TANZIA Aliyekuwa Askofu Mkuu wa TAG, Prof. Rainwell Mwenesongole wa Upanga CCC ametwaliwa na Bwana!

TANZIA Aliyekuwa Askofu Mkuu wa TAG, Prof. Rainwell Mwenesongole wa Upanga CCC ametwaliwa na Bwana!

Alikuwa kiongozi mkubwa serikalini kabla ya kuacha kazi kwa hiari bila kustaafishwa wala kutumbuliwa akaenda kufanya kazi ya uchungaji
Zamani watu waliacha kazi kuwa wachungaji tofauti na sasa ambapo jobless hutafuta kuwa wachumgaji


Wachungaji. Wengi wa kilokole watu wazima wengi waliacha kazi zao nzuri TU kuwa wachumgaji watu kama Moses Kulola alikuwa architect

Mtume Maboya alikuwa Askari

Mtume na Nabii Mwingira alikuwa kiongozi KKKT
Moses Magembe alikuwa doctor nk

Kwa Sasa makanisa karibu yote makubwa kwa madogo yawe Katoliki,KKKT , Anglican, Pentecost nk yanachukua ma jobless na kuwapa uchungaji au upadri
Yesu hakuchukua mtu yeyote jobless na kumfanya mtume wote aliwaita walikuwa na kazi Zao za kuwaingizia vipato vya uhakika


Mwenisongole ni mmojawapo aliyeitwa ki kweli kweli akaacha kazi nzuri kwenda uchungaji
Hapa cha muhimu si kazi uliyokuwa ukifanya kabla haujaitwa kuwa mchungaji. Suala la msingi ni je kweli mtu -- awe au asiwe jobless -- kweli ameitwa kuwa mchungaji au kuwa mtumishi wa Mungu? Naamini Mungu akimwita mtu kweli kweli background yake doesn't matter. Ninawajua watumishi wa Mungu walioitwa wakiwa jobless lakini ni watumishi wa Mungu fire kweli kweli.
 
Hapa cha muhimu si kazi uliyokuwa ukifanya kabla haujaitwa kuwa mchungaji. Suala la msingi ni je kweli mtu -- awe au asiwe jobless -- kweli ameitwa kuwa mchungaji au kuwa mtumishi wa Mungu? Naamini Mungu akimwita mtu kweli kweli background yake doesn't matter. Ninawajua watumishi wa Mungu walioitwa wakiwa jobless lakini ni watumishi wa Mungu fire kweli kweli.
Jobless kuwa mtumishi wa Mungu siamini sana anyway ni imani yangu
 
RIP askofu.
Huyu ni miongoni mwa maaskofu wa kipentekoste aliyekuwa muadilifu sana katika masuala ya imani.
Kanisani kwake upanga miaka hiyo ya 1991 ndipo palipokuwa na ibaada mbili kwa jumapili yaani ya kiingerza na ya kiswahili.
Wengi wa maofisa wa balozi nyingi nchini waliokuwa walokole walisali kanisani kwake.
Hakika mkuu.

Huduma yake ilianzia Kinondoni A miaka ile ya 1979 kisha akahamia Kisutu girls kabla ya kujenga Kanisa kubwa hapo Olympio opposite na Mzumbe.
 
Alikuwa kiongozi mkubwa serikalini kabla ya kuacha kazi kwa hiari bila kustaafishwa wala kutumbuliwa akaenda kufanya kazi ya uchungaji
Zamani watu waliacha kazi kuwa wachungaji tofauti na sasa ambapo jobless hutafuta kuwa wachumgaji


Wachungaji. Wengi wa kilokole watu wazima wengi waliacha kazi zao nzuri TU kuwa wachumgaji watu kama Moses Kulola alikuwa architect

