Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Dini ya kislamu inajua kutunza wanawake tu lakin the rest material things ni wastes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona nao huchana na kukojolea biblia?Twende mbele turudi nyuma,nyie Islam na Arabs,mnafanya nini nchi za wala kitimoto?si mrudi kwenu Arabia?mkiona mnazulumiwa,nendeni doha,UAE,Saudi nk,acheni wakristo tujidai,ulaya
Kila siku humu napost proof, Nchi za kiislamu ndio zinapokea wakimbizi wengi kuliko zote, hata uzi huu nimepost ila jamaa wagumu kweli kuelewaAcha kutupanga.
Kama Uislam unasolve mambo mengi kwenye jamii, kwa nini jamii za dunia hazikimbilii kuishi kwenye nchi za kiislam?
Kwa nini hata jamii ya nyie waislam haikimbilii kuishi kwenye nchi za kiislam?
Badala yake wote nyie wanafiki mnakimbilia kwenye Christian majority countries?
| Türkiye | 3.6 million |
| Islamic Republic of Iran | 3.4 million |
| Colombia | 2.5 million |
| Germany | 2.1 million |
| Pakistan | 1.7 million |
Wenye library wamekubali,we upo mbozi unatokwa mate kulalamika,kawatawaze nguruweWakislimu wewe itakusaidia nini...vurugu tu kila sehemu..kwa hiyo na wakristu nao waprinti bible waweke, wayahudi nao, wahindu nao..hiyo itakuwa librazy au??Nyie watu kila sehemu mkienda mnataka haki kuliko hata za wenyeji...nyie hamfundishwi tolerance kabisa...
Wazungu siyo Kama wewe,wao wanaenda kwa hoja,mwanasiasa na kiongozi wa chama ujerumani alikua msitari wa mbele kupinga uislam,akapata nakala ya Qur'an kwa kijerumani Leo kaacha kile chama anaswali kuelekea Makkah,siku si nyingi habari za waswidi kusilimu zitakuja hapa na utauliza inanisaidia nini mswidi kusilimu,baada ya September 11 vitabu vya dini ya kiislam viliadimika marekani na ulaya,Leo huko Kuna waislam wengi tu Hadi akina ice cubeWasilimu kwa sababu Quran ipo library?
Hivi nyie wavaa kobazi mbona akili zenu zinachekesha sana?
Na nyinyi wakristo pia kwenu ni hapo hapo uarabuni yani middle eastern alipozaliwa yesu huko ulaya mmevamiaTwende mbele turudi nyuma,nyie Islam na Arabs,mnafanya nini nchi za wala kitimoto?si mrudi kwenu Arabia?mkiona mnazulumiwa,nendeni doha,UAE,Saudi nk,acheni wakristo tujidai,ulaya
So zile screenshot nilizokuwa nakuwekea zingine nikizungushia duara kumbe ulikuwa huzioni?Kitu ambacho mpaka sasa umeshindwa ku prove, ingekua ni Common ungeshaleta hata research za uchochoroni kuprove ile umeshindwa.
BBC imezungumzia individual story ya binti aliyekuwa anaitwa Aisha aliye silimu na hii sidhani kama ni hoja ambayo mimi nilikuwa naipinga.Zimeelezewa, Links zote zimeeleza mpaka ya BBC ambayo sio paywall ila husomi. Mfano huyo dada wa BBC kwake uisilamu ni fresh start, ametoka kwenye Utumwa wa Ku apply make Up na muda wote atoke akiwa amependeza, ila kwake sasa Hivi uisilamu unampa freedom ya kutokua Judged
Watu wengi wangapi?Kwa Marekani aliefanya watu wengi ku Embrace uisilamu ni Malcom X, je Malcom X alisilimisha watu kwa kuoana ama struggle zake za Ubaguzi wa Rangi?
Wafungwa wana convert kwasababu ya maslahi yao.Sasa hivi Jela Nyingi Marekani ni kitovu cha kusambaza uisilamu, wengi wakienda wakitoka wanakua Waisilamu hii nayo ni Marriage?
Soma hapa conversion za Jela, Asilimia 80 ya wanaobadili dini Jela wanakua waisilamu
Conversion to Islam in U.S. prisons - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Hahahaah..... Kwa hiyo baada ya kuua wasio na hatia September 11 watu wakaupenda Uislam na kusilimu.Wazungu siyo Kama wewe,wao wanaenda kwa hoja,mwanasiasa na kiongozi wa chama ujerumani alikua msitari wa mbele kupinga uislam,akapata nakala ya Qur'an kwa kijerumani Leo kaacha kile chama anaswali kuelekea Makkah,siku si nyingi habari za waswidi kusilimu zitakuja hapa na utauliza inanisaidia nini mswidi kusilimu,baada ya September 11 vitabu vya dini ya kiislam viliadimika marekani na ulaya,Leo huko Kuna waislam wengi tu Hadi akina ice cube
Njia gani zile za jela za kuwatoza faini wasio waislamu?Kuna Njia kibao watu wana Embrace uisilamu sababu ni complete way of life, ila unazi ignore zote na kutunga zako ambazo hazina proof.
