Aliyechoma Quran Sweden sasa misahafu 1000 yainuliwa juu na kisomo ili Kukomesha

Aliyechoma Quran Sweden sasa misahafu 1000 yainuliwa juu na kisomo ili Kukomesha

Kasome vizuri pew reasech kuhusu uisilamu na usiquote nusu nusu, pew research wanasema Birth rate ya waisilamu Ulaya ni watoto 2.7 ni wengi kuliko wazungu ila stil ni ndogo compare na Sub sahara ama maeneo mengine Duniani, hiyo ya watoto 12 umetunga tu wewe otherwise prove.

Pia kidunia Nchi zenye watu wengi nyingi sio za Kiisilamu, India, China, Usa etc wanazaliana kila siku.

Pia hao hao pew research wana data za kusilimu sikumbuki vizuri ila zinakaribia laki.
Nimesoma vizuri ila wewe ndio hujanisoma vizuri

Mimi nimezungumzia Global sijakata kipande kuelezea Europe pekee, sijui kama hata unajua fertility rate ya global ni ratio ngapi kwa muislamu.

Lakini hata nikisema niuweke mjadala kuhusu Ulaya bado jibu sio conversion

Unajua migrants crisis ya 2015 kule Ulaya ilipokea watu wangapi kutoka wapi?

Zaidi ya wakimbizi 1.3Milion kutoka nchi za kiislamu waliingia Ulaya wakikimbia migogoro ya kisiasa na ugumu wa maisha kwenye nchi zao huku Syria na Pakistani zikiwa kinara kwa kutoa idadi kubwa ya watu.


2016 pew research ilikadiliwa kuwa na ongezeko la zaidi ya 26M ya waislamu waishio Ulaya kulingana na umri wa fertility pattern ya jinsi waislamu wanavyozaliana.

Na saizi inakadiriwa kuwa ifikapo 2050 waislamu watakuwa 36M ambayo ni asilimia 7.5 ya population ya Ulaya yote.

Hayo yote sio kwasababu ya watu kusilimu, ni sababu ya uzalianaji wa waislamu ulivyokuwa mkubwa.
 
Nimesoma vizuri ila wewe ndio hujanisoma vizuri

Mimi nimezungumzia Global sijakata kipande kuelezea Europe pekee, sijui kama hata unajua fertility rate ya global ni ratio ngapi kwa muislamu.

Lakini hata nikisema niuweke mjadala kuhusu Ulaya bado jibu sio conversation

Unajua migrants crisis ya 2015 kule Ulaya ilipokea watu wangapi kutoka wapi?

Zaidi ya wakimbizi 1.3Milion kutoka nchi za kiislamu waliingia Ulaya wakikimbia migogoro ya kisiasa na ugumu wa maisha kwenye nchi zao huku Syria na Pakistani zikiwa kinara kwa kutoa idadi kubwa ya watu.


2016 pew research ilikadiliwa kuwa na ongezeko la zaidi ya 26M ya waislamu waishio Ulaya kulingana na umri wa fertility pattern ya jinsi waislamu wanavyozaliana.

Na saizi inakadiriwa kuwa ifikapo 2050 waislamu watakuwa 36M ambayo ni asilimia 7.5 ya population ya Ulaya yote.

Hayo yote sio kwasababu ya watu kusilimu, ni sababu ya uzalianaji wa waislamu ulivyokuwa mkubwa.
Umeongelea pew research Na ile ilibase na Ulaya, pia issue ya migration imeongelewa kwenye research na Hio 7.5 ni bila migration na migration ni 11 mpaka 14%

PF_11.29.17_muslims-update-00.png

Conversion pia ipo kubwa japo pew research hawajaiongelea kwa undani


Ujerumani 100,000 inakadiriwa ni waisilamu waliosilimu, same Figure UK, France na USA,
 
Umeongelea pew research Na ile ilibase na Ulaya, pia issue ya migration imeongelewa kwenye research na Hio 7.5 ni bila migration na migration ni 11 mpaka 14%

View attachment 2687705
Conversion pia ipo kubwa japo pew research hawajaiongelea kwa undani


Ujerumani 100,000 inakadiriwa ni waisilamu waliosilimu, same Figure UK, France na USA,
Reference yako ya picha inaongea wazi kabisa kuwa ongezeko la waislamu siku zijazo inategemewa na wakimbizi.

