bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Mbona nyinyi wakristo na hao wazungu wako Arabia na nchi nyingine za kiislamu?Twende mbele turudi nyuma,nyie Islam na Arabs,mnafanya nini nchi za wala kitimoto?si mrudi kwenu Arabia?mkiona mnazulumiwa,nendeni doha,UAE,Saudi nk,acheni wakristo tujidai,ulaya
So what???? Upumbavu tuAliyechoma msahafu mmoja nchini Sweden. Misahafu elfu moja imeinuliwa na kisomo cha pamoja nchini humo siku chache baadaye.
https://www.facebook.com/
Acha ujinga bwana kama ni dini ya wote duniani inakuwaje ianzie uarabuni na itumie lugha na majina ya kiarabu?Mkuu samahan dini ya kiislam si dini ya waarabu ni dini watu wote ulimwenguni, iwe sweden, US, philipine au popote, na hata huo ukiristo ulaya sio kwao, Yesu alitokea Middle East mbali sana na ulaya
Sasa huoni kamaSo zile screenshot nilizokuwa nakuwekea zingine nikizungushia duara kumbe ulikuwa huzioni?
BBC imezungumzia individual story ya binti aliyekuwa anaitwa Aisha aliye silimu na hii sidhani kama ni hoja ambayo mimi nilikuwa naipinga.
Haijazungumzia majority as a main factor bali katikati ya stori imepenyezea tu zile takwimu za 100k kutoka pew. Ambazo hizo zimekuwa influenced na migration walio oa non muslim kisha wakawabadili dini.
Watu wengi wangapi?
Kwanza Malcom alikuwa yupo kwenye peek ya umaarufu watu wengi walimfuata na kuiga msimamo wake kwakua tu wanakubali falsafa zake.
Na zipo stori ziasema Nchi za kiarabu ndio zilizomuua jamaa walihofia umaarufu anaoupata mchizi na kasi yake unavyozidi kukua waliona anaweza kumpiku Muhammad.
Wafungwa wana convert kwasababu ya maslahi yao.
View attachment 2689661
Kipindi cha ramadhani wafungwa wa kiislamu wanapewa double portions so inambidi aslimu ili kupata anachotaka.
Research zingine ziliwahi kufanyika zilionesha wafungwa wanasilimu wa ajili ya kutengeneza magenge ya kihalifu.
View attachment 2689666
View attachment 2689665
Source Inside time
Halafu kuna factor nyingine kandamizi inaita "jizya" hii inafanywa kwenye jela nyingi ambazo zipo kwenye nchi za Kiislamu. Wafungwa wasiokuwa waisamu hulazimishwa kulipa kodi ya ulinzi, hii huwalazimu kusilimu ili kuepukana na kero hiyo.
Soma hapa link
Nipe Aya inayosema kuwa dini ya Kiislam ni ya watu woteMkuu samahan dini ya kiislam si dini ya waarabu ni dini watu wote ulimwenguni, iwe sweden, US, philipine au popote, na hata huo ukiristo ulaya sio kwao, Yesu alitokea Middle East mbali sana na ulaya
Rudi katika kumbukumbu zako vizuri, Serikali ya Sweden ilizuia Torah kuchomwa!Katiba ya Sweden inatoa ruhusa kuchoma kitu chochote kuanzia Biblia, Quran, Bendera nk isipokuwa tu moto huo usiwe mkubwa kutengeneza hatari nyingine.
Na sio Quran tu hata Toráh ya muisrael ilipigwa kiberiti hapo mwanzoni mwa mwaka huu.
Sasa imekuwaje tunapoikataa dp world mnadai ni udini kwani djibout si nchi ya mnyaazi ile mbn wana mgogoro na dp world?Na je mwanamke ni sahihi kuwaongoza wana mnyaazi mungu?Mkuu samahan dini ya kiislam si dini ya waarabu ni dini watu wote ulimwenguni, iwe sweden, US, philipine au popote, na hata huo ukiristo ulaya sio kwao, Yesu alitokea Middle East mbali sana na ulaya
Huu ndio ukweli Sasa... Haikushushwa na Allah ilichapwa tu na bwana Mudi...So!?..by the way,Kuwait wamechapa nakala za laki moja za tafsiri ya Qur'an kwa kiswidi,zitaweka library za Sweden ikiwemo kwenye taasisi za elimu pia...subiri uone watavyosilimu
Kwanza umeshindwa kuelewa point kuu.Sasa huoni kama
1. Kukubali kama wafungwa wanasilimu
2. Kukubali wanasilimu kufuata Gangs
3. Kukubali wanasilimu kupata power jela
Inapingana na hoja yako ya juu kwamba wanasilimu sababu ya Ndoa?
