Pre GE2025 Aliyefukuzwa CCM baada ya kupinga Rais Samia kupitishwa mgombea pekee urais agoma kuondoka CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwenye maisha, usishindane na mtu anae kuzidi nguvu na mamlaka, especially kama hakutaki haoni shida kukufutilia mbali.
Sasa kwanini urisk pumzi yako kwa mambo ambayo yanaepukika na sio ya lazima??
Sasa hayo si maoni na mtazamo wako sio wake,naye anaongozwa na mtazamo wake na imani yake.
 
CCM HATUKUTAKI MKE WEWE KIMBELE MBELE BANA UKIACHWA ACHIKA BIBIE
 
Uko sahihi Malisa. Nenda mahakani ili kukomesha uhuni wa aina hii kwenye CCM. Kulikua na hofu gani kufuata katiba. Kama mama anakubalika angeweza kuchaguliwa tu. Mwenyewe pia amekosea kwa kukubali kuendekeza mchakato huo wa kihunu ambao unamtumbukiza kwenye matope.
Mtu kama Nchimbi hakustahili kuteuliwa kua katibu mkuu wa CCM maana ana tabia za kihuni. Kama utaratibu wa kuwafukuza ovyo wanachama ingekua sera ya ccm mwenyewe Nchimbi angefukuzwa chama 2015 pale yeye Sophia Simba na Adam kimbisa walipotoka mkutano wa kamati kuu wakipinga kukatwa jina la Lowassa kugombea urais.
 
Kuna watu wakisha jichokea na maisha, wanaanza kujitafutia kudanja kwa lazima aiseeee....
Unapokuwa huna chochote tena cha kupoteza, hapo ndio huwa unafanya maamuzi magumu. Na hapo ndio huwa unafanikiwa, kwasababu wengi wanaogopa kwasababu ya familia na maisha, yeye keshajitoa muhanga sasa, lolote liwalo na liwe.

Ila mimi ningemshauri apeleke taarifa kwa msajiri wa vyama pia ili waone kama katiba ya ccm imevunjwa wataikumbusha ccm kufuata katiba yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…