Aliyehukumiwa kwenda jela miaka 2 kwa kuchoma picha ya Rais amechukuliwa na watu wasiyojulika, mpaka sasa hajulikani alipo

Acha wakamnyooshe ili aelewe nini maana ya dola iwe funzo kwa wengine
 
Wakati mwingine ukiwez kujiepusha na matatizo yanayoepukika ni vizuri kujiepusha nayo
Nakazia EPUKA MATATIZO YANAYOEPUKIKA,Watu watakuhurumia LAKINI UMEKWISHA UMIA.
 
Safari ya Demokrasia Africa ni ndefu mno, tutafika tumechoka - bado tuna ka ushamba flani hivi.

Wenzetu hayo yalikuwaga karne ya 14 na 15.
 
Madhara ya kurithisha Nchi ma mutu mashamba.yakikosolewa yanakimbilia kuwatumia polisi kuua
 
Na pengine labda baada ya kutoka jela alionekana bado anajifanya shujaa na kukejeli mamlaka.
Yawezekana hata hao waliomuona akichukuliwa walikuwa wamemchoka... Kwanini?..Kwa sababu wangelimsaidia kijana wao aliye na tabia njema.
Pengine na labda ni lugha ya wajinga
 
Waafrika hasa watanzania wana upumbavu wa milele.
 
Kumekucha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…