Mwenyewe unajipinga ila sababu upo kwa ajili ya kubisha sababu hata hujielewi.
Anyway nimeprove kwamba asilimia 25 hao wametokana na kuconvert inatosha sina haja ya kubishana ujinga.
Uko sahihiRudi katika kumbukumbu zako vizuri, Serikali ya Sweden ilizuia Torah kuchomwa!
Issue mkuu wewe ni kigeu geu hujaongea unachokiongea sasa hivi hii screenshot yakoKwanza umeshindwa kuelewa point kuu.
Point kuu ilikuwa ni kuonesha kuwa watu kufuata uislamu hakutokani na mioyo yao kuridhia mafundisho mazuri ya dini hiyo.
Bali watu wanasilimu kwa maslahi na shinikizo.
Mtu anayeslimu kwasababu ya ndoa ni kwamba yeye mwenyewe hajafuata Uislamu kamfuata mume/mke ambaye sharti la kumpata ni hadi abadili dini.
Hiyo ni tofauti na mtu anayeamua kuifata dini kutokana na moyo wake wenyewe umemsukuma kuvutiwa na dini pengine kwasababu ya ushuhuda au mafundisho ambayo yamegusa maisha yake.
Na bahati mbaya hujapinga hoja hizi.
Sasa namimi nakuuliza.
Huoni kama kukubali kuwa ni kweli lipo kundi la watu wanaosilimu kwa shinikizo na maslahi kunapinga hoja ya kwamba Uislamu ni dini ya amani?
Uwe dodoki au sio!?Ukiwa ugenini ish km wenyej sio kuleta uzuz wko
Najitahidi kusoma mara mbili mara mbili nione ni wapi nimeji contradict nashindwa kuona hiyo sehemu.Issue mkuu wewe ni kigeu geu hujaongea unachokiongea sasa hivi hii screenshot yako
View attachment 2690130
1. Ulisema Conversion ni chache
2. Ukasema Main reason ya Conversion ni Marriage
Maneno. Yako mwenyewe hayo sio yangu ama kama nakusingizia sema.
Mjadala wote ukatokea hapo.
1. Nimeprove kuna Conversion hadi asilimia 25 ambayo si Ndogo kwa Sehemu yenye Waisilamu milioni 4
2. Nimeprove Mariage sio Main Conversion issue, Watu wamesilimu sababu ya Malcom, watu wanasilimu Jela, watu wanasilimu kutafuta identity zao etc.
Sasa mwenzangu unaruka ruka kutafuta sababu nyengine juu kwa juu.
Mimi ni mtu mzima wala sipaswi kubishana cheaply hivi, tuishie tu hapa mkuu.
Nation of Islam sio waisilamu na wala hawana uhusiano wowote na waisilamu jina lisikudanganye.Najitahidi kusoma mara mbili mara mbili nione ni wapi nimeji contradict nashindwa kuona hiyo sehemu.
Kiukweli nilisema kuna conversion chache hilo sipingi.
Lakini kama utakuwa unakumbuka awali tulikuwa na mjadala wa ongezeko la waislamu wengi Ulaya.
Ambapo wewe ulikuja na hoja kuwa hilo ongezeko limesababishwa na watu wa Ulaya kusilimu. Sijui kama unakumbuka.
Mimi nilikuja kupinga hoja yako tena kupitia reference yako uliyoiweka kusapoti hoja yako ambayo reference ilisema ongezeko limechangiwa na idadi kubwa ya migrants.
Baada ya hapo ndio tulipoanza mjadala wa conversion ambapo mimi nilikubali kuwa conversion zipo ila kwa asilimia kubwa conversion zilizochukua waumini wengi zili base kupitia ndoa.
Hoja ikawa nitoe reference.
Nika point some articles zilizofanya research ambapo moja ya reference niliyokupa ilikuwa na title ya "Islam spread through the Christian world via the bedroom"
Lakini bado ukaja na hoja nyingine kuwa Malcom alikuwa Muislamu na aliweza kushawishi wamarekani wengi kusilimu.
Na ukaenda mbali kuhoji, je hao watu nao walishawishiwa na ndoa?
Huko kote nilitoa majibu kuelezea kwanini hilo liliwezekana.
Malcom alikuwa na influence power, alikuwa kwenye peek ya umaarufu wake ambapo watu wengi walipenda itikadi na falsafa zake.
Nimegusia baadhi ya vyanzo ambavyo vinaeleza kuwa Malcom X alikuwa anachukiwa na mataifa mengi ya kiarabu kutokana na umaarufu wake ulioleta hofu kwa waislamu kuwa angeweza kumfunika Muhammad.
Na inasemekana kuwa hata kifo chake kilisababishwa na Muslim nations.
