dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... kwa hiyo anayefanya ushoga inamuuma anapotetewa kufanya ushoga wake? Hueleweki ndugu!Kwani ushoga unakuuma nini kama huufanyi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... kwa hiyo anayefanya ushoga inamuuma anapotetewa kufanya ushoga wake? Hueleweki ndugu!Kwani ushoga unakuuma nini kama huufanyi?
Twende tukawatetee Ukraine, tuachane na mambo yasiyo na faida kwetu, anayefanya afanye imradi asimkere mtu... kwa hiyo anayefanya ushoga inamuuma anapotetewa kufanya ushoga wake? Hueleweki ndugu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Kwahiyo kusimamia mashoga ndio ukweli wenyewe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Atulie pembeni huu ni muda wake wa kupanda boda-boda hadi apauke kama analala jikoni.
Mumewe.Rafiki na mshirika wa jambazi Sabaya
Wee muongo, pale alifuata gari yake kwake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti ford ranger [emoji23] umedanganywa aiaee
Jamaa anapanda boda-boda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]Ni Muislam na inaelekea ushoga alianzia toka madrasat
Ni versatile huyooo, unataa nn, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umedanganywa,kajamaa kapo second year kanasoma Bachelor of Law hapo ushirika na sijawahi kuona Ford inaingia ushirika achilia gari yoyote ya bei kubwa ya mtu binafsi
kajamaa ni kasela tu fulani,na kanachakata papuchi kimasihara so mambo ya ugasho pia hakana kabisa licha ya kwamba kalihudhuria party ya wapitwa uhani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huna hata unalolijua.jamaa anakula papuchi kama watu wengine tu vijana na anapiga vyombo .ugasho hana,nimemaliza ushirika hapo nimemuacba nilikuwa Masters
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu fanyeni party nyingine na msikubali kurekodi tena msije mkaponza waudhuriaji kama mlivyomponza Raibu.
Ila huyo jamaa nafikiri ni Ile jamii ya akina, Kondaboy na Saa mbaya 🤔Watanyukana mwaka huu. Mpaka 2025 ufike watakuwa wamechoka sana
Umma mmeponza Raibu kafukuzwa kisa party yenu mnatakiwa kumfariji na sio kutokwa mapovu mitandaoni.Tunaomba kupata picha ya boda boda aina ya ford ranger , tuoneshe hio picha hapa umma wa watanzania upate kujua.
Sasa kama alirudi na hiyo gari yake kutuoshea sisi tulishakua tumeshazima camera na tumeondoka eneo la tukio na pia tungemuona na gari tungejificha asituone.Wee muongo, pale alifuata gari yake kwake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee mkorofiii khaaahSasa kama alirudi na hiyo gari yake kutuoshea sisi tulishakua tumeshazima camera na tumeondoka eneo la tukio na pia tungemuona na gari tungejificha asituone.
AiseeMumewe.
kuwapa mitindo mipya ya kuwaridhisha wenza wao😀Aiseee!!!?
Ushirikiano gan huo aliotaka kuwapa😁😁🤣
Hao madiwani nao ovyo tu,kwani huo ushoga ameuanza baada ya kupata umeya? Huyo anajulikana kitambo kuwa hana marinda.Juma Raibu, aliyekuwa meya manispaa ya Moshi amesema Siku zote ukisimamia ukweli na haki huwezi baki salama, Amesema amejitahidi kadri ya uwezo wake.
Amesema Viongozi wa CCM wilaya na mkoa wamekuwa chanzo kikubwa cha mgogoro hadi kutisha wajumbe ili atolewe kwa maslahi yao. Mungu ni mwema niko salama.
Juma Raibu ameondolewa katika nafasi yake leo kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kusapoti ushoga
Juma Raibu aliwahi kuwatimua wajumbe waliovaa barakoa kipindi cha COVID19 Meya Manispaa ya Moshi awataka wajumbe waliovaa barakoa kuzivua
Moshi paone tu. Pana Mambo ya ushoga Kama kisiwa fulani.... Moshi imeandika historia; umekuwa mji wa kwanza nchini meya kusapoti ushoga na kuahidi kuwatetea kwa nguvu zote! Kabila gani huyu? Chama gani huyu?