Mtume Maboya alikuwa Askari

Mtume na Nabii Mwingira alikuwa kiongozi KKKT
Moses Magembe alikuwa doctor nk

Kwa Sasa makanisa karibu yote makubwa kwa madogo yawe Katoliki,KKKT , Anglican, Pentecost nk yanachukua ma jobless na kuwapa uchungaji au upadri
Yesu hakuchukua mtu yeyote jobless na kumfanya mtume wote aliwaita walikuwa na kazi Zao za kuwaingizia vipato vya uhakika


Mwenisongole ni mmojawapo aliyeitwa ki kweli kweli akaacha kazi nzuri kwenda uchungaji
Ni kweli Prof Mwenesongole alikuwa Meneja wa NBC kabla ya kustaafu kwa hiyari ili amtumikie Mungu mwaka 1979
 
R.I.P legend Bishop

Sent from kekojuuuwanjawamchanga
 
Hapa cha muhimu si kazi uliyokuwa ukifanya kabla haujaitwa kuwa mchungaji. Suala la msingi ni je kweli mtu -- awe au asiwe jobless -- kweli ameitwa kuwa mchungaji au kuwa mtumishi wa Mungu? Naamini Mungu akimwita mtu kweli kweli background yake doesn't matter. Ninawajua watumishi wa Mungu walioitwa wakiwa jobless lakini ni watumishi wa Mungu fire kweli kweli.
Mchungaji Masanja mkandamizaji!
 
Screenshot_20211226-080437.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe, Amen
 
Sijawahi kumsikia huyu
Naona alikuwa sio mtu wa siasa na dini
Amekuwa askofu mkuu wa Tanzania Assemblies of God kwa miaka 14

Alichaguliwa baada ya kutokea mgogoro mkubwa wa kugombea uaskofu mkuu kati ya askofu Lazaro na askofu Moses Kulola, mgogoro huo ulipelekea Kanisa kugawanyika na askofu Kulola akajitenga na kuasisi EAGT.

Karibu.
 
RIP askofu.
Huyu ni miongoni mwa maaskofu wa kipentekoste aliyekuwa muadilifu sana katika masuala ya imani.
Kanisani kwake upanga miaka hiyo ya 1991 ndipo palipokuwa na ibaada mbili kwa jumapili yaani ya kiingerza na ya kiswahili.
Wengi wa maofisa wa balozi nyingi nchini waliokuwa walokole walisali kanisani kwake.
Pamoja na mambo yote aliyowahi kuyafanya, huyu Askofu hakuwa muadilifu kwa jamii kwa kipindi chote cha utawala wa Magufuli.

Huyu Askofu, yeye binafsi na kanisa lake la TAG waligeuka kuwa waongo na wanafiki ili kujipendekeza kwa Magufuli. Hawa maaskofu wa TAG na wapentekoste wengine ndio walifikia hatua ya juu ya unafiki ya kumuita na kumpa tuzo ya uadilifu Magufuli!

Wakati watanzania wakiuwawa, wakiteswa, kudhulumiwa na kufanyiwa kila ubaya na utawala wa Magufuli, huyu askofu na wenzake walikuwa kimya au kumimina pongezi kwa Magufuli.

Kwangu binafsi ninapenda kusema huyu Marehemu hakuwa tena na mchango wowote kwa jamii ya watanzania labda kwa dini yake.

Ninatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki walioguswa na msiba huu, lakini ninasikitika kusema hapa kuwa, Marehemu hakuwa tena na faida yoyote kwetu kijamii, na bora amepumzika.
 
Alikuwa kiongozi mkubwa serikalini kabla ya kuacha kazi kwa hiari bila kustaafishwa wala kutumbuliwa akaenda kufanya kazi ya uchungaji
Zamani watu waliacha kazi kuwa wachungaji tofauti na sasa ambapo jobless hutafuta kuwa wachumgaji


Wachungaji. Wengi wa kilokole watu wazima wengi waliacha kazi zao nzuri TU kuwa wachumgaji watu kama Moses Kulola alikuwa architect

Mtume Maboya alikuwa Askari

Mtume na Nabii Mwingira alikuwa kiongozi KKKT
Moses Magembe alikuwa doctor nk

Kwa Sasa makanisa karibu yote makubwa kwa madogo yawe Katoliki,KKKT , Anglican, Pentecost nk yanachukua ma jobless na kuwapa uchungaji au upadri
Yesu hakuchukua mtu yeyote jobless na kumfanya mtume wote aliwaita walikuwa na kazi Zao za kuwaingizia vipato vya uhakika


Mwenisongole ni mmojawapo aliyeitwa ki kweli kweli akaacha kazi nzuri kwenda uchungaji
Kakobe alikuwa mtumishi Idara ya Maji.
 
