Aliyechoma Quran Sweden sasa misahafu 1000 yainuliwa juu na kisomo ili Kukomesha

Aliyechoma Quran Sweden sasa misahafu 1000 yainuliwa juu na kisomo ili Kukomesha

Matukio kama hayo yanachangia Uislamu kufahamika na watu wengi zaidi kufuatilia hatimaye wengine kusilimu , miaka ya nyuma yametokea matukio mengi ya kuuchafua uislamu na kuchokoza lakini idadi ya watu kusilimu na Waislamu imeongezeka maradufu baada ya kupungua licha ya hayo matukio.
Hv nan anachokoza uislam , hv vichwa vimewehuka mnapenda ukorof nyiny , aliyechana hiko kitab ni kijana wenu kwann mnataka tuhusisha wasio wa imani yenu ? Kama roho ya ukorof ni nin ? Mnapinga ukristu kweny nchi zenu ila mnataka hao hao mnaopinga dini zao et wawasaidie kumkamata jamaa
 
Kitaalamu ni kwamba : Msimamo kuwa sababu kuu ni kuzaliana na kuUndestimate mchango wa watu kusilimu haiMakesense moja kwa moja na dalili ni kushuka kwa idadi ya Wakirsto na Makanisa mengi kuwa tupu .Hapo inamaanisha ukiristo umeanza kudorora huku kitu kingine kikishamiri.

Ingekuwa idadi ya Wakirsto haishuki kwa kiwango kikubwa na huku Waislamu wakiongezeka tungesema hapo kuzaliana pekee ndio sababu lakini hapana idadi yao inapungua kwa kasi mno na hilo ndio inatoa nguvu hoja yangu.
Wakristu tumeanza gundua iman hz za mchongo ila nyiny mmefungwa kwenye wingu la ujinga hamuon mapunguf ya hz iman , yaan mung aliyekuumba haez jipigania mpk uiombe serikali ya Sweden imkamate jamaa , na bado hamstuki
 
Nakubali wengi ulaya wanaacha dini hivyo kufanya ukiristo udorore na wengi katika hao kuwa Atheist(tuchukulie 75%) na wachache kuingia kuwa Muslim( 15%) sasa hiyo halo ikiendelea haba na haba hujaza Kibaba na matokeo ya mwisho yatakuwa Ukiristo kutoweka kabisa na kubaki Uislamu na Atheism .

Hapo inakuwa rahisi sana kumtoa mtu kutoka Atheism kuja uislamu kuliko kutoka Ukiristo kuja uislamu.Kwa maana kwamba mtu ashatoka jambo kuu ya upinzani kinachobaki ni sera zako aje lambo mpya kuliko awe mfia dini kumtoa ni ngumu.
[emoji23] [emoji23] yaan mtu anaejielewa umpeleke kweny utumbo huo wa kuchinjana ? ATHEISM ndo iman pekee bora ina mising ya ukwel , Dini hz ni mchongo na upigaj kwa wachache
 
Twende mbele turudi nyuma,nyie Islam na Arabs,mnafanya nini nchi za wala kitimoto?si mrudi kwenu Arabia?mkiona mnazulumiwa,nendeni doha,UAE,Saudi nk,acheni wakristo tujidai,ulaya
Daah umeongea kizembe zembe sana hapa mwanetu.
 
Sikutegemea kuandika utopolo kama huu mithili ya dunduka.

Points no 2 ni moja kwa moja ni weakest point .Nitajie nchi kumu zinazotekeleza sheria hiyo hapa duniani , vipi huku bongo ,UK ,Syria ,Oman ,Dubai ,Qatar , Morocco , Egypt ,Albania ,Turkey ,Turkimenistan ,Tajikstan na Kazhakstan wanachinja ?

Tena hata nchi za kiarabu na zenye Waislamu wengi watu wanaenda wanachagua wanapopataka kwa uhuru bila kuchinjwa na huko Makanisa yapo mengi.

Ukweli ni kwamba misingi ya dini ya kiislamu inajenga mtu kiimani ya sawasawa inakuwa ngumu kusilimu hata awe mlevi kichwani anajua uislamu ni haki na bila uislamu atakufa katika hasara kubwa.Ndio maana humu Jf hata ulimwenguni Atheism wengi wanatoka upande wa ukiristo kulinganisha na Uislamu.
Unapenda ubish wa kitoto ukwel una ujua , ndug yako akibadiki dini unajuwa utavyo mchukulia
 
Utekelezaji hakuna na watu wapo wanaobadilisha dini bila kufanyia chochote.Hata hivyo tufanye ni kweli haya ukizitoa nchi hizo mbona nchi nyingi tu hazina sheria hiyo na bado rate ya watu kuhama uislamu sio kubwa kama sababu ya vitisho ?View attachment 2687173
Acha ubish wa kitoto hata hapa Tz iko hivyo sema sio kisheria
 
Hata Tanzania tuna hukumu ya kunyongwa hadi kufa lakini leo hii ukiambiwa taja rekodi ya watu kunyongwa ni ya kutafuta.

