Aliyekubali Switch za bwawa la umeme la Rusumo Tanzania zikawekwe Rwanda ametumia akili zake ipasavyo?

Aliyekubali Switch za bwawa la umeme la Rusumo Tanzania zikawekwe Rwanda ametumia akili zake ipasavyo?

Ushafika kwenye huo mradi au unaanzisha Uzi kuidhihaki serikali na viongozi wake?!!
In hivi, huo mradi ni wa nchi tatu,Rwanda,Burundi na tz.
Therefore kuna kitu kinaitwa MoU ambapo ni kat ya Rwanda na tz kwa kuwa ndizo zimepakana katika mradi huo. Mitambo yote ya kufua umeme iko katika ardhi ya tz but switch ambapo ni kama supply station iko Rwanda ila palepale jirani na bwawa just like 2km juu ya kimlima.
Sasa nyie mkisikia switch ziko Rwanda mnashuka na Uzi kwa DHARAU mkijua labda walizipeleka KIGALI.
Kabla sijakujibu labda utueleze, Burundi imeingiaje kwenye mradi ulio mpkani mwa Tanzania na Rwanda..
 
Kabla sijakujibu labda utueleze, Burundi imeingiaje kwenye mradi ulio mpkani mwa Tanzania na Rwanda..
Mkuu yawezekana nisiwe sahihi lakini kumbuka moja kati ya mito inayounda maporomoko ya maji rusumo "MTO ruvubu" chanzo chake ni Burundi.
Yawezekana isiwe sababu maalumu lakini pia umbali na ulipo mradi kwenda Burundi is less than 30km
 
Mkuu yawezekana nisiwe sahihi lakini kumbuka moja kati ya mito inayounda maporomoko ya maji rusumo "MTO ruvubu" chanzo chake ni Burundi.
Yawezekana isiwe sababu maalumu lakini pia umbali na ulipo mradi kwenda Burundi is less than 30km
Hahahah, kwahiyo miradi yote ndani ya burundi iliyondani ya mzingo wa 30km, sisi Tanzania tuna haki nayo, hahaha, ufisadi ni ufisadi tu, huyo aliyesaini abanwe atueleze vizuri, no way!! Kama ni hivyo Egypt watupe mgao wetu wa Aswan Dam maana maji yanatoka ziwani victoria, hahahah, mambo ya ajabu sana, 🤣🤣🤣
 
Hebu ngoja, mbona huyo manager wa mradi anasema Tanzania tumetoa 100% ya fedha tunayopaswa kutoa, Rwanda 50% na Burundi ndio wamepewa hela na wafadhili? Au ndio mambo ya kuingizana town?
Ndugu yangu Tindo,

Unafanya kama hujui what's going on with this administration?!! Hata SGR tunaambiwa tunagharamia kwa pesa zetu lakini hata usipoumiza kichwa utaona jinsi Deni la Taifa linavyozidi ku-shoot mwaka hadi mwaka!!

Ukiamua kuumiza kichwa utaona mikopo tuliyochukua huku na huko including Standard Chartered Bank na Credit Suisse; na hivi sasa tunaelekea kupiga goti kwa Mchina... Mchina yule yule ambae wakati Magu anaingia madarakani, alikataliwa!!

Bila kupepesa macho, mkopo unatoka Benki ya Dunia na African Development Bank!

Bank ya Dunia wenyewe hapa:-
WASHINGTON, August 6, 2013 – The World Bank’s Board of Executive Directors today approved US$340 million for the Regional Rusumo Falls Hydroelectric Project which aims to benefit people in Burundi, Rwanda and Tanzania. This project is the first operation under the World Bank Group Great Lakes Regional Initiative inaugurated by World Bank Group President Jim Yong Kim during his historic joint visit with UN Secretary General Ban Ki-moon in May 2013.
Bank ya Dunia wanaendelea:-
The World Bank financing of a total US$340 million – US$113.30 million to each of the governments of Burundi, Rwanda and Tanzania comes from the International Development Association, the World Bank’s fund for the poorest.

