Aliyekutoa bikra ndiye aliyecheza na usichana wako, wengine hatuhusiki kabisa

Aliyekutoa bikra ndiye aliyecheza na usichana wako, wengine hatuhusiki kabisa

Utasikia wanasema usingekuwa we kunichezea na kuni aribu nisinge kuwa hivi na hapo una mkuta hana zote bikra mbili ya nyuma na mbele
Du bikra zote hana !? Siyo ya chadema wala ya ccm (Tigo) chama cha mende
 
Wanawake sikilizeni kuna kitabia mnacho ambacho binafsi huwa kinatukera sana sisi wanaume. Wanawake nataka niwambie ukweli utakuta mmekwaruzana na demu/mpenzi wako afu anakwambia "NILIJUA TU UTAKUJA KUNIACHA NA KUCHEZEA USICHANA WANGU" Kina dada Aliyekuharibia usichana wako ni Mwanaume aliyekutoa BIKRA kisha akauacha huyo ndo mpe hzo lawama me niliyekukuta huna Bikra usinipe hzo lawama hta kama nakuacha kiroho safi kuwa Mpole, mpe hzo lawama aliyekutoa bikra akauacha. Sijakukuta na Bikra afu useme nmechezea Ubinti wako shenzi kabisa.

Wanaume ukiona mwanamke anakwambia hvo, Mwambie aliyeharibu usichana wako aliyekutoa bikra akauacha me hata..

NB: Karibuni 5N mliman hapa kwa aliye karibu tunywe maji.
salute, na ukioa mke asipokuwa bikra na wewe kama hujawahi toa bikra, hakikisha unapiga madem mpaka upate bikra!
 
Duuh! Ila wewe mkuu haukuwahi kumfanyia visa vyovyote vile? Mfano kumpiga au kumsaliti
Sijawahi mpiga wala kumsaliti mpaka namuacha huwa sipendi dharau kabisa, kwenye mahusiano heshima ikishuka bora ukimbie ukijidai mfilipino utakufa na angeniua yule mbuzi mtu
 
Kakuachia laana kwani amekuzaa hahaaa Jamii Forum bhana [emoji56]
Aliuza mechi alafu dharau nying,jeuri nyingi anawaambia marafik zake siwezi kumuacha kwa sababu nlimbikiri, nlishindwa vumilia upuuz wake nkamuacha zimebaki lawama tu anadai nlitaka kumchezea tu na laana kaniachia [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hu
Ninamuonea huruma yule tu nilie mtoa ubikra wake waliobaki mtanisamehe
na haja ya kumwonea huruma bali umemsaidia kwani haingetoka?
Ila ingependeza kama ungemwoa kwa kweli mngebaki na historia nzuri maishani
 
Back
Top Bottom