Aliyefukuzwa umeya kwa tuhuma za ushoga asema ukisimamia ukweli huwezi baki salama

Aliyefukuzwa umeya kwa tuhuma za ushoga asema ukisimamia ukweli huwezi baki salama

11 April 2022
Moshi, Kilimanjaro

Madiwani na pia aliyekuwa meya wazungumza baada ya zoezi la kumuondoa madarakani meya Juma Raibu



Source : Mwananchi Digital
 
Pesa alizoiba na rushwa kedekede usitegemee hilo mkuu, kwa taarifa yako tu moja ya magari yake huyu dogo ni Ford Ranger ya milioni zaidi ya 80.
😂umedanganywa,kajamaa kapo second year kanasoma Bachelor of Law hapo ushirika na sijawahi kuona Ford inaingia ushirika achilia gari yoyote ya bei kubwa ya mtu binafsi
kajamaa ni kasela tu fulani,na kanachakata papuchi kimasihara so mambo ya ugasho pia hakana kabisa licha ya kwamba kalihudhuria party ya wapitwa uhani
 
Kwa hiyo meya shoga wa CCM hapo Moshi ameng'olewa?
CCM hawawataki tena mashoga wao?
Hivi yule katibu mwenezi wa CCM taifa (shaka, ambaye anasemwa kuwa naye ni shoga kutoka Zanzibar), amebariki haya mapinduzi ya kumng'oa meya?
 
Juma Raibu, aliyekuwa meya manispaa ya Moshi amesema Siku zote ukisimamia ukweli na haki huwezi baki salama, Amesema amejitahidi kadri ya uwezo wake.

Amesema Viongozi wa CCM wilaya na mkoa wamekuwa chanzo kikubwa cha mgogoro hadi kutisha wajumbe ili atolewe kwa maslahi yao. Mungu ni mwema niko salama.

Juma Raibu ameondolewa katika nafasi yake leo kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kusapoti ushoga

Juma Raibu aliwahi kuwatimua wajumbe waliovaa barakoa kipindi cha COVID19 Meya Manispaa ya Moshi awataka wajumbe waliovaa barakoa kuzivua
Hatuoni ushahidi wowote katika post yako kwamba katuhumiwa kwa ushoga.Nadhani tuhuma zako si za kweli,or else toa ushahidi.
 
Swala la ushoga Chadema walilitetea sana uchaguzi uliopita naona wamekua kimya kulinda legacy yao kupitia Bw. Meya.
 
Licha ya ushoga alikua na kashfa ya matumizi mabaya ya pesa za umma

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
CCM hawajawahi kuzuia wazi wazi na kwa vitendo matumizi mabaya ya pesa za umma na ndio maana mwenyekiti wao kaanzisha mpango wa kula kwa urefu wa kamba yako!
 
Ndio ana ford ranger, wewe umesema umemuona kwenye bodaboda aina ya ford ranger ndio nakuuliza ni mpya imetoka mwaka huu? Mana bodaboda najua kuna boxer na kinglion, unaweza tuma picha tuone bodaboda aina ya ford ranger
Hebu fanyeni party nyingine na msikubali kurekodi tena msije mkaponza waudhuriaji kama mlivyomponza Raibu.
 
... Moshi imeandika historia; umekuwa mji wa kwanza nchini meya kusapoti ushoga na kuahidi kuwatetea kwa nguvu zote! Kabila gani huyu? Chama gani huyu?
Kwani ushoga unakuuma nini kama huufanyi?
 
Back
Top Bottom