasa sijajua unaandika kama msisitizo au namna gani.
 
So!?..by the way,Kuwait wamechapa nakala za laki moja za tafsiri ya Qur'an kwa kiswidi,zitaweka library za Sweden ikiwemo kwenye taasisi za elimu pia...subiri uone watavyosilimu
Wasilimu kwa sababu Quran ipo library?

Hivi nyie wavaa kobazi mbona akili zenu zinachekesha sana?
 
Wanaijua kazi yake isingekuwa na nguvu wala isingewapa shida, sasa ikiwepo moto wake huo na watu wao wakiisoma watajua ukweli, lakini kila GOTI litapigwa na kila ULIMI utakiri kuwa KRISTO YESU ni BWANA.
Siku hizi popote hata Somalia unaisoma Biblia kupitia simu hata wakiiziua hardcopy airport
 
So!?..by the way,Kuwait wamechapa nakala za laki moja za tafsiri ya Qur'an kwa kiswidi,zitaweka library za Sweden ikiwemo kwenye taasisi za elimu pia...subiri uone watavyosilimu
Wakislimu wewe itakusaidia nini...vurugu tu kila sehemu..kwa hiyo na wakristu nao waprinti bible waweke, wayahudi nao, wahindu nao..hiyo itakuwa librazy au??Nyie watu kila sehemu mkienda mnataka haki kuliko hata za wenyeji...nyie hamfundishwi tolerance kabisa...
 
Nimetumia logic kujenga hoja based on statistics kuwa hapo Ulaya hakukuwa na asili ya Uislamu hivyo uki apply logic kuangalia njia zilizotumika kufanya Uislamu ueneee hapo ndio hapo utakutana na hoja zangu.

Hoja yangu kubwa imetokana na sheria kali ya muislamu kutoruhusiwa kuuacha uislamu kwenda dini nyingine.

Ambapo katazo hili haliambatani tu na adhabu ya Mungu baada ya kifo bali watu hapa hapa duniani wanaweza wakatekeleza hiyo hukumu ambayo kikawaida ni kifo.

Angalia hapaView attachment 2688281

Hapa wanakuambia kuwa huko magharibi kuna watu wengi wanao convert kutoka Uislamu kwenda Ukristo lakini kwa siri.

Watu wamekuwa waoga kutangaza hadharani na kwakua majina ndio yanayotumika ku represent dini ya mtu basi imekuwa vigumu sana kuwajua kwakua wamekuwa wakitumia majina yao yale yale.

Haya njoo hapa soma hapo kwenye duara jekundu.View attachment 2688289

Hili ni jambo lipo open wala halihitaji mahesabu.

Ukitaka kuona kama dini yako inapendwa freely basi weka uhuru ondoa vitisho tuone.

Dini yenu inastawi kwasababu ya woga wa kuuana uana tu.

************

By the way link zako zote unazoweka data zake kwa ujumla hazijafafanua hiyo conversion inatokea kwa mazingira gani.

Mengine naona unarudia yale yale, sijui Uislamu unakuwa and blah blah blah. Kukua kwa Uislamu tulisha jadili kunasababishwa na migrants plus idadi kubwa ya kuzaliana. Sasa sijajua unaandika kama msisitizo au namna gani.
Hicho ulichokiongea Chote kimekua addressed kwenye data nilizokupa, pew research wamepata Net conversion ya Uisilamu ya Milioni 3 baada ya kutumia milioni 12 waliosilimu wa Katoa milioni 9 ambao wameondoka Uisilamu. Tatizo hata husomi ninachoweka unaamua tu kutumia kichwa chako.

Uisilamu unsolve matatizo mengi ya west ndio Maana wanasilimu. Chukulia tu Mfano Suicide rate, Nchi kama Afghanistan ina Suicide rate ndogo sana Duniani wananchi hawana hata hela ya Kula, Wana maisha mabovu, ila Ulaya na USA ambao wana kila kitu ila Suicide rate kubwa Mno, sababu ya Mifumo ya Maisha na pressure toka kwa jamii.

images (2).png

Uturuki hapo wana lifestyle ambayo inafanana na Ulaya ila nao pia Ukiangalia rate ndogo sana ya Suicide.

Kuna mambo mengi sana Uisilamu inasaidia katika jamii, ndio Maana watu wanasilimu, ila najua Nyie hampendi Uisilamu siku zote mtatafuta negative things kuueka katika mwanga mbaya.
 
Aliyechoma msahafu mmoja nchini Sweden. Misahafu elfu moja imeinuliwa na kisomo cha pamoja nchini humo siku chache baadaye.


Mi siwezi Choma moto Koran

Maandazi nifungie Nini?
Koran ina matumizi mengi, Luke kwetu kijijini wazee Wangu wanaitumia kuchambia Kwa uhaba wa maji
 
Nakubali wengi ulaya wanaacha dini hivyo kufanya ukiristo udorore na wengi katika hao kuwa Atheist(tuchukulie 75%) na wachache kuingia kuwa Muslim( 15%) sasa hiyo halo ikiendelea haba na haba hujaza Kibaba na matokeo ya mwisho yatakuwa Ukiristo kutoweka kabisa na kubaki Uislamu na Atheism .

