johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Amina!Rest well Askofu
Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba na msiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina!Rest well Askofu
Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba na msiba
Ubaguzi Hadi kwa marehemu?Neno hayati linatumiwa kwa wanajeshi na amir jeshi mkuu na wasaidizi wake wawili yaani makamu na waziri mkuu.
Wengine wote ni marehemu kwa heshima zao hapa duniani
Hakika mkuu.
Huduma yake ilianzia Kinondoni A miaka ile ya 1979 kisha akahamia Kisutu girls kabla ya kujenga Kanisa kubwa hapo Olympio opposite na Mzumbe.
Mchungaji Masanja mkandamizaji!
Hujui uyasemayo.Alikuwa kiongozi mkubwa serikalini kabla ya kuacha kazi kwa hiari bila kustaafishwa wala kutumbuliwa akaenda kufanya kazi ya uchungaji
Zamani watu waliacha kazi kuwa wachungaji tofauti na sasa ambapo jobless hutafuta kuwa wachumgaji
Wachungaji. Wengi wa kilokole watu wazima wengi waliacha kazi zao nzuri TU kuwa wachumgaji watu kama Moses Kulola alikuwa architect
Mtume Maboya alikuwa Askari
Mtume na Nabii Mwingira alikuwa kiongozi KKKT
Moses Magembe alikuwa doctor nk
Kwa Sasa makanisa karibu yote makubwa kwa madogo yawe Katoliki,KKKT , Anglican, Pentecost nk yanachukua ma jobless na kuwapa uchungaji au upadri
Yesu hakuchukua mtu yeyote jobless na kumfanya mtume wote aliowaita walikuwa na kazi Zao za kuwaingizia vipato vya uhakika
Mwenisongole ni mmojawapo aliyeitwa ki kweli kweli akaacha kazi nzuri kwenda uchungaji
Mutukula bwashee!Mwaka huo ulikuwa wap bwashee
Kakobe alikuwa Dj
Studio yake iliitwa Edition Mulanga!
Kazi ya Askofu ni mtumishi wa Mungu duniani sio mtumishi wa watu duniani
Watumishi wa watu duniani ni wanasiasa na fani zingine
Kumgeuza Askofu awe msemaji wa mambo ya watu duniani ni kumtoa kwenye reli hayo mambo bakini nayo huko huko kwenye vyama vya siasa,taasisi za kiraia za kupigania haki za watu, Wabunge maaskofu hawapo duniani Kwa Mambo ya jamii wao wapo kwa Mambo ya Mungu wahubiri dunia impende Mungu na kusisitiza ibada wao wanahubiri Biblia sio katiba mpya au uhuru wa maandamano au demokrasia
Wengi wa jobless ni njaa imewapeleka huko na wengi ni wapigaji, Mimi wachungaji wangu wote walikuwa na kazi zao nzuri na ni wasomi, so uchungaji ni witoJobless kuwa mtumishi wa Mungu siamini sana anyway ni imani yangu
Mutukula bwashee!
Alikuwa kiongozi mkubwa serikalini kabla ya kuacha kazi kwa hiari bila kustaafishwa wala kutumbuliwa akaenda kufanya kazi ya uchungaji
Zamani watu waliacha kazi kuwa wachungaji tofauti na sasa ambapo jobless hutafuta kuwa wachumgaji
Wachungaji. Wengi wa kilokole watu wazima wengi waliacha kazi zao nzuri TU kuwa wachumgaji watu kama Moses Kulola alikuwa architect
Mtume Maboya alikuwa Askari
Mtume na Nabii Mwingira alikuwa kiongozi KKKT
Moses Magembe alikuwa doctor nk
Kwa Sasa makanisa karibu yote makubwa kwa madogo yawe Katoliki,KKKT , Anglican, Pentecost nk yanachukua ma jobless na kuwapa uchungaji au upadri
Yesu hakuchukua mtu yeyote jobless na kumfanya mtume wote aliowaita walikuwa na kazi Zao za kuwaingizia vipato vya uhakika
Mwenisongole ni mmojawapo aliyeitwa ki kweli kweli akaacha kazi nzuri kwenda uchungaji
RIP askofu.
Huyu ni miongoni mwa maaskofu wa kipentekoste aliyekuwa muadilifu sana katika masuala ya imani.
Kanisani kwake upanga miaka hiyo ya 1991 ndipo palipokuwa na ibaada mbili kwa jumapili yaani ya kiingerza na ya kiswahili.
Wengi wa maofisa wa balozi nyingi nchini waliokuwa walokole walisali kanisani kwake.
Kakobe alikuwa anarekodi na kuuza kanda pale Temeke!Dj tena???habar hiz unezipata wap bwashee?????