Pamoja na mambo yote aliyowahi kuyafanya, huyu Askofu hakuwa muadilifu kwa jamii kwa kipindi chote cha utawala wa Magufuli.

Huyu Askofu, yeye binafsi na kanisa lake la TAG waligeuka kuwa waongo na wanafiki ili kujipendekeza kwa Magufuli. Hawa maaskofu wa TAG na wapentekoste wengine ndio walifikia hatua ya juu ya unafiki ya kumuita na kumpa tuzo ya uadilifu Magufuli!

Wakati watanzania wakiuwawa, wakiteswa, kudhulumiwa na kufanyiwa kila ubaya na utawala wa Magufuli, huyu askofu na wenzake walikuwa kimya au kumimina pongezi kwa Magufuli.

Kwangu binafsi ninapenda kusema huyu Marehemu hakuwa tena na mchango wowote kwa jamii ya watanzania labda kwa dini yake.

Ninatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki walioguswa na msiba huu, lakini ninasikitika kusema hapa kuwa, Marehemu hakuwa tena na faida yoyote kwetu kijamii, na bora amepumzika.
Kazi ya Askofu ni mtumishi wa Mungu duniani sio mtumishi wa watu duniani


Watumishi wa watu duniani ni wanasiasa na fani zingine

Kumgeuza Askofu awe msemaji wa mambo ya watu duniani ni kumtoa kwenye reli hayo mambo bakini nayo huko huko kwenye vyama vya siasa,taasisi za kiraia za kupigania haki za watu, Wabunge maaskofu hawapo duniani Kwa Mambo ya jamii wao wapo kwa Mambo ya Mungu wahubiri dunia impende Mungu na kusisitiza ibada wao wanahubiri Biblia sio katiba mpya au uhuru wa maandamano au demokrasia
 
Alikuwa kiongozi mkubwa serikalini kabla ya kuacha kazi kwa hiari bila kustaafishwa wala kutumbuliwa akaenda kufanya kazi ya uchungaji
Zamani watu waliacha kazi kuwa wachungaji tofauti na sasa ambapo jobless hutafuta kuwa wachumgaji


Wachungaji. Wengi wa kilokole watu wazima wengi waliacha kazi zao nzuri TU kuwa wachumgaji watu kama Moses Kulola alikuwa architect

Mtume Maboya alikuwa Askari

Mtume na Nabii Mwingira alikuwa kiongozi KKKT
Moses Magembe alikuwa doctor nk

Kwa Sasa makanisa karibu yote makubwa kwa madogo yawe Katoliki,KKKT , Anglican, Pentecost nk yanachukua ma jobless na kuwapa uchungaji au upadri
Yesu hakuchukua mtu yeyote jobless na kumfanya mtume wote aliowaita walikuwa na kazi Zao za kuwaingizia vipato vya uhakika


Mwenisongole ni mmojawapo aliyeitwa ki kweli kweli akaacha kazi nzuri kwenda uchungaji
Hapo kwente Katoliki sidhani kama ni kweli ulichosema.
 
Hapo kwente Katoliki sidhani kama ni kweli ulichosema.
Katoliki huajiri jobless wanamchukua kijana jobless wanamsomesha upadri halafu wanampa kazi ya upadri


Wako kibao wanasoma seminary za Katoliki majobless

Mapadri wengi unaowaona walkuwa majobless ajira yao ya kwanza ni upadri
 
Back
Top Bottom