Meanwhile idadi ya watu wanaoslimu ni ndogo, na kweli ukiangalia katika rekodi utaona miaka 10 kabla ya migrants kuvamia Ulaya ilionekana Budha ndio dini iliyokuwa na idadi ya watu wengi walio convert kuliko hata uislamu.
 
Tumpige albadri mpuuzi huyu
[emoji23][emoji23][emoji115][emoji115] wavaa makobaz mna shida sana ingekuwa ni rahisi hivo wale wapalestina si wanabondwa na israel kila siku na marekni na nato si waliwapiga hao waarabu kwani walishindwa nini kusoma hiyo blaah blaah blaah albadili ..wakageuka mijusi au panya au mende mbona mpaka leo wamarekani na nato wanadunda mtaani alafu mbaya zaidi aliechoma hiyo kuruani ni mu iraq sasa kasome hiyo albadili yako .. [emoji41][emoji41]..
IMG_20230712_151557.jpg
 
Katiba ya Sweden inatoa ruhusa kuchoma kitu chochote kuanzia Biblia, Quran, Bendera nk isipokuwa tu moto huo usiwe mkubwa kutengeneza hatari nyingine.

Na sio Quran tu hata Toráh ya muisrael ilipigwa kiberiti hapo mwanzoni mwa mwaka huu.
Katiba ya mfano
 
Sio kweli kuwa kuslimu ndio kunakosababisha uislamu uzidi kukua.

1. High birth rates ndio big factor (hii iliwahi kufanyiwa research na pew research)

Piga hesabu mwanaume mmoja mwenye wanawake wanne azae watoto wa tatu kwa kila mwanamke atakuwa na watoto 12.

Hiyo ni sawa na jumla ya familia 4 za wasiokuwa waislamu.

2. There's no exit door in Islam

Ukiingia umeingia, kutoka lazima uache kichwa au kiungo chochote ambacho wataridhika.

Na sometimes hayo yote yasipotokea basi kubali kupoteza ndugu zako wote hadi familia inaweza kukutenga.

Kiufupi ni dini yenye mlango mmoja tu wakuingilia.
Ndiyo maana wanaruhusu kuoa hata wake 6 ili wawe wengi.
Ndiyo maana kuna mahakama za kadhi, bila hivyo hata uarabuni wangeachana na uislamu. Ukiingia umeingia, ukitoka basi ufungwe, utengwe au uuliwe.
 
Sikutegemea kuandika utopolo kama huu mithili ya dunduka.

Points no 2 ni moja kwa moja ni weakest point .Nitajie nchi kumu zinazotekeleza sheria hiyo hapa duniani , vipi huku bongo ,UK ,Syria ,Oman ,Dubai ,Qatar , Morocco , Egypt ,Albania ,Turkey ,Turkimenistan ,Tajikstan na Kazhakstan wanachinja ?

Tena hata nchi za kiarabu na zenye Waislamu wengi watu wanaenda wanachagua wanapopataka kwa uhuru bila kuchinjwa na huko Makanisa yapo mengi.

Ukweli ni kwamba misingi ya dini ya kiislamu inajenga mtu kiimani ya sawasawa inakuwa ngumu kusilimu hata awe mlevi kichwani anajua uislamu ni haki na bila uislamu atakufa katika hasara kubwa.Ndio maana humu Jf hata ulimwenguni Atheism wengi wanatoka upande wa ukiristo kulinganisha na Uislamu.
Kama uislamu ni haki. Kwanini kuna mahakama ya kadhi?
 
Aliyechoma msahafu mmoja nchini Sweden. Misahafu elfu moja imeinuliwa na kisomo cha pamoja nchini humo siku chache baadaye.


Allah mwenyewe alitoa ombi kwa Mungu wakristo na wayahudi waangamizwe mpaka Leo wapo 😂🤣🤣🤣 miaka zaidi ya 1400 hakuna majibu

Allah anasema;
9:30. Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!
 
