TANZIA Aliyekuwa Askofu Mkuu wa TAG, Prof. Rainwell Mwenesongole wa Upanga CCC ametwaliwa na Bwana!

TANZIA Aliyekuwa Askofu Mkuu wa TAG, Prof. Rainwell Mwenesongole wa Upanga CCC ametwaliwa na Bwana!

Alikuwa kiongozi mkubwa serikalini kabla ya kuacha kazi kwa hiari bila kustaafishwa wala kutumbuliwa akaenda kufanya kazi ya uchungaji
Zamani watu waliacha kazi kuwa wachungaji tofauti na sasa ambapo jobless hutafuta kuwa wachumgaji


Wachungaji. Wengi wa kilokole watu wazima wengi waliacha kazi zao nzuri TU kuwa wachumgaji watu kama Moses Kulola alikuwa architect

Mtume Maboya alikuwa Askari

Mtume na Nabii Mwingira alikuwa kiongozi KKKT
Moses Magembe alikuwa doctor nk

Kwa Sasa makanisa karibu yote makubwa kwa madogo yawe Katoliki,KKKT , Anglican, Pentecost nk yanachukua ma jobless na kuwapa uchungaji au upadri
Yesu hakuchukua mtu yeyote jobless na kumfanya mtume wote aliowaita walikuwa na kazi Zao za kuwaingizia vipato vya uhakika


Mwenisongole ni mmojawapo aliyeitwa ki kweli kweli akaacha kazi nzuri kwenda uchungaji
Hujui uyasemayo.
 
Hayo.mambo ya Mungu ni yap yasiyokuwa ya kijamii?
Kazi ya Askofu ni mtumishi wa Mungu duniani sio mtumishi wa watu duniani


Watumishi wa watu duniani ni wanasiasa na fani zingine

Kumgeuza Askofu awe msemaji wa mambo ya watu duniani ni kumtoa kwenye reli hayo mambo bakini nayo huko huko kwenye vyama vya siasa,taasisi za kiraia za kupigania haki za watu, Wabunge maaskofu hawapo duniani Kwa Mambo ya jamii wao wapo kwa Mambo ya Mungu wahubiri dunia impende Mungu na kusisitiza ibada wao wanahubiri Biblia sio katiba mpya au uhuru wa maandamano au demokrasia
 
Jobless kuwa mtumishi wa Mungu siamini sana anyway ni imani yangu
Wengi wa jobless ni njaa imewapeleka huko na wengi ni wapigaji, Mimi wachungaji wangu wote walikuwa na kazi zao nzuri na ni wasomi, so uchungaji ni wito
 
Alikuwa kiongozi mkubwa serikalini kabla ya kuacha kazi kwa hiari bila kustaafishwa wala kutumbuliwa akaenda kufanya kazi ya uchungaji
Zamani watu waliacha kazi kuwa wachungaji tofauti na sasa ambapo jobless hutafuta kuwa wachumgaji


Wachungaji. Wengi wa kilokole watu wazima wengi waliacha kazi zao nzuri TU kuwa wachumgaji watu kama Moses Kulola alikuwa architect

Mtume Maboya alikuwa Askari

Mtume na Nabii Mwingira alikuwa kiongozi KKKT
Moses Magembe alikuwa doctor nk

Kwa Sasa makanisa karibu yote makubwa kwa madogo yawe Katoliki,KKKT , Anglican, Pentecost nk yanachukua ma jobless na kuwapa uchungaji au upadri
Yesu hakuchukua mtu yeyote jobless na kumfanya mtume wote aliowaita walikuwa na kazi Zao za kuwaingizia vipato vya uhakika


Mwenisongole ni mmojawapo aliyeitwa ki kweli kweli akaacha kazi nzuri kwenda uchungaji
 
RIP askofu.
Huyu ni miongoni mwa maaskofu wa kipentekoste aliyekuwa muadilifu sana katika masuala ya imani.
Kanisani kwake upanga miaka hiyo ya 1991 ndipo palipokuwa na ibaada mbili kwa jumapili yaani ya kiingerza na ya kiswahili.
Wengi wa maofisa wa balozi nyingi nchini waliokuwa walokole walisali kanisani kwake.
 