Kuhusu kusilimu jela sijui wapi sijaeleweka.
We umekuwa unasisitiza kuhusu sources lakini kumbe hata ukiwekewa bado nakuwa sijafanya kitu.
Ndio najua we ni mtu mzima na wala hakukuwa na lazima kusema hivyo ili kuthibitisha, mjadala tunaoufanya kinidhamu bila kashfa unaonesha wote hapa ni watu wazima.
Kuna kitu nimekigundua. Ima huwa unasoma vitu ambavyo huvielewi, kiingereza kinakupiga chenga kukielewa, hausomi kwa kutulia au unaleta tu ubishi usio na msingi ndio maana unapotosha makusudi ama vyote kwa pamoja.Nimegusia baadhi ya vyanzo ambavyo vinaeleza kuwa Malcom X alikuwa anachukiwa na mataifa mengi ya kiarabu kutokana na umaarufu wake ulioleta hofu kwa waislamu kuwa angeweza kumfunika Muhammad.
Na inasemekana kuwa hata kifo chake kilisababishwa na Muslim nations.
Mkuu sijamzungumzia Elijah au Fard nimemkusudia mtume mwenyewe.Kuna kitu nimekigundua. Huwa unasoma vitu ambavyo huvielewi. Nina wasiwasi kiingereza kinakupiga chenga kukielewa.
Malcolm X hajawahi kuchukiwa na mataifa ya kiarabu. Hajawahi kutengeneza hofu yoyote kwa Waislam eti wakihofia umaarufu wake ungemzidi Muhammad. Ulivyoandika hapo ni kama unamaanisha Mtume Muhammad. Kuna tatizo la uelewa katika usomaji wako. Muhammad unamaanisha Elijah Muhammed?
Kifo cha Malcolm X hakikusababishwa na "Muslim Nations" bali inahisiwa ameuawa na kundi linalojiita Nation of Islam (NOI) lililokuwa likiongozwa na kina Elijah. Malcolm hakuwa na tatizo lolote na mataifa ya kiislam. Soma sources zako kwa utulivu.
Kuna tatizo humu Jf la watu kujadili vitu ambavyo hawavijui. Huyo angekuwa anajua historia ya Malcolm X kuna makosa angeyaepuka hapo. Kuna mmoja aliwahi sema Mtume Muhammad ni kutoka kabila la Wakurdi na eti Waislam wanamuita Malaika mtoa roho "Israel" kwa sababu ya kuwachukia wayahudi. Unaona kabisa hajui lakini ndio hivyo kaandika. Na hapo anafanya mjadala. Watu kama hao mimi huachana nao tu.Nation of Islam sio waisilamu na wala hawana uhusiano wowote na waisilamu jina lisikudanganye.
Na Malcom X alitoka Nation of Islam na kusilimu kuwa Muisilamu.
Na sababu ya Malcom X Kubadili msimamo ni Baada ya kwenda Hijja, na kuona watu weupe, weusi, wa asia na wengineo waki exist pamoja bila matatizo
View attachment 2690559
Hebu nitajie hayo mataifa ya Kiarabu yanayomchukia Malcom X, una ujinga mwingi sana mkuu, Soma Vitabu achana na Hoja cheap ambazo zinawekwa na watu wasio na Hoja.
Haimake sense kwa Malcom X kuchukiwa na Waarabu, sababu alichukua akipreach Malcom ni Uisilamu sahihi (Hio miezi kadhaa kabla ya Kuuwawa) na sisi waisilamu huwa hatuabudu watu, Hata Muhammad (S. A. W) kwetu ni mtume tu, awe maarufu asiwe maarufu as long as tunafuata alicholeta kama Messenger inatosha.
Ndio tamaduni za upande huo bila kujali imani ya mhusika, mavazi n.k. yako sawa kwa wote.Yesu alikua mvaa kobazi mzuri tu,na kanzu yake jangwani akila tende na halua
Issue ni Islamophobe, mtu anachukia Uisilamu kiasi kwamba akiona uongo wowote unauchukua kama Ulivyo na kusambaza, zero research. Wengine wanafanya makusudi anajua ni uongo na anaendelea hivyo hivyo.Kuna tatizo humu Jf la watu kujadili vitu ambavyo hawavijui. Huyo angekuwa anajua historia ya Malcolm X kuna makosa angeyaepuka hapo. Kuna mmoja aliwahi sema Mtume Muhammad ni kutoka kabila la Wakurdi na eti Waislam wanamuita Malaika mtoa roho "Israel" kwa sababu ya kuwachukia wayahudi. Unaona kabisa hajui lakini ndio hivyo kaandika. Na hapo anafanya mjadala. Watu kama hao mimi huachana nao tu.