Hii mitandao ya kijamii huwafanyaa watumiaji wajione ni masuperman na wako sawa na kila mtu. Sijui nini huwasukuma watumiaji wa mitandao kumtukana mtu ambaye ametoa tu maoni yake na wala hajamtusi.Hivi unaweza kusema nini kimekufanya utukane hapo?
Btw, hivi ungekuwa na akili timamu ungehoji suala la switch kuwa Rwanda wakati ni mradi wa nchi 3 kwa pamoja na kwahiyo hiyo switch lazima iwe kwenye moja ya hizo nchi?
Kwanini uone inastahili kuwa TZ na sio Rwanda au Burundi?
VERY STUPID!
HahahaNgoja nikae kimya kuepusha ban.
Taarifa ni rasmiKujadili uzi kama huu ni kuudhalilisha ubongo.
Hivi inaingia akilini hiyo kweli?
Mwanaume unazuia chupi ya demu wako lkn K anakuwa nayo mwenyewe.
Switch ni kitu gani?
Halafu Taarifa ISIYO RASMI
Fogofu
Inawezekana, kama rais ni mwehu, unategemea watendaji wake inakuajeNimepata taarifa zisizo rasmi kwamba eti lile bwawa la umeme la Rusumo linalojengwa huko Ngara Tanzania, eti switch zake za kuwashia na kusambazi umeme zinafungwa Rwanda.
Maana yake ni kwamba Tanzania itakuwa ikizalisha umeme, halafu huo umeme utasafiri hadi Rwanda, halafu Rwanda ndio itakua inawasha hizo Switch ili kuruhusu umeme uje Tanzania.
Je, kuna mantiki yeyote juu ya maamuzi kama haya? , kwahiyo siku tukipandisha ushuru bandarini kwa mizigo inayoenda Rwanda na wao wanatuzimia switch za umeme hadi tushike adabu, na umeme tunauzalisha wenyewe? Sasa nashangaa, Tanzania tulikosa pesa ya kununulia switch hadi kwenda kuomba mchango wa Rwanda na tugawane nao umeme nusu kwa nusu eti?
Mi nadhani kuwe na haja ya kupimana magonjwa ya akili kabla ya kupeana hizi wizara nyeti hasa za Nishati na madini.., video ina maelezo ya ziada
Leta hoja uone kama utatukanwa, halafu tusi ni subjective, ukisema nimekutukana wakati najua sijafanya hivyo, mimi ni nani nipinge? , maana huyo alikimbia as soon as nilipomuuliza kwamba Tanzania ina share asilimia ngapi kwenye bwawa la Aswan lililopo Misri, unataka kumsaidia?Hii mitandao ya kijamii huwafanyaa watumiaji wajione ni masuperman na wako sawa na kila mtu. Sijui nini huwasukuma watumiaji wa mitandao kumtukana mtu ambaye ametoa tu maoni yake na wala hajamtusi.
Kuna wale wapuuzi walikuwa wakiona Magufuli kuwa ni mungu wao kwenye huu uzi hatuwaonismart moves kwa tz switch zilitakiwa kuwa nchi dhaifu, ambayo ni burundi, kupeleka switch Rwanda ambaye amejipambanua kama mshindani wako ni hatari kww afya ya uchumi wetu, halag hilo bwawa kama lipo upande wetu kulikuwa na ulazima gani kuchanga?? kwann tusingezalisha then wao tukawauzia hizo 27% kila mmoja?? kama ni mkopo tungeweza kukopa wote sisi, kila kitu tukimiliki sisi then wao wawe wateja tu, chakushare siku zote hakinaga afya, hatujifubzi tu mambo ya tazara na eac??
Kama unaleta upuuzi utukanwe tuHii mitandao ya kijamii huwafanyaa watumiaji wajione ni masuperman na wako sawa na kila mtu. Sijui nini huwasukuma watumiaji wa mitandao kumtukana mtu ambaye ametoa tu maoni yake na wala hajamtusi.
Bwawa lipo Tanzania , mitambo ipo Tanzania, kila kitu kipo Tanzania ,..Sasa wakituzimia switch kwa ugomvi wa kijinga tu, maana PK ni mtu wa visasi sana, huoni viwanda vinavyotegemea huo umeme hasa vya sukari vitapata shida sana, hiyo si ni sawa na uhujumu uchumi??!
Nikweli kama hakukuwa na sababu za kisayansi za kutokuweka switch tz ila ilikuwa ni siasa basi wamefanya ujinga usio na tija na kupoteza pesa bure ...maana tunaweza kuweka switch tz kama ulivyo sema na mambo yakaendeleaBwawa lipo Tanzania , mitambo ipo Tanzania, kila kitu kipo Tanzania ,..
Kwa hiyo tukiamua tunabadilisha system zote inakuwa inafanya kazi Tanzania tu,.
Mauzauza hoyee [emoji1417]Katika hii nchi chochote cha ovyo kinawezekana
Huo sio Mradi wa Tanzania tu,Nimepata taarifa zisizo rasmi kwamba eti lile bwawa la umeme la Rusumo linalojengwa huko Ngara Tanzania, eti switch zake za kuwashia na kusambazi umeme zinafungwa Rwanda.
Maana yake ni kwamba Tanzania itakuwa ikizalisha umeme, halafu huo umeme utasafiri hadi Rwanda, halafu Rwanda ndio itakua inawasha hizo Switch ili kuruhusu umeme uje Tanzania.
Je, kuna mantiki yeyote juu ya maamuzi kama haya? , kwahiyo siku tukipandisha ushuru bandarini kwa mizigo inayoenda Rwanda na wao wanatuzimia switch za umeme hadi tushike adabu, na umeme tunauzalisha wenyewe? Sasa nashangaa, Tanzania tulikosa pesa ya kununulia switch hadi kwenda kuomba mchango wa Rwanda na tugawane nao umeme nusu kwa nusu eti?
Mi nadhani kuwe na haja ya kupimana magonjwa ya akili kabla ya kupeana hizi wizara nyeti hasa za Nishati na madini.., video ina maelezo ya ziada
Napendekeza zijengwe redundant switch house huku Tz, ili ikitokea dharura yeyote kwa hao jamaa, immediately tunaunga kwemye switch zetuBwawa lipo Tanzania , mitambo ipo Tanzania, kila kitu kipo Tanzania ,..
Kwa hiyo tukiamua tunabadilisha system zote inakuwa inafanya kazi Tanzania tu,.
Tanzania ilikosa pesa za kununua switch za bwawa lake hadi akaombe mchango wa Rwanda? Tungekopa hizo switch kisha tuwauzianhuo umeme, ndani ya moezi mitatu si tungeahalipa huo mkopo wa switch?Huo sio Mradi wa Tanzania tu,
Kama huo mto uko shared, then kila mtu ajenge bwawa nchini kwake, shida iko wapi?Huu umeme unazalishwa kutoka kwenye maporomoko ya mto Kagera.
Mto Kagera uko shared na Rwanda na Tanzania hivyo automatically kila faida inayotokana na mto huo lazima kila nchi ipate equal share.
Mto Kagera niproduct ya mito miwili,
Mto Ruvuvu kutoka Burundi na Nyabarongo kutoka Rwanda.
Burundi akiamua kutumia maji yake kutoka chanzo nchini Burundi automatically huu mradi unakufa juu hakutakuwa na nguvu ya kuzalisha.
Kila nchi husika ina mchango mkubwa katika mradi huu.
Haijalishi switch au kiwanda kimejengwa wapi..kuna makubaliano yaliyotengenezwa na wataalamu kutoka nchi zote.