Michabganyo inamsumbua hadi haamini ulinzi wa MunguMchungaji gani huyu hana ulinzi wa Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Michabganyo inamsumbua hadi haamini ulinzi wa MunguMchungaji gani huyu hana ulinzi wa Mungu
Sio kila aliyeandikwa kwenye biblia alikuwa ni mtumishi wa Mungu, wengine wana dhambi tu kama sisi.Yusufu baba wa kufikia wa Yesu Kristo alimriwa kuikimbia nchi yake kwenda Misri ili kuyaponya maisha ya mtoto Yesu.
Nabii Samuel wakati ameamriwa kwenda kumpaka mafuta Daudi kama mfalme mtarajiwa wa Israeli aliogopa kuawa na mfalme aliyekua madarakani, Mungu alimpa njia ya namna ya kujilinda; wapo na wengine wengi. Swali; hawakua na ulinzi wa Mungu?
Wewe umekosa akili.Hili niwaambie ukweli, kukosoa jambo la mtu ni kukosoa watu wote wenye imani nao, nakukuweka ww kwenye hali mbaya. Katika eneo lolote la maisha.
Watanzania tujifunze hapa haswa vijana. Mzee huyu kakosa tu kaba na Hana Aibu.
Binadamu lazma uwe na kaba na aibu katika matendo yako narudia haswa sisi watanzania.
Kuishi na walimwengu yahitaji uvumilivu sana.
Hata wewe mwanajf leo, mtu akimsema mtu ambae wewe ni rafiki au mkaribu wako, huyo mtu kwako ni kikwazo na hafai.
Kuna watu tunawaona wako radhi wakumalize kwasababu yamapenzi yao au itikadi zao. Tunachoona drc, palestine, malawi, wakulima na wamasai, haya yote yanatengenezwa kwasababu ya utofauti wa itikadi za makundi haya.
Bwana malisa awe ametishwa au hajatishwa, tishio lake kubwa ni watu wenye mapenzi na Raisi na CCM.
Ukiwa against ukawapandisha hasira hawa, tena mbaya huwafahamu kabisa. Watakuumiza watakuua, wapo watu hapa Tanzania wako hvo haswa vijana wakisasa hawa.
Tumeumbiwa hofu sisi ni binadamu...hata Yesu katika ubinadamu wake aliogopa akasema Baba kikombe hiki nisikinywee ikiwa ni mapenzi yako laah mapenzi yako yatimizwe...ndio ubinadamuMchungaji gani huyu hana ulinzi wa Mungu
Aache kujipa umaarufu, hamna wakumdhuruSiku chache baada ya kufutwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana sababu ya kupinga uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa CCM, Mchungaji Dkt.Godfrey Malisa amedai kuanza kuingiwa na wasiwasi kuhusu maisha yake na kuwa yupo katika hatari baada ya kusema ukweli.
Akizungumza na Jambo Tv kuhusu kinachoendelea, Malisa amesema “na niwaambie watanzania wajue tu kwamba nipo kwenye wakati mgumu sana kwa sababu tu nimesimama kusema kweli, tumefika mahali hata watu wanatoa ushauri kwamba afadhali uondoke hata nchini”
Soma pia: Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama
Aidha Dkt. Malisa ameongeza kuwa ameshangazwa sana na hali hiyo ya kufikia kutishiwa hali ya kuwa tu ni kasema ukweli “Tunafika mahali tunasema hivi nchi yetu tupo hapo mahali pa kutishiwa kwa sababu tu unasema kweli. Nakumbuka mwanzoni kuna watu walikuja wakaniambia bana jihadhari” amesema Dkt. Malisa
Aidha amewaomba watanzania kumuombea kwa Mungu kwani anaamini ulinzi wa Mungu utamuwezesha kuivuka hali anayopitia
View attachment 3240687
Basi sawaaaTumeumbiwa hofu sisi ni binadamu...hata Yesu katika ubinadamu wake aliogopa akasema Baba kikombe hiki nisikinywee ikiwa ni mapenzi yako laah mapenzi yako yatimizwe...ndio ubinadamu
Wamesham TAGSiku chache baada ya kufutwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana sababu ya kupinga uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa CCM, Mchungaji Dkt.Godfrey Malisa amedai kuanza kuingiwa na wasiwasi kuhusu maisha yake na kuwa yupo katika hatari baada ya kusema ukweli.
Akizungumza na Jambo Tv kuhusu kinachoendelea, Malisa amesema “na niwaambie watanzania wajue tu kwamba nipo kwenye wakati mgumu sana kwa sababu tu nimesimama kusema kweli, tumefika mahali hata watu wanatoa ushauri kwamba afadhali uondoke hata nchini”
Soma pia: Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama
Aidha Dkt. Malisa ameongeza kuwa ameshangazwa sana na hali hiyo ya kufikia kutishiwa hali ya kuwa tu ni kasema ukweli “Tunafika mahali tunasema hivi nchi yetu tupo hapo mahali pa kutishiwa kwa sababu tu unasema kweli. Nakumbuka mwanzoni kuna watu walikuja wakaniambia bana jihadhari” amesema Dkt. Malisa
Aidha amewaomba watanzania kumuombea kwa Mungu kwani anaamini ulinzi wa Mungu utamuwezesha kuivuka hali anayopitia
View attachment 3240687
Duh 🙄 !Tlaatlaah ndio wamekupa kazi umuuwe mzee wetu ?