Reference yako ya picha inaongea wazi kabisa kuwa ongezeko la waislamu siku zijazo inategemewa na wakimbizi.

Meanwhile idadi ya watu wanaoslimu ni ndogo, na kweli ukiangalia katika rekodi utaona miaka 10 kabla ya migrants kuvamia Ulaya ilionekana Budha ndio dini iliyokuwa na idadi ya watu wengi walio convert kuliko hata uislamu.
Mkuu huwa napenda kuongea na evidence,

Nimeweka links kuna Converts 100k Ujerumani, wapo idadi kama hio Uingereza na Ufaransa hizo ni Nchi 3 tu umeshapata Waliobadili dini zaidi ya laki 3.

Hilo graph linaonesha vyote ongezeko ikiwemo na migrants na bila migrants, nimekupinga data zako za mwanzo za asilimia 7, ni Asilimia 7 ongezeko bila migrants na asilimia 11 mpaka 14 na Migrants.

Vyema na wewe pinga hoja yangu na Evidence sababu

Budhism ni dini inayo decline tumia hio hio pewresearch


PF_15.04.02_ProjectionsTables102.png

Unaweza ukaonesha source ya claim yako Budhism ilikua inakua kuliko uisilamu?

Hivyo ongezeko la Uisilamu Ulaya ni Vyote Wanasilimu, Wanazaliana na Migrants na hata bila migrants ongezeko lingeshuka tu toka asilimia 11 hadi 7, hivyo bado lingekuepo.
 
Allah mwenyewe alitoa ombi kwa Mungu wakristo na wayahudi waangamizwe mpaka Leo wapo 😂🤣🤣🤣 miaka zaidi ya 1400 hakuna majibu

Allah anasema;
9:30. Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!
Kunyima mtu akili na kukosa mwangaza kuishi kama kipofu huko ni kumuangamiza mtu moja kwa moja . Au kuangamizwa unakotaka ni kama hivi kwenye Bible kikatili namna hii ?
1-Samuel-15-3(4).jpg
 
Kunyima mtu akili na kukosa mwangaza kuishi kama kipofu huko ni kumuangamiza mtu moja kwa moja .
Sala ya Allah haijajibiwa 😂🤣😂 chuki yake ameshindwa kujificha mpaka ametoa sala maalum kwa Mungu

Allah anasema;
9:30. Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!
 
Mkuu huwa napenda kuongea na evidence,

Nimeweka links kuna Converts 100k Ujerumani, wapo idadi kama hio Uingereza na Ufaransa hizo ni Nchi 3 tu umeshapata Waliobadili dini zaidi ya laki 3.

Hilo graph linaonesha vyote ongezeko ikiwemo na migrants na bila migrants, nimekupinga data zako za mwanzo za asilimia 7, ni Asilimia 7 ongezeko bila migrants na asilimia 11 mpaka 14 na Migrants.

Vyema na wewe pinga hoja yangu na Evidence sababu

Budhism ni dini inayo decline tumia hio hio pewresearch


View attachment 2687874
Unaweza ukaonesha source ya claim yako Budhism ilikua inakua kuliko uisilamu?

Hivyo ongezeko la Uisilamu Ulaya ni Vyote Wanasilimu, Wanazaliana na Migrants na hata bila migrants ongezeko lingeshuka tu toka asilimia 11 hadi 7, hivyo bado lingekuepo.
Hujaweza kupinga kwasababu hilo ongezeko limechangiwa na influence ya migrants

Nimekuambia conversion ipo ila ni kwa uchache na the main reason behind that conversion hutokea wakati wa ndoa.

Ni kwamba ukimuoa muislamu, utakuwa kwenye high percentage of pressure kuweza kubadili dini

Na kwasababu ya polygamy ambayo waislamu wamekuwa nayo ndio imefanya iwe rahisi sana kufikia idadi kubwa ya population.

By the way hiyo screenshot yako ndio inaonesha nini ili kuthibitisha nini?
 
