uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Basi jina la aziz k halikufai kabisa
Kwa hiyo Aziz K wa kibongo, Yule ana moyo wa ki Bukinafaso, hii mioyo yetu sio jambo rahisi!!!!
Kwa nini umezaa na vyombo viwili vya Habari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi jina la aziz k halikufai kabisa
mgombea urais wa cck anatafuta kiki marekani hawapokei wakimbizi wa kisiasa wazeeSiku chache baada ya kufutwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana sababu ya kupinga uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa CCM, Mchungaji Dkt.Godfrey Malisa amedai kuanza kuingiwa na wasiwasi kuhusu maisha yake na kuwa yupo katika hatari baada ya kusema ukweli.
Akizungumza na Jambo Tv kuhusu kinachoendelea, Malisa amesema “na niwaambie watanzania wajue tu kwamba nipo kwenye wakati mgumu sana kwa sababu tu nimesimama kusema kweli, tumefika mahali hata watu wanatoa ushauri kwamba afadhali uondoke hata nchini”
Soma pia: Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama
Aidha Dkt. Malisa ameongeza kuwa ameshangazwa sana na hali hiyo ya kufikia kutishiwa hali ya kuwa tu ni kasema ukweli “Tunafika mahali tunasema hivi nchi yetu tupo hapo mahali pa kutishiwa kwa sababu tu unasema kweli. Nakumbuka mwanzoni kuna watu walikuja wakaniambia bana jihadhari” amesema Dkt. Malisa
Aidha amewaomba watanzania kumuombea kwa Mungu kwani anaamini ulinzi wa Mungu utamuwezesha kuivuka hali anayopitia
View attachment 3240687

VitatuKwa hiyo Aziz K wa kibongo, Yule ana moyo wa ki Bukinafaso, hii mioyo yetu sio jambo rahisi!!!!
Kwa nini umezaa na vyombo viwili vya Habari?
Aziz Ki ana ujasiri wa kuweza kukumbatia kifuani jiko la mkaa lililokolea motoKwa hiyo Aziz K wa kibongo, Yule ana moyo wa ki Bukinafaso, hii mioyo yetu sio jambo rahisi!!!!
Kwa nini umezaa na vyombo viwili vya Habari?
Aziz Ki ana ujasiri wa kuweza kukumbatia kifuani jiko la mkaa lililokolea moto
Muueni tu msingizie Mungu kwamba hakumlinda, siyo kuleta kejeli hapa. Kwani huyo Samia hàna Mungu hadi mnamlinda na vifaru?Mchungaji gani huyu hana ulinzi wa Mungu
Umeniona mimi nikimlinda samia au macho yako makengeza?Muueni tu msingizie Mungu kwamba hakumlinda, siyo kuleta kejeli hapa. Kwani huyo Samia hàna Mungu hadi mnamlinda na vifaru?
Humu ni fake I'ds, yawezekana ukawa ni mmoja wa watakaomuua huyo mchungaji unayesema Mungu kashindwa kumlinda.Umeniona mimi nikimlinda samia au macho yako makengeza?
Kile Chama chakavu kina mashetani wengi Sana wanaopewa ahadi ya Fedha kuutoa uhai wa mtu.Kuna yule kijana wa kichaga aliyemlisha sumu marehemu Thadei Ole Mushi nafikiri ndiye amepewa hiyo kandarasi
Hizo hekaya za Abuu NuwasMchungaji gani huyu hana ulinzi wa Mungu
Sio bure Asee, wanapea Malipo ya kazi chafu.Hahaha,
Ukute ashapewa pesa ya kazi na ameshaila tayari
Tapeli huyoMchungaji gani huyu hana ulinzi wa Mungu
Mungu si ana nguvu kuliko wauaji? Leo imekuaje tena mnashindwa kumwaminiHumu ni fake I'ds, yawezekana ukawa ni mmoja wa watakaomuua huyo mchungaji unayesema Mungu kashindwa kumlinda.
Mipango tayari, bado tu utekelezaji. Utasikia anatafutwa na ndugu zake.Bado hajasema atajua hajui
Baba significance yoyoteSiku chache baada ya kufutwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana sababu ya kupinga uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa CCM, Mchungaji Dkt.Godfrey Malisa amedai kuanza kuingiwa na wasiwasi kuhusu maisha yake na kuwa yupo katika hatari baada ya kusema ukweli.
Akizungumza na Jambo Tv kuhusu kinachoendelea, Malisa amesema “na niwaambie watanzania wajue tu kwamba nipo kwenye wakati mgumu sana kwa sababu tu nimesimama kusema kweli, tumefika mahali hata watu wanatoa ushauri kwamba afadhali uondoke hata nchini”
Soma pia: Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama
Aidha Dkt. Malisa ameongeza kuwa ameshangazwa sana na hali hiyo ya kufikia kutishiwa hali ya kuwa tu ni kasema ukweli “Tunafika mahali tunasema hivi nchi yetu tupo hapo mahali pa kutishiwa kwa sababu tu unasema kweli. Nakumbuka mwanzoni kuna watu walikuja wakaniambia bana jihadhari” amesema Dkt. Malisa
Aidha amewaomba watanzania kumuombea kwa Mungu kwani anaamini ulinzi wa Mungu utamuwezesha kuivuka hali anayopitia
View attachment 3240687
Nani amuue mental case?Humu ni fake I'ds, yawezekana ukawa ni mmoja wa watakaomuua huyo mchungaji unayesema Mungu kashindwa kumlinda.