Lakini hao wanaokutwa na hatia ya hayo makosa huwa wanahukumiwa vifungo.

Na ndivyo ilivyo huko Qatar.

Pia ukali wa adhabu pamoja na vitisho ni sababu nyingine ya watu kuogopa.

Nchi gani nyingine tofauti na hiyo yenye rate kubwa?

Nimekupa factors kubwa mbili, high birth rates pamoja na apostasy. So hiyo nchi yako nyingine unayoitaja lazima itakuwa imeangukia hapo kwenye birth rates
Fuatilia kabla ya kubishana
 
Solution waambie waache kuvamia Nchi za watu, hao wakimbizi wa Syria wasingekuwepo kama Israel, Usa na Nato yao wasingevamia.

Asilimia 52 ya Wakimbizi Duniani wanatoka Nchi 3 Ukraine, Syria na Afghanistan wote hawa wamekimbia sababu ya Uvamizi

View attachment 2687589

Nchi 5 zinazoongoza Duniani kupokea wakimbizi 3 ni za Kiisilamu
1. Uturuki
2. Iran
3. Ujerumani
4. Colombia
5. Pakistan
View attachment 2687591

Bado Waisilamu wengi wana Huruma sana Kuwapokea hao wakimbizi, ingekua mimi ndio Raisi wa Nchi hizo za kiisilamu ningewakodishia Meli kabisa nikawabwaga Ulaya.

Haiwezekani waje na Mabomu yao waue Watoto, waharibu miundombinu na kila kitu, waibe Rasilimali, kama Hao Usa hadi Reserve ya Afghanistan wamichukua wao kitu ambacho kinapingana na Sheria za kimataifa. Then tabu wapate waarabu kwanini?

Waende huko huko Ulaya kama wao walikua na Guts ya kutoa wanajeshi wao kuharibu nchi za watu wawe na Guts za kuchukua responsibility kwa maovu yao waliyoyafanya.
Umeandika ujinga , ukikuwa utaelewa
 
Kasome vizuri pew reasech kuhusu uisilamu na usiquote nusu nusu, pew research wanasema Birth rate ya waisilamu Ulaya ni watoto 2.7 ni wengi kuliko wazungu ila stil ni ndogo compare na Sub sahara ama maeneo mengine Duniani, hiyo ya watoto 12 umetunga tu wewe otherwise prove.

Pia kidunia Nchi zenye watu wengi nyingi sio za Kiisilamu, India, China, Usa etc wanazaliana kila siku.

Pia hao hao pew research wana data za kusilimu sikumbuki vizuri ila zinakaribia laki.
Sijaona hoja yako
 
Wakristu tumeanza gundua iman hz za mchongo ila nyiny mmefungwa kwenye wingu la ujinga hamuon mapunguf ya hz iman , yaan mung aliyekuumba haez jipigania mpk uiombe serikali ya Sweden imkamate jamaa , na bado hamstuki
Nimefungua JF nimekuta notifications umeniQuote humu mara nyingi , nipende kukutaarifu kuwa hutoniona nikipoteza muda wangu kujadilina na mtu kama wewe mwandiko wako tu unaonyesha jinsi gani ulivyo .Nimekupuuza rasmi sitokujibu chochote ..
 
Aliyechoma msahafu mmoja nchini Sweden. Misahafu elfu moja imeinuliwa na kisomo cha pamoja nchini humo siku chache baadaye.


Uchawiiiii tuuu unawasumbua na majini

Sii kingine na hamna loloteee tusubiri tuone kutwa kujikombakomba tuuu manungunikoo
 
Matukio kama hayo yanachangia Uislamu kufahamika na watu wengi zaidi kufuatilia hatimaye wengine kusilimu , miaka ya nyuma yametokea matukio mengi ya kuuchafua uislamu na kuchokoza lakini idadi ya watu kusilimu na Waislamu imeongezeka maradufu baada ya kupungua licha ya hayo matukio.
Sasa ndiyo msiwe mnaandamana, muache watu waitangaze kwa njia hiyo. Si mmekiri kuwa unawasaidia? Kelele za nini?
Sasa mjinga mmoja anafanya ujinga wake kwa dakika moja na nusu, nyie mnaitana kwa maelfu, mnawasha magari, mnachoma gesi na kwenda kutumia masaa kadhaa kumjibu!!
 
SOLUTION: Tokeni nchi za watu nendeni kwa ndugu zenu Arabia, arab world
Sijui na wakristo waondoke warudi ..... wapi? maana Jerusalem iko chini ya Yahudi.

Umesahau kama na huu ukristo asili yake ni huko huko eneo la Arabia.
 
Back
Top Bottom