Aliyekubali Switch za bwawa la umeme la Rusumo Tanzania zikawekwe Rwanda ametumia akili zake ipasavyo?

Hii mitandao ya kijamii huwafanyaa watumiaji wajione ni masuperman na wako sawa na kila mtu. Sijui nini huwasukuma watumiaji wa mitandao kumtukana mtu ambaye ametoa tu maoni yake na wala hajamtusi.
 
Kujadili uzi kama huu ni kuudhalilisha ubongo.
Hivi inaingia akilini hiyo kweli?
Mwanaume unazuia chupi ya demu wako lkn K anakuwa nayo mwenyewe.
Switch ni kitu gani?

Halafu Taarifa ISIYO RASMI
Fogofu
Taarifa ni rasmi
 
Inawezekana, kama rais ni mwehu, unategemea watendaji wake inakuaje
 
Hii mitandao ya kijamii huwafanyaa watumiaji wajione ni masuperman na wako sawa na kila mtu. Sijui nini huwasukuma watumiaji wa mitandao kumtukana mtu ambaye ametoa tu maoni yake na wala hajamtusi.
Leta hoja uone kama utatukanwa, halafu tusi ni subjective, ukisema nimekutukana wakati najua sijafanya hivyo, mimi ni nani nipinge? , maana huyo alikimbia as soon as nilipomuuliza kwamba Tanzania ina share asilimia ngapi kwenye bwawa la Aswan lililopo Misri, unataka kumsaidia?
 
Kuna wale wapuuzi walikuwa wakiona Magufuli kuwa ni mungu wao kwenye huu uzi hatuwaoni
 
Sasa wakituzimia switch kwa ugomvi wa kijinga tu, maana PK ni mtu wa visasi sana, huoni viwanda vinavyotegemea huo umeme hasa vya sukari vitapata shida sana, hiyo si ni sawa na uhujumu uchumi??!
Bwawa lipo Tanzania , mitambo ipo Tanzania, kila kitu kipo Tanzania ,..

Kwa hiyo tukiamua tunabadilisha system zote inakuwa inafanya kazi Tanzania tu,.
 
Bwawa lipo Tanzania , mitambo ipo Tanzania, kila kitu kipo Tanzania ,..

Kwa hiyo tukiamua tunabadilisha system zote inakuwa inafanya kazi Tanzania tu,.
Nikweli kama hakukuwa na sababu za kisayansi za kutokuweka switch tz ila ilikuwa ni siasa basi wamefanya ujinga usio na tija na kupoteza pesa bure ...maana tunaweza kuweka switch tz kama ulivyo sema na mambo yakaendelea
 
Huo sio Mradi wa Tanzania tu,
 
Huu umeme unazalishwa kutoka kwenye maporomoko ya mto Kagera.
Mto Kagera uko shared na Rwanda na Tanzania hivyo automatically kila faida inayotokana na mto huo lazima kila nchi ipate equal share.
Mto Kagera niproduct ya mito miwili,
Mto Ruvuvu kutoka Burundi na Nyabarongo kutoka Rwanda.
Burundi akiamua kutumia maji yake kutoka chanzo nchini Burundi automatically huu mradi unakufa juu hakutakuwa na nguvu ya kuzalisha.
Kila nchi husika ina mchango mkubwa katika mradi huu.
Haijalishi switch au kiwanda kimejengwa wapi..kuna makubaliano yaliyotengenezwa na wataalamu kutoka nchi zote.
 
Bwawa lipo Tanzania , mitambo ipo Tanzania, kila kitu kipo Tanzania ,..

Kwa hiyo tukiamua tunabadilisha system zote inakuwa inafanya kazi Tanzania tu,.
Napendekeza zijengwe redundant switch house huku Tz, ili ikitokea dharura yeyote kwa hao jamaa, immediately tunaunga kwemye switch zetu
 
Huo sio Mradi wa Tanzania tu,
Tanzania ilikosa pesa za kununua switch za bwawa lake hadi akaombe mchango wa Rwanda? Tungekopa hizo switch kisha tuwauzianhuo umeme, ndani ya moezi mitatu si tungeahalipa huo mkopo wa switch?
 
Kama huo mto uko shared, then kila mtu ajenge bwawa nchini kwake, shida iko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…