1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Tatizo ni sehemu ya juu ya mwili wa binadam( kichwa)
Tukichelewa miaka 5 tena bila katiba mpya ,miaka 10 ijayo tutashika vichwa !!
Nchi kubwa kama Tanzania haifai tena kushirikiana na vitongoji.
Tunahitaji masoko ,kule kwenye vitongoji soko ni dogo sana.
Tukichelewa miaka 5 tena bila katiba mpya ,miaka 10 ijayo tutashika vichwa !!
Nchi kubwa kama Tanzania haifai tena kushirikiana na vitongoji.
Tunahitaji masoko ,kule kwenye vitongoji soko ni dogo sana.