Aliyefukuzwa umeya kwa tuhuma za ushoga asema ukisimamia ukweli huwezi baki salama

Aliyefukuzwa umeya kwa tuhuma za ushoga asema ukisimamia ukweli huwezi baki salama

... kwa hiyo anayefanya ushoga inamuuma anapotetewa kufanya ushoga wake? Hueleweki ndugu!
Twende tukawatetee Ukraine, tuachane na mambo yasiyo na faida kwetu, anayefanya afanye imradi asimkere mtu
 
[emoji23]umedanganywa,kajamaa kapo second year kanasoma Bachelor of Law hapo ushirika na sijawahi kuona Ford inaingia ushirika achilia gari yoyote ya bei kubwa ya mtu binafsi
kajamaa ni kasela tu fulani,na kanachakata papuchi kimasihara so mambo ya ugasho pia hakana kabisa licha ya kwamba kalihudhuria party ya wapitwa uhani
Ni versatile huyooo, unataa nn, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
jamaa anakula papuchi kama watu wengine tu vijana na anapiga vyombo .ugasho hana,nimemaliza ushirika hapo nimemuacba nilikuwa Masters
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huna hata unalolijua.
 
Tunaomba kupata picha ya boda boda aina ya ford ranger , tuoneshe hio picha hapa umma wa watanzania upate kujua.
Umma mmeponza Raibu kafukuzwa kisa party yenu mnatakiwa kumfariji na sio kutokwa mapovu mitandaoni.
 
Wee muongo, pale alifuata gari yake kwake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kama alirudi na hiyo gari yake kutuoshea sisi tulishakua tumeshazima camera na tumeondoka eneo la tukio na pia tungemuona na gari tungejificha asituone.
 
Huyu jamaa si aliwahi waamrisha watu wavue barakoa et korona haipo
 
Juma Raibu, aliyekuwa meya manispaa ya Moshi amesema Siku zote ukisimamia ukweli na haki huwezi baki salama, Amesema amejitahidi kadri ya uwezo wake.

Amesema Viongozi wa CCM wilaya na mkoa wamekuwa chanzo kikubwa cha mgogoro hadi kutisha wajumbe ili atolewe kwa maslahi yao. Mungu ni mwema niko salama.

Juma Raibu ameondolewa katika nafasi yake leo kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kusapoti ushoga

Juma Raibu aliwahi kuwatimua wajumbe waliovaa barakoa kipindi cha COVID19 Meya Manispaa ya Moshi awataka wajumbe waliovaa barakoa kuzivua
Hao madiwani nao ovyo tu,kwani huo ushoga ameuanza baada ya kupata umeya? Huyo anajulikana kitambo kuwa hana marinda.
 
... Moshi imeandika historia; umekuwa mji wa kwanza nchini meya kusapoti ushoga na kuahidi kuwatetea kwa nguvu zote! Kabila gani huyu? Chama gani huyu?
Moshi paone tu. Pana Mambo ya ushoga Kama kisiwa fulani.
 
Back
Top Bottom