Hata Tanzania tuna hukumu ya kunyongwa hadi kufa lakini leo hii ukiambiwa taja rekodi ya watu kunyongwa ni ya kutafuta.

Lakini hao wanaokutwa na hatia ya hayo makosa huwa wanahukumiwa vifungo.

Na ndivyo ilivyo huko Qatar.

Pia ukali wa adhabu pamoja na vitisho ni sababu nyingine ya watu kuogopa.

Nchi gani nyingine tofauti na hiyo yenye rate kubwa?

Nimekupa factors kubwa mbili, high birth rates pamoja na apostasy. So hiyo nchi yako nyingine unayoitaja lazima itakuwa imeangukia hapo kwenye birth rates
Adhabu ya kifo hufanywa hadharani kwenye uwanja maalaumu huku watu wakishuhudia mfano Saudi Arabia ,hilo kwa kuficha ni dhana zako.Halafu hizo nchi ni chache kucompare na nchi nyingi ambazo hakuna kitu kama hiko.

Mimi nimefocous kudorora kwa Ukiristo katika inchi zenye Wakirsto wengi mfano UK hilo linatoa nafasi ya Uislamu kukua hata sababu rate ya Atheists katika ukiristo ni kubwa sana na inaongeza daily.

Jarida maarufu la Newyork Times 2006 lilitoa makala kuwa Uislamu unafikia watu wengi ulaya ,na ikaeleza kutokana na hilo Makundi ya Wakirsto wameanzisha programs na wao za kuwafikia Waislamu katika nchi za kiarabu baada ya kuwaona wenzako wanawapiga gepu na wao lazima wafanye comeback.
 
Adhabu ya kifo hufanywa hadharani kwenye uwanja maalaumu huku watu wakishuhudia mfano Saudi Arabia ,hilo kwa kuficha ni dhana zako.Halafu hizo nchi ni chache kucompare na nchi nyingi ambazo hakuna kitu kama hiko.

Mimi nimefocous kudorora kwa Ukiristo katika inchi zenye Wakirsto wengi mfano UK hilo linatoa nafasi ya Uislamu kukua hata sababu rate ya Atheists katika ukiristo ni kubwa sana na inaongeza daily.

Jarida maarufu la Newyork Times 2006 lilitoa makala kuwa Uislamu unafikia watu wengi ulaya ,na ikaeleza kutokana na hilo Makundi ya Wakirsto wameanzisha programs na wao za kuwafikia Waislamu katika nchi za kiarabu baada ya kuwaona wenzako wanawapiga gepu na wao lazima wafanye comeback.
Ebu kwanza nioneshe wapi nimesema wanatoa adhabu kwa kuficha
 
Hujaweza kupinga kwasababu hilo ongezeko limechangiwa na influence ya migrants

Nimekuambia conversion ipo ila ni kwa uchache na the main reason behind that conversion hutokea wakati wa ndoa.

Ni kwamba ukimuoa muislamu, utakuwa kwenye high percentage of pressure kuweza kubadili dini

Na kwasababu ya polygamy ambayo waislamu wamekuwa nayo ndio imefanya iwe rahisi sana kufikia idadi kubwa ya population.

By the way hiyo screenshot yako ndio inaonesha nini ili kuthibitisha nini?
Kila nilichoongea nimethibitisha na data na research prove vifuatavyo kwa data

1. Conversion ni chache
2. Wanao convert ni sababu ya Ndoa.


Pia Polygamy sio sababu ushaambiwa Birth rate ni 2.7 hio Polygamy imechangia nini?

3. Naomba nayo weka data zake kwamba polygamy imechangia.
 
Kila nilichoongea nimethibitisha na data na research prove vifuatavyo kwa data

1. Conversion ni chache
2. Wanao convert ni sababu ya Ndoa.


Pia Polygamy sio sababu ushaambiwa Birth rate ni 2.7 hio Polygamy imechangia nini?

3. Naomba nayo weka data zake kwamba polygamy imechangia.
Data gani juu ya hoja gani ambazo wewe hapo umeweka?

Hiyo screenshot yako imeelezea data za conversion?
 
Back
Top Bottom