Uwende mwenyewe ukalivurumue mzinga wa nyuki unategemea nini hao wenzako hawana mdhaha hata kifogo hasa likija swala la Madaraka ukilita masihara watakubadisha jina kweli. We endelea kulabila labila tu.Siku chache baada ya kufutwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana sababu ya kupinga uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa CCM, Mchungaji Dkt.Godfrey Malisa amedai kuanza kuingiwa na wasiwasi kuhusu maisha yake na kuwa yupo katika hatari baada ya kusema ukweli.
Akizungumza na Jambo Tv kuhusu kinachoendelea, Malisa amesema “na niwaambie watanzania wajue tu kwamba nipo kwenye wakati mgumu sana kwa sababu tu nimesimama kusema kweli, tumefika mahali hata watu wanatoa ushauri kwamba afadhali uondoke hata nchini”
Soma pia: Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama
Aidha Dkt. Malisa ameongeza kuwa ameshangazwa sana na hali hiyo ya kufikia kutishiwa hali ya kuwa tu ni kasema ukweli “Tunafika mahali tunasema hivi nchi yetu tupo hapo mahali pa kutishiwa kwa sababu tu unasema kweli. Nakumbuka mwanzoni kuna watu walikuja wakaniambia bana jihadhari” amesema Dkt. Malisa
Aidha amewaomba watanzania kumuombea kwa Mungu kwani anaamini ulinzi wa Mungu utamuwezesha kuivuka hali anayopitia
View attachment 3240687
Kwahiyo hao niliowatolea mfano, Yesu na Samuel walikua na dhambi? Kama Yesu nae alikua na dhambi then HAKUNA ukristo. Wote hao Biblia inasema, "....walikua wakimpendeza MUNGU na wanadamu"Sio kila aliyeandikwa kwenye biblia alikuwa ni mtumishi wa Mungu, wengine wana dhambi tu kama sisi.
Mchungaji wa mifugo huyoSiku chache baada ya kufutwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana sababu ya kupinga uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa CCM, Mchungaji Dkt.Godfrey Malisa amedai kuanza kuingiwa na wasiwasi kuhusu maisha yake na kuwa yupo katika hatari baada ya kusema ukweli.
Akizungumza na Jambo Tv kuhusu kinachoendelea, Malisa amesema “na niwaambie watanzania wajue tu kwamba nipo kwenye wakati mgumu sana kwa sababu tu nimesimama kusema kweli, tumefika mahali hata watu wanatoa ushauri kwamba afadhali uondoke hata nchini”
Soma pia: Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama
Aidha Dkt. Malisa ameongeza kuwa ameshangazwa sana na hali hiyo ya kufikia kutishiwa hali ya kuwa tu ni kasema ukweli “Tunafika mahali tunasema hivi nchi yetu tupo hapo mahali pa kutishiwa kwa sababu tu unasema kweli. Nakumbuka mwanzoni kuna watu walikuja wakaniambia bana jihadhari” amesema Dkt. Malisa
Aidha amewaomba watanzania kumuombea kwa Mungu kwani anaamini ulinzi wa Mungu utamuwezesha kuivuka hali anayopitia
View attachment 3240687
Hakuna atakayeishi milele tena wewe unaweza ukafa ukamwacha huyo mzeeHili niwaambie ukweli, kukosoa jambo la mtu ni kukosoa watu wote wenye imani nao, nakukuweka ww kwenye hali mbaya. Katika eneo lolote la maisha.
Watanzania tujifunze hapa haswa vijana. Mzee huyu kakosa tu kaba na Hana Aibu.
Binadamu lazma uwe na kaba na aibu katika matendo yako narudia haswa sisi watanzania.
Kuishi na walimwengu yahitaji uvumilivu sana.
Hata wewe mwanajf leo, mtu akimsema mtu ambae wewe ni rafiki au mkaribu wako, huyo mtu kwako ni kikwazo na hafai.
Kuna watu tunawaona wako radhi wakumalize kwasababu yamapenzi yao au itikadi zao. Tunachoona drc, palestine, malawi, wakulima na wamasai, haya yote yanatengenezwa kwasababu ya utofauti wa itikadi za makundi haya.
Bwana malisa awe ametishwa au hajatishwa, tishio lake kubwa ni watu wenye mapenzi na Raisi na CCM.
Ukiwa against ukawapandisha hasira hawa, tena mbaya huwafahamu kabisa. Watakuumiza watakuua, wapo watu hapa Tanzania wako hvo haswa vijana wakisasa hawa.
Ustarabu wa kutokufuata utaratibuHakuna Uhuru usiokuwa na mipaka - hatadhurika ila watanzania tujifunze ustarabu.