Hapo inakuwa rahisi sana kumtoa mtu kutoka Atheism kuja uislamu kuliko kutoka Ukiristo kuja uislamu.Kwa maana kwamba mtu ashatoka jambo kuu ya upinzani kinachobaki ni sera zako aje lambo mpya kuliko awe mfia dini kumtoa ni ngumu.
Hiyo rate ya kuongezeaka waislamu haitokani na kusikimu, inatokana na wahamiaji.

Soma Takwimu vizuri na taarifa za serikali uelewe, achana na hadithi za vijiweni.

Usilamu ulaya hauongezeki kwa kusilimu, unaongezeka kwa kuongezeka wahamiaji.

Pia uislamu duniani unaingezeka kwa kuzaliana kwa sana kwa nchi za kiislamu na sio kwamba kuna kusilimu.

Na huko uarabuni ni kwa vile dini inafundishwa kwa vitisho, kukiwa na uhuru wa kuabudu uislamu utapotea kuanzia huko uarabuni.

Yaani watu wako kwenye cage, halafu mnajifariji uislamu unakua wakati mmewashikia bunduki wakiri kwamba wao ni waislamu kwa lazima.
 
Hiyo rate ya kuongezeaka waislamu haitokani na kusikimu, inatokana na wahamiaji.

Soma Takwimu vizuri na taarifa za serikali uelewe, achana na hadithi za vijiweni.

Usilamu ulaya hauongezeki kwa kusilimu, unaongezeka kwa kuongezeka wahamiaji.

Pia uislamu duniani unaingezeka kwa kuzaliana kwa sana kwa nchi za kiislamu na sio kwamba kuna kusilimu.

Na huko uarabuni ni kwa vile dini inafundishwa kwa vitisho, kukiwa na uhuru wa kuabudu uislamu utapotea kuanzia huko uarabuni.

Yaani watu wako kwenye cage, halafu mnajifariji uislamu unakua wakati mmewashikia bunduki wakiri kwamba wao ni waislamu kwa lazima.
Ni vizuri na wewe kuweka data zako kusapoti maneno yako.Hata tukifanya kea sababu zako lakini haipingwi kama watu wanaacha ukiristo ulaya kea rate kubwa kitaalamu hata Simba ikiondokewa na key players na kupungua ushawahi hata ikiwa wachezaji wake hawaendi Yanga basi moja kwa moja Simba itakuwa imedorora na hilo litachangia upinzani kukua(Yanga) hata kama hawaendi Yanga kwani ni kumtoa shabiki majimaji,mtibwa ,Kitayose kuhamia Yanga kuliko Simba kwenda Yanga.

Kingine cheki Takwimu kipindi cha kombe la Dunia Qatar idadi ya waliosilimu wakiwa huko.
 
Hicho ulichokiongea Chote kimekua addressed kwenye data nilizokupa, pew research wamepata Net conversion ya Uisilamu ya Milioni 3 baada ya kutumia milioni 12 waliosilimu wa Katoa milioni 9 ambao wameondoka Uisilamu. Tatizo hata husomi ninachoweka unaamua tu kutumia kichwa chako.

Uisilamu unsolve matatizo mengi ya west ndio Maana wanasilimu. Chukulia tu Mfano Suicide rate, Nchi kama Afghanistan ina Suicide rate ndogo sana Duniani wananchi hawana hata hela ya Kula, Wana maisha mabovu, ila Ulaya na USA ambao wana kila kitu ila Suicide rate kubwa Mno, sababu ya Mifumo ya Maisha na pressure toka kwa jamii.

View attachment 2688666
Uturuki hapo wana lifestyle ambayo inafanana na Ulaya ila nao pia Ukiangalia rate ndogo sana ya Suicide.

Kuna mambo mengi sana Uisilamu inasaidia katika jamii, ndio Maana watu wanasilimu, ila najua Nyie hampendi Uisilamu siku zote mtatafuta negative things kuueka katika mwanga mbaya.
Acha kutupanga.

Kama Uislam unasolve mambo mengi kwenye jamii, kwa nini jamii za dunia hazikimbilii kuishi kwenye nchi za kiislam?

Kwa nini hata jamii ya nyie waislam haikimbilii kuishi kwenye nchi za kiislam?
Badala yake wote nyie wanafiki mnakimbilia kwenye Christian majority countries?
 
Ipo haja waislamu wajifunze uhimilivu waache kupoteza mda kuwajibu wapumbavu,maana dunia ni changanyikeni wapumbavu hawakwepeki.
 
kwasababu hawanyanyaswi,hawanyanyapaliwi wala kudharauliwa
Hapana niwastaarabu wakiwa ugenini wanaishi kulingana na mazingira, ukifika kwa watu ishi kama wanavyotaka wenyeji, sasa wewe ufike kwa watu unataka kuishi kama mtoto wa mwenye nyumba? Kaa kwenu !

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom