Aliyefukuzwa umeya kwa tuhuma za ushoga asema ukisimamia ukweli huwezi baki salama

... kwa hiyo anayefanya ushoga inamuuma anapotetewa kufanya ushoga wake? Hueleweki ndugu!
Twende tukawatetee Ukraine, tuachane na mambo yasiyo na faida kwetu, anayefanya afanye imradi asimkere mtu
 
Ni versatile huyooo, unataa nn, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
jamaa anakula papuchi kama watu wengine tu vijana na anapiga vyombo .ugasho hana,nimemaliza ushirika hapo nimemuacba nilikuwa Masters
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huna hata unalolijua.
 
Tunaomba kupata picha ya boda boda aina ya ford ranger , tuoneshe hio picha hapa umma wa watanzania upate kujua.
Umma mmeponza Raibu kafukuzwa kisa party yenu mnatakiwa kumfariji na sio kutokwa mapovu mitandaoni.
 
Wee muongo, pale alifuata gari yake kwake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kama alirudi na hiyo gari yake kutuoshea sisi tulishakua tumeshazima camera na tumeondoka eneo la tukio na pia tungemuona na gari tungejificha asituone.
 
Huyu jamaa si aliwahi waamrisha watu wavue barakoa et korona haipo
 
Hao madiwani nao ovyo tu,kwani huo ushoga ameuanza baada ya kupata umeya? Huyo anajulikana kitambo kuwa hana marinda.
 
... Moshi imeandika historia; umekuwa mji wa kwanza nchini meya kusapoti ushoga na kuahidi kuwatetea kwa nguvu zote! Kabila gani huyu? Chama gani huyu?
Moshi paone tu. Pana Mambo ya ushoga Kama kisiwa fulani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…