Pre GE2025 Aliyekosoa uteuzi wa Samia kuwa mgombea Urais ahofia maisha yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Basi jina la aziz k halikufai kabisa

Kwa hiyo Aziz K wa kibongo, Yule ana moyo wa ki Bukinafaso, hii mioyo yetu sio jambo rahisi!!!!

Kwa nini umezaa na vyombo viwili vya Habari?
 
mgombea urais wa cck anatafuta kiki marekani hawapokei wakimbizi wa kisiasa wazee
 
Huyo ndugu zake waandae matanga tu lazima watamteka na kukuua kisha kwenda kumtupa pori la Katavi aliwe na wale fisi wenye madoa doa
 
Hii nchi tulipofikia ni kuwa 9mm pistol yako na kutulia sio makelele ni umama.
 
Hata kama atauawa kitakuwa ni kiherehere chake kwani hakujua kuwa CCM ukiwa msema kweli dawa yako ni kuuawa.

Lema alisema wakitumaliza wataanza na nyeee.
 
Humu ni fake I'ds, yawezekana ukawa ni mmoja wa watakaomuua huyo mchungaji unayesema Mungu kashindwa kumlinda.
Mungu si ana nguvu kuliko wauaji? Leo imekuaje tena mnashindwa kumwamini
 
Baba significance yoyote

Atulie tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…