Ingekuwa ni hivyo basi waarabu wasingefanya biashara ya kununua watumwa.Matabaka Gani? Sehemu zote west utakapokuta waisilamu basi watakua rangi zote na Race zote pamoja, Msikitini pekee ndio utakuta mpiga deki ama mtu dhalili kwenye Society anaongoza swala na watu wa Rangi zote wamepanga safu bega kwa bega mguu kwa mguu wakimuomba mola wao.
Huyo mtume si ndio aliyetoa amri kwenye hadithi zake kiwa wale wanaotoka kwenye Uislamu wachinjwe?View attachment 2689013
Hotuba ya mwisho ya Mtume ambao ni kama wosia wa kiisilamu jambo kubwa tulilousiwa hakuna binadamu ambaye yupo juu ya binadamu mwengine isipokua Uchamungu, Mweupe sio superior kwa mweusi wala mweusi sio superior kwa mweupe.
Unachoshindwa kutambua ni kitu kimojaNenda msikiti ama Community yoyote ya kiisilamu ambayo inafuata Main Body ya uisilamu Sunni, nioneshe matabaka.
Sidhani kama kuna haja hata ya kumsoma professor wakati maandishi ya Quran tu yanasema Muislamu ndugu yake ni Muislamu na hivyo asiye Muislamu ni kafiri.Uisilamu pia unafundisha kutowapenda waisilamu, tatizo lenu baada ya kujifunza uisilamu kwenye 1st party mnaujua tu juu juu
Msome huyu professor wa Austin ana video nyingi sana za Historia ya uisilamu, ni More credible kuliko Random person utakayemkuta internet
2015 Nchi tukufu ya Saudi ilirudha makombora yake na kuua maelfu ya raia wa YemenProof kwamba waisilamu wa Mecca wanawachukia wa Yemen?
Soma hapa data zinaonesha kuwa nchi zenye idadi kubwa ya waislamu matukio ya kujitoa mhanga mengi yameshuhudiwa.Hakuna kitu kama Suicide kwenye Uisilamu popote pale, waisilamu bilioni 2 wanngekua ni suicide bomber kusingebaki hata chembe ya kiumbe hai.
Boko Haram, ISIS, Al Shabaab, Al Qaeda nk.Proof?
Imekuwa debunked na nani?Hii imeshakua debunk mara kibao ila kila siku unaiona tena,
Kama unaona Marekani ndio aliilipua Syria na kuitaja Saudi kama taifa lenye kupenda amani naomba uniambie ni sababu gani zilizopelekea mpaka Saudi kuwapa silaha wapinzani wa Syria kipindi cha Syrian war 2011?Kwa Hio Marekani akalipue Syria, Afghanistan, Iraq halafu hao watu wakiwa wakimbizi ni kosa la uisilamu?
Mbona hatuoni wasaudi, Wa Oman, Dubai, Qatar wakikimbia nchi zao?
Mi niko ndani ya mada afu natumia Chrome na EdgeAnyway mkuu tumetoka nje ya mada mno, ningeomba turudi kwenye mstari.
Kusoma link za kulipia tumia opera mini
Hii screenshot kwenye Article ikionesha asilimia 25 ya waisilamu Marekani ni sababu ya kubadili dini
View attachment 2689034
Wairan wengi wanakua atheist au Wana convert to Christianity sio Kwa kuipenda ili ku boycott utawala wa kimabavu wa jamuhuri yao ya kiislamu,... muiran wa dini gani? Sidhani kama atakuwa wa imani hiyo.
Hujui Turkey ni Ulaya?Twende mbele turudi nyuma,nyie Islam na Arabs,mnafanya nini nchi za wala kitimoto?si mrudi kwenu Arabia?mkiona mnazulumiwa,nendeni doha,UAE,Saudi nk,acheni wakristo tujidai,ulaya
Swali lako zuri sana. Hiki kinachofatwa:Twende mbele turudi nyuma,nyie Islam na Arabs,mnafanya nini nchi za wala kitimoto?si mrudi kwenu Arabia?mkiona mnazulumiwa,nendeni doha,UAE,Saudi nk,acheni wakristo tujidai,ulaya
Ni iman hiyo hiyo , weng wetu hatujui maswaibu wanayokutana nayo waislam wa middle east , ni mateso ya kuzimu mara usinyoe ndev mara mwanamke asiende sokon... muiran wa dini gani? Sidhani kama atakuwa wa imani hiyo.
CoontinyuuuuuuMkuu samahan dini ya kiislam si dini ya waarabu ni dini watu wote ulimwenguni, iwe sweden, US, philipine au popote, na hata huo ukiristo ulaya sio kwao, Yesu alitokea Middle East mbali sana na ulaya
Alikuwa ila sio leoYesu alikua mvaa kobazi mzuri tu,na kanzu yake jangwani akila tende na halua
Unahis wazung ni wapuuz?So!?..by the way,Kuwait wamechapa nakala za laki moja za tafsiri ya Qur'an kwa kiswidi,zitaweka library za Sweden ikiwemo kwenye taasisi za elimu pia...subiri uone watavyosilimu
[emoji23] [emoji23]Keshokutwa jamaa atainyea hadharani na kuikojolea.
Hv waislam hiyo din inawatoaga akili mnapenda udaku sn na hamfuatilii kbsLakini Sio bendera ya mashoga au vitu vya kishoga jela itakuhusu