Aliyefuta somo la kilimo shuleni achunguzwe uraia wake na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi

Shule nyingi hazina mashamba
Yaani hata zingekuwa na mashamba jambo kubwa sana ni kwa mba ni Kwa nini elimu yetu imeneglect kilimo wakati tumeambiwa tangia enzi na dahari kwamba ndio uti wa mgongo wa nchi yetu?
 
Hata ajira za juzi mwalimu wa somo la kilimo hakuna hata mmoja
Kabisa mkuu na hiki ni kiashiria tosha kwamba tuna safari ndefu sana unapuuza uti wa mgongo alafu uwe salama kweli?

Tulipaswa kuwa na vyuo vya study za kilimo Kila tarafa nchi nzima bank za kudeal na wakulima kila wiliya.

Kila taifa linajua nguvu yake ilipo na hapo linawekeza nguvu zake zote. Tuwe wakweli tumeingizwa chaka vibaya sana.
 
Wewe ni muongo. Rafiki yangu kamaliza SUA 2016 na kaajiriwa 2018.Kama huna taarifa sahihi funga hilo bakuli
 
Hivi halipo tena?
 
Kwanini iwe o level na si primary?
Na haya ndiyo mawazo yanayoturudisha nyuma maana kilimo ndiyo maisha tunayoishi sasa iweje mtu asikisome aje apambane nacho sekondari wakati unajua hata akihitimu sekondari huna ajira ya kumpa?
 
Mkuu kuna watu wana chuki na Magufuli, so huwa wanajisikia tu kuongea lolote baya wamwagilie mioyo yao
Ukweli ni kwamba kwa hali iliyopo sasa hata kama wataajiri hakuna mifumo inayosupport elimu ya kilimo tunahitaji kupiga keleke kama waathirika wa huu mfumo ili tupate utaratibu mpya wa kuendesha elimu yetu ili ikipe kipaumbele cha kwanza kilimo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…