Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Usishangae waliomshauri aende kwenye hafla ni hao 18 waliomuondoaJuma Raibu ameondolewa katika nafasi yake leo kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kusapoti ushoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usishangae waliomshauri aende kwenye hafla ni hao 18 waliomuondoaJuma Raibu ameondolewa katika nafasi yake leo kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kusapoti ushoga
ungetaja na chama ungeeleweka chama anachotokea meya... Moshi imeandika historia; umekuwa mji wa kwanza nchini meya kusapoti ushoga na kuahidi kuwatetea kwa nguvu zote! Kabila gani huyu? Chama gani huyu?
Ni Muislam na inaelekea ushoga alianzia toka madrasat... Moshi imeandika historia; umekuwa mji wa kwanza nchini meya kusapoti ushoga na kuahidi kuwatetea kwa nguvu zote! Kabila gani huyu? Chama gani huyu?
😂umedanganywa,kajamaa kapo second year kanasoma Bachelor of Law hapo ushirika na sijawahi kuona Ford inaingia ushirika achilia gari yoyote ya bei kubwa ya mtu binafsiPesa alizoiba na rushwa kedekede usitegemee hilo mkuu, kwa taarifa yako tu moja ya magari yake huyu dogo ni Ford Ranger ya milioni zaidi ya 80.
jamaa anakula papuchi kama watu wengine tu vijana na anapiga vyombo .ugasho hana,nimemaliza ushirika hapo nimemuacba nilikuwa MastersNi Muislam na inaelekea ushoga alianzia toka madrasat
Ni ukweli kwamba tatizo la ushoga lipo!Kwahiyo kusimamia mashoga ndio ukweli wenyewe?
LeoUlimuona lini kwenye boda boda boss
Kesho kwenye mkokaa pasua nitampiga pichaHukuweza kumpiga picha
Atakuwa msambaa huyo... Moshi imeandika historia; umekuwa mji wa kwanza nchini meya kusapoti ushoga na kuahidi kuwatetea kwa nguvu zote! Kabila gani huyu? Chama gani huyu?
Hatuoni ushahidi wowote katika post yako kwamba katuhumiwa kwa ushoga.Nadhani tuhuma zako si za kweli,or else toa ushahidi.Juma Raibu, aliyekuwa meya manispaa ya Moshi amesema Siku zote ukisimamia ukweli na haki huwezi baki salama, Amesema amejitahidi kadri ya uwezo wake.
Amesema Viongozi wa CCM wilaya na mkoa wamekuwa chanzo kikubwa cha mgogoro hadi kutisha wajumbe ili atolewe kwa maslahi yao. Mungu ni mwema niko salama.
Juma Raibu ameondolewa katika nafasi yake leo kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kusapoti ushoga
Juma Raibu aliwahi kuwatimua wajumbe waliovaa barakoa kipindi cha COVID19 Meya Manispaa ya Moshi awataka wajumbe waliovaa barakoa kuzivua
Jamaa yake na sabaya sana kalikua kanampa michongo ya uporaji kwa matajiri wa moshiKajamaa hako huwa kama misimamo ya kikuda sana
Ford ranger 😂😂😂Boda boda aina gani ilikua
Wewe si umesema huyu mtetezi wa haki zenu ana ford ??Aina za bodaboda najua Boxer, KingLion, hio ford ranger ni mpya ya mwaka huu?
CCM hawajawahi kuzuia wazi wazi na kwa vitendo matumizi mabaya ya pesa za umma na ndio maana mwenyekiti wao kaanzisha mpango wa kula kwa urefu wa kamba yako!Licha ya ushoga alikua na kashfa ya matumizi mabaya ya pesa za umma
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hebu fanyeni party nyingine na msikubali kurekodi tena msije mkaponza waudhuriaji kama mlivyomponza Raibu.Ndio ana ford ranger, wewe umesema umemuona kwenye bodaboda aina ya ford ranger ndio nakuuliza ni mpya imetoka mwaka huu? Mana bodaboda najua kuna boxer na kinglion, unaweza tuma picha tuone bodaboda aina ya ford ranger
Kwani ushoga unakuuma nini kama huufanyi?... Moshi imeandika historia; umekuwa mji wa kwanza nchini meya kusapoti ushoga na kuahidi kuwatetea kwa nguvu zote! Kabila gani huyu? Chama gani huyu?
Oyaa acha hasira bana mimi sio mmoja kati ya madiwani aliyepiga kura ya kumtimua Raibu kwasababu tu kahudhuria party yako.Tunaomba kupata picha ya boda boda aina ya ford ranger , tuoneshe hio picha hapa umma wa watanzania upate kujua.