Na African Development Bank hawa hapa chini:-

AfDB Board commits US $113 million to Regional Rusumo Falls Hydropower Project​

Kisha wanaendelea:-
The Rusumo Falls project will increase renewable power generating capacity and access to electricity in Tanzania, Rwanda and Burundi. The project has two components: an 80 MW hydropower generation plant and transmission lines and substations. The Bank finances the transmission facilities of Rusumo Falls Hydropower Project.

Sasa kama wanataka kutuambia Tanzania ilikataa hilo fungu la WB na AfDB, ndo tunarudi na ule msemo maarufu wa "Akili za mbayuwayu changanya na zako" ila tu niweke sehemu ya Press Release ambayo ilitolewa June 2018 na Wasimamizi wa mradi wenyewe!

Sehemu ya hizo PR inasema:-
The Regional Rusumo Falls Hydroelectric power plant and associated transmission lines will cost USD471. Construction of the power plant will cost USD 340 million funded by World Bank while the transmission lines will cost USD121 million funded by African Development Bank (AfDB).

Sasa kama gharama za mradi ni USD 471M, na WB walitoa USD 340M na AfDB walitoa USD 121M, na hivyo kuwa 340+121 = USD 461 M, halafu tunaambiwa Tanzania tulitoa pesa zetu za ndani, ndo hapo sasa!!!

The question is: mbona kuna pungufu ya USD 10M?!!

Bila shaka hiyo USD 10M itakuwa ya feasibility study na mambo kama hayo kwa sababu nakumbuka back in 2006, AfDB walitoa, kama sikosei USD 4M
 
Ndugu yangu Tindo,

Unafanya kama hujui what's going on in this administration?!!

Mkopo unatoka Benki ya Dunia na African Development Bank!

Bank ya Dunia wenyewe hapa:-

Bank ya Dunia wanaendelea:-


Na African Development Bank hawa hapa chini:-

Kisha wanaendelea:-


Sasa kama wanataka kutuambia Tanzania ilikataa hilo fungu la WB na AfDB, ndo tunarudi na ule msemo maarufu wa "Akili za mbayuwayu changanya na zako" ila tu niweke sehemu ya Press Release ambayo ilitolewa June 2018 na Wasimamizi wa mradi wenyewe!

Sehemu ya hizo PR inasema:-


Sasa kama gharama za mradi ni USD 471M, na WB walitoa USD 340M na AfDB walitoa USD 121M, na hivyo kuwa 340+121 = USD 461 M, halafu tunaambiwa Tanzania tulitoa pesa zetu za ndani, ndo hapo sasa!!!

The question is: mbona kuna pungufu ya USD 10M?!!

Bila shaka hiyo USD 10M itakuwa ya feasibility study na mambo kama hayo kwa sababu nakumbuka back in 2006, AfDB walitoa, kama sikosei USD 4M

Mkuu nilikulewa sana, ndio maana nilisema au ndio kuingizana town pale mwisho.
 
Na mimi nakauliza, Tanzania ilikosa pesa ya kununulia switch? Labda utuambie, mradi upo kwenye mpaka wa Tanzania na Rwanda au ni mpaka wa Tanzania na burundi?
Man,

Tanzania ikose vipi pesa wakati nimeshasema mradi unagharamiwa na WB + AfDB kwa 100%?! Achana na mauongo ya wale jamaa wanaosema eti tunajenga kwa pesa zetu!!

Na gharama za mkopo zinakuwa shared equally na nchi zote 3, na umeme utakaozalishwa utakuwa shared equally na nchi zote 3... so no one country is better than another kwenye huu mradi!!

Location ya mradi ni mpaka wa Tanzania na Rwanda, lakini upo karibu zaidi na Rusumo (Rwanda) na ndio maana hata mradi wenyewe ume-adapt jina la Rusumo!!

Burundi ameingia kwa sababu, as we all know, na wenyewe wana-share Mto Kagera, lakini kwa upande mwingine, source ya mto ni ziwa lililopo Rwanda!!
 