Sema wengine lkn sio kanisa katolikiAlikuwa kiongozi mkubwa serikalini kabla ya kuacha kazi kwa hiari bila kustaafishwa wala kutumbuliwa akaenda kufanya kazi ya uchungaji
Zamani watu waliacha kazi kuwa wachungaji tofauti na sasa ambapo jobless hutafuta kuwa wachumgaji
Wachungaji. Wengi wa kilokole watu wazima wengi waliacha kazi zao nzuri TU kuwa wachumgaji watu kama Moses Kulola alikuwa architect
Mtume Maboya alikuwa Askari
Mtume na Nabii Mwingira alikuwa kiongozi KKKT
Moses Magembe alikuwa doctor nk
Kwa Sasa makanisa karibu yote makubwa kwa madogo yawe Katoliki,KKKT , Anglican, Pentecost nk yanachukua ma jobless na kuwapa uchungaji au upadri
Yesu hakuchukua mtu yeyote jobless na kumfanya mtume wote aliowaita walikuwa na kazi Zao za kuwaingizia vipato vya uhakika
Mwenisongole ni mmojawapo aliyeitwa ki kweli kweli akaacha kazi nzuri kwenda uchungaji
Sidhani kama unajua unachokizungumza mkuu.Katoliki huajiri jobless wanamchukua kijana jobless wanamsomesha upadri halafu wanampa kazi ya upadri
Wako kibao wanasoma seminary za Katoliki majobless
Mapadri wengi unaowaona walkuwa majobless ajira yao ya kwanza ni upadri
Nyongeza yangu katika hili:Alikuwa kiongozi mkubwa serikalini kabla ya kuacha kazi kwa hiari bila kustaafishwa wala kutumbuliwa akaenda kufanya kazi ya uchungaji
Zamani watu waliacha kazi kuwa wachungaji tofauti na sasa ambapo jobless hutafuta kuwa wachumgaji
Wachungaji. Wengi wa kilokole watu wazima wengi waliacha kazi zao nzuri TU kuwa wachumgaji watu kama Moses Kulola alikuwa architect
Mtume Maboya alikuwa Askari
Mtume na Nabii Mwingira alikuwa kiongozi KKKT
Moses Magembe alikuwa doctor nk
Kwa Sasa makanisa karibu yote makubwa kwa madogo yawe Katoliki,KKKT , Anglican, Pentecost nk yanachukua ma jobless na kuwapa uchungaji au upadri
Yesu hakuchukua mtu yeyote jobless na kumfanya mtume wote aliowaita walikuwa na kazi Zao za kuwaingizia vipato vya uhakika
Mwenisongole ni mmojawapo aliyeitwa ki kweli kweli akaacha kazi nzuri kwenda uchungaji
Taaluma huzipata baada ya kuwa mapadri akishamaliza kupewa upadri ndipo hutakiwa kusomea taaluma nyingine akitaka lakini kuingia upadri huwa ni jobless akishapata job ya upadri ndio hupewa ruksa kusomea taaluma zingineSidhani kama unajua unachokizungumza mkuu.
Unajua mapadre wana taaluma mbalimbali, kuna madaktari, walimu, wahandisi n.k ?
Kusifia na kubariki yanayotendwa na watawala hapo wako sahihi??Kazi ya Askofu ni mtumishi wa Mungu duniani sio mtumishi wa watu duniani
Watumishi wa watu duniani ni wanasiasa na fani zingine
Kumgeuza Askofu awe msemaji wa mambo ya watu duniani ni kumtoa kwenye reli hayo mambo bakini nayo huko huko kwenye vyama vya siasa,taasisi za kiraia za kupigania haki za watu, Wabunge maaskofu hawapo duniani Kwa Mambo ya jamii wao wapo kwa Mambo ya Mungu wahubiri dunia impende Mungu na kusisitiza ibada wao wanahubiri Biblia sio katiba mpya au uhuru wa maandamano au demokrasia
Kanisa Katoliki limo pia huwachukua vijana jobless kutoka seminary za Katoliki na kuwapa upadriSema wengine lkn sio kanisa katoliki
Huyu alikuwa ameshastaafu ukuu wa TAG miaka mingi nyuma. Zaidi ya miaka 10 iliyopita, kuna Askofu Mkuu mwingine na si huyu aliyetwaliwa na Bwana. Tuzo aliyopewa Hayati JPM, ilikuwa ni baada ya kupambana vizuri sana na janga la Corona awamu ya kwanza. Haya mengine uliyoyasema humu unaweza kuyathibitisha, just in case?Pamoja na mambo yote aliyowahi kuyafanya, huyu Askofu hakuwa muadilifu kwa jamii kwa kipindi chote cha utawala wa Magufuli.
Huyu Askofu, yeye binafsi na kanisa lake la TAG waligeuka kuwa waongo na wanafiki ili kujipendekeza kwa Magufuli. Hawa maaskofu wa TAG na wapentekoste wengine ndio walifikia hatua ya juu ya unafiki ya kumuita na kumpa tuzo ya uadilifu Magufuli!
Wakati watanzania wakiuwawa, wakiteswa, kudhulumiwa na kufanyiwa kila ubaya na utawala wa Magufuli, huyu askofu na wenzake walikuwa kimya au kumimina pongezi kwa Magufuli.
Kwangu binafsi ninapenda kusema huyu Marehemu hakuwa tena na mchango wowote kwa jamii ya watanzania labda kwa dini yake.
Ninatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki walioguswa na msiba huu, lakini ninasikitika kusema hapa kuwa, Marehemu hakuwa tena na faida yoyote kwetu kijamii, na bora amepumzika.