Aliyekubali Switch za bwawa la umeme la Rusumo Tanzania zikawekwe Rwanda ametumia akili zake ipasavyo?

Mto rusomo upo rwanda na tanzania. Usafiri kwenda wapi wakati mitambo na ofisi ziko hapohapo mpakani?
 
Malizia episode ya pili, baada ya 2015...
 
Sasa kwanini kila mtu asijenge bwawa kwake? Kwanini tutegemee la Tz pekee?
Hapa kuna mambo ya kiuchumi kwa gharama unazowekeza na umeme utakao pata. Pia chanzo hicho cha cha uzalishaji umeme kinategemea maji yenye uhusiano na nchi tatu hivyo ni lazima makubaliano ya kimkataba kuridhiwa na nchi zote husika. Yote kwa yote kama unaujuzi na unafahamu vizuri mradi huu ukiunganisha na EAST AFRICA POWER POOL Tanzania tuko vizuri.Hivyo viongozi wetu wapewe haki yao ya heshima kwa miradi ya maendeleo kama hii.
 
Mambo ya kiuchumi? Kwanini tusingejenga hata kwa mkopo, halafu tuwauzie hizo megawati 27, halafu pesa watakayolipa tunaenda kulipa mkopo? πŸ€·πŸ½β€β™‚οΈ
 
Je, kuna mantiki yeyote juu ya maamuzi kama haya? , kwahiyo siku tukipandisha ushuru bandarini kwa mizigo inayoenda Rwanda na wao wanatuzimia switch za umeme hadi tushike adabu, na umeme tunauzalisha wenyewe?
🀣
 
Ni mradi wa ushirikiano baina ua nchi tatu yaani Tanzania, Rwanda na Burundi na wote wamechangia fedha. Wakizima switch na sisi tunazima mitambo ya kufua umeme...
Kwa nini mrafi mkubwa kama huu uchangiwe na nchi tqtu wakati upo.kwenye ardhi yetu?
Wao kuna vitu vyao wanatushirikisha?
 
Kwa nini mrafi mkubwa kama huu uchangiwe na nchi tqtu wakati upo.kwenye ardhi yetu?
Wao kuna vitu vyao wanatushirikisha?
Inakera sana haya mambo mengine, hizo megawati 27 27 wanazochukua tungekuwa tunawauzia si tunalipa huo mkopo ndani ya mwezi tu?!
 
halafu huo umeme utasafiri hadi Rwanda
πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€” πŸ€”
Bwawa liko mpakani, umeme hausafiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…