Man,

Tanzania ikose vipi pesa wakati nimeshasema mradi unagharamiwa na WB + AfDB kwa 100%?! Achana na mauongo ya wale jamaa wanaosema eti tunajenga kwa pesa zetu!!

Na gharama za mkopo zinakuwa shared equally na nchi zote 3, na umeme utakaozalishwa utakuwa shared equally na nchi zote 3... so no one country is better than another kwenye huu mradi!!

Location ya mradi ni mpaka wa Tanzania na Rwanda, lakini upo karibu zaidi na Rusumo (Rwanda) na ndio maana hata mradi wenyewe ume-adapt jina la Rusumo!!

Burundi ameingia kwa sababu, as we all know, na wenyewe wana-share Mto Kagera, lakini kwa upande mwingine, source ya mto ni ziwa lililopo Rwanda!!
Tanzania ina asilimia ngapi bwawa la Aswan lililopo Egypt?
 
Nimepata taarifa zisizo rasmi kwamba eti lile bwawa la umeme la Rusumo linalojengwa huko Ngara Tanzania, eti switch zake za kuwashia na kusambazi umeme zinafungwa Rwanda.

Maana yake ni kwamba Tanzania itakuwa ikizalisha umeme, halafu huo umeme utasafiri hadi Rwanda, halafu Rwanda ndio itakua inawasha hizo Switch ili kuruhusu umeme uje Tanzania.

Je, kuna mantiki yeyote juu ya maamuzi kama haya? , kwahiyo siku tukipandisha ushuru bandarini kwa mizigo inayoenda Rwanda na wao wanatuzimia switch za umeme hadi tushike adabu, na umeme tunauzalisha wenyewe? Sasa nashangaa, Tanzania tulikosa pesa ya kununulia switch hadi kwenda kuomba mchango wa Rwanda na tugawane nao umeme nusu kwa nusu eti?

Mi nadhani kuwe na haja ya kupimana magonjwa ya akili kabla ya kupeana hizi wizara nyeti hasa za Nishati na madini.., video ina maelezo ya ziada


Mbona Kagame alimwambia meko anunue bombadia na meko akanunua.
Usishangae meko kwao ni Rwanda
 
Swali sijalielewa!!
Utaelewaje IQ ndogo, kama moja ya source ya mto ni Burundi hivyo wanamgawa sawa kabisa, je Tanzania ambayo ni moja ya Source ya Mto nile, ina asilimia ngapi ya bwawa la Aswan Misri?
 
Utaelewaje IQ ndogo, kama moja ya source ya mto ni Burundi hivyo wanamgawa sawa kabisa, je Tanzania ambayo ni moja ya Source ya Mto nile, ina asilimia ngapi ya bwawa la Aswan Misri?
Look at you... hivi wakiitwa wenye IQ kubwa nawe utatoka mbele?! Kwa ujinga uliojaaliwa nao utauliza hadi maji wanayokunywa Misri, sisi ya kwetu ni asilimia ngapi kwa sababu tu source yake ni Lake Victoria!!

Nimegundua ku-argue na mtu aina yako ni kupoteza muda, na njia muafaka kwangu ni KUKUPUUZA RASMI ili uendelee kubaki na ujuha wako wa kudai switch!!
 
Look at you... hivi wakiitwa wenye IQ kubwa nawe utatoka mbele?! Kwa ujinga uliojaaliwa nao utauliza hadi maji wanayokunywa Misri, sisi ya kwetu ni asilimia ngapi kwa sababu tu source yake ni Lake Victoria!!

Nimegundua ku-argue na mtu aina yako ni kupoteza muda, na njia muafaka kwangu ni KUKUPUUZA RASMI ili uendelee kubaki na ujuha wako wa kudai switch!!
Hahahahah, sawa, sasa jibu swali, tuna asilimia ngapi sisi Tz kama source kwenye Aswan dam? 😂😂😂😂😂🤷🏽
 
Lakini huu mradi ni wa nchi zote husika Tanzania na jirani yake
 
Back
Top Bottom