Aliyekuwa anakupeleka hotels kubwa na adventures ndio huyo huyo akuoe, tusipeane stress ukubwani

Ewaaa....m

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 

Kwa kifupi una wa shauri hawa Dada zetu waangalie wasi haribu maisha kwa kuwa na mahusiano ya Tamaa yasiyo na future, andiko zuri sana kwenye mistari michache.
 
Hii ni ngumu sana kwa wanawake wa miaka 18-25, maana wale ambao ni worthy hawaonyeshi tabia halisi za mwanaume, wako submissive na nyie hamuwataki, ila wale playboys wanaonyesha Kila sifa ya mwanaume halisi ambaye wanawake wengi wanataka, at the end of the day kinawatokea Cha kutokea mnaanza kumuomba Mungu akupatie mcha Mungu na Mungu alivyo fundi anakupatia wa kufanana naye, nimeshuhudia na Mungu hakosei kabisa.
 
Waambie hivi.....ukiona unapewa mitoko matata jiandae kisaikolojia...hiyo ndio pensheni na usitegemee ipo siku utaitwa mama mwenye nyumba.

Mume muoaji huwa na malengo ya ajabu hasa mwenye akili.
Ataanza nawe out...akiona unamfaa anaanza kukuandaa kuwa mke/mama watoto...how?
Hilo ni somo lingine
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]agiza soda kwa jina langu
 
Safi sana..Kama ambavyo Dada zako na Watoto zako wanavyozungushwa..wanavyochezewa na kudampiwa
😅😂 Mimi dada zangu wamelelewa vzuri na walizingatia mafunzo ya wazazi na dini na hatimae wana maisha mazuri na familia nzuri...
Dada zangu sio malaya sio madanga sio makahaba sio masingo maza kama wewe, umejaa laana kwa kulala na kila aina ya mwanaume umejaa laana kwa kukojolewa hovyo na wanaume... Umechoka umefubaa na mawigi yako sasa unalazimisha vijana wakuoe, akuoe nani ajuza usie na mbele wala nyuma utafia kwenu huna lolote zaidi ya magonjwa ya ngono, wakat wenzako walikua wanatunza usichana wao wewe ulikua unazurura kila club bar na pub kunywa pombe ngono na shisha 😂😅 ng'ombe tasa wewe acha kurukia wanaume usiowajua...
 
sahihi kabisa, halafu wanakuja hapa kujidai kutema nyongo
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vikiwa bado visichana vinajifanya vipo hot na expensive! Wakishafikisha miaka 30 na kuwa mangoro wanaanza kuhaha na kupanick na kwenda kwenye maombi na kwa waganga ili waolewe. Wanaishia kuwa single maza and very bitter! Stupids!!
 
Mkuu hayo mambo hayana kanuni maalum, usiumize sana kichwa. Mbona kuna wakati mtu mmoja anaweza kushindaniwa na watu zaidi ya wawili?
 
Vikiwa bado visichana vinajifanya vipo hot na expensive! Wakishafikisha miaka 30 na kuwa mangoro wanaanza kuhaha na kupanick na kwenda kwenye maombi na kwa waganga ili waolewe. Wanaishia kuwa single maza and very bitter! Stupids!!
Duuh una maneno makali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…