Alikuwa kiongozi mkubwa serikalini kabla ya kuacha kazi kwa hiari bila kustaafishwa wala kutumbuliwa akaenda kufanya kazi ya uchungaji
Zamani watu waliacha kazi kuwa wachungaji tofauti na sasa ambapo jobless hutafuta kuwa wachumgaji


Wachungaji. Wengi wa kilokole watu wazima wengi waliacha kazi zao nzuri TU kuwa wachumgaji watu kama Moses Kulola alikuwa architect

Mtume Maboya alikuwa Askari

Mtume na Nabii Mwingira alikuwa kiongozi KKKT
Moses Magembe alikuwa doctor nk

Kwa Sasa makanisa karibu yote makubwa kwa madogo yawe Katoliki,KKKT , Anglican, Pentecost nk yanachukua ma jobless na kuwapa uchungaji au upadri
Yesu hakuchukua mtu yeyote jobless na kumfanya mtume wote aliowaita walikuwa na kazi Zao za kuwaingizia vipato vya uhakika


Mwenisongole ni mmojawapo aliyeitwa ki kweli kweli akaacha kazi nzuri kwenda uchungaji
Sema wengine lkn sio kanisa katoliki
 
Katoliki huajiri jobless wanamchukua kijana jobless wanamsomesha upadri halafu wanampa kazi ya upadri


Wako kibao wanasoma seminary za Katoliki majobless

Mapadri wengi unaowaona walkuwa majobless ajira yao ya kwanza ni upadri
Sidhani kama unajua unachokizungumza mkuu.

Unajua mapadre wana taaluma mbalimbali, kuna madaktari, walimu, wahandisi n.k ?
 
Alikuwa kiongozi mkubwa serikalini kabla ya kuacha kazi kwa hiari bila kustaafishwa wala kutumbuliwa akaenda kufanya kazi ya uchungaji
Zamani watu waliacha kazi kuwa wachungaji tofauti na sasa ambapo jobless hutafuta kuwa wachumgaji


Wachungaji. Wengi wa kilokole watu wazima wengi waliacha kazi zao nzuri TU kuwa wachumgaji watu kama Moses Kulola alikuwa architect

Mtume Maboya alikuwa Askari

Mtume na Nabii Mwingira alikuwa kiongozi KKKT
Moses Magembe alikuwa doctor nk

Kwa Sasa makanisa karibu yote makubwa kwa madogo yawe Katoliki,KKKT , Anglican, Pentecost nk yanachukua ma jobless na kuwapa uchungaji au upadri
Yesu hakuchukua mtu yeyote jobless na kumfanya mtume wote aliowaita walikuwa na kazi Zao za kuwaingizia vipato vya uhakika


Mwenisongole ni mmojawapo aliyeitwa ki kweli kweli akaacha kazi nzuri kwenda uchungaji
Nyongeza yangu katika hili:
Huyo Mch. Maghembe ni Daktari mpaka leo, sema tu kwa sasa hafanyi tena kazi ya udaktari, lakini bado yule ni daktari maisha yake yote. Kukitokea dharura yoyote, utamuona siku hiyo anaingia tena wodini
Pia Mwalimu Mwalasege alikuwa ameteuliwa na Rais kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya, mwanzoni pale wakati anaanza kazi ya ualimu!
 
Sidhani kama unajua unachokizungumza mkuu.

Unajua mapadre wana taaluma mbalimbali, kuna madaktari, walimu, wahandisi n.k ?
Taaluma huzipata baada ya kuwa mapadri akishamaliza kupewa upadri ndipo hutakiwa kusomea taaluma nyingine akitaka lakini kuingia upadri huwa ni jobless akishapata job ya upadri ndio hupewa ruksa kusomea taaluma zingine


Ninachoongelea ni huu utaratibu wa kuchukua majobless na kuyapa upadri au uchungaji
 
Kazi ya Askofu ni mtumishi wa Mungu duniani sio mtumishi wa watu duniani


Watumishi wa watu duniani ni wanasiasa na fani zingine

Kumgeuza Askofu awe msemaji wa mambo ya watu duniani ni kumtoa kwenye reli hayo mambo bakini nayo huko huko kwenye vyama vya siasa,taasisi za kiraia za kupigania haki za watu, Wabunge maaskofu hawapo duniani Kwa Mambo ya jamii wao wapo kwa Mambo ya Mungu wahubiri dunia impende Mungu na kusisitiza ibada wao wanahubiri Biblia sio katiba mpya au uhuru wa maandamano au demokrasia
Kusifia na kubariki yanayotendwa na watawala hapo wako sahihi??
 
Pamoja na mambo yote aliyowahi kuyafanya, huyu Askofu hakuwa muadilifu kwa jamii kwa kipindi chote cha utawala wa Magufuli.

Huyu Askofu, yeye binafsi na kanisa lake la TAG waligeuka kuwa waongo na wanafiki ili kujipendekeza kwa Magufuli. Hawa maaskofu wa TAG na wapentekoste wengine ndio walifikia hatua ya juu ya unafiki ya kumuita na kumpa tuzo ya uadilifu Magufuli!

Wakati watanzania wakiuwawa, wakiteswa, kudhulumiwa na kufanyiwa kila ubaya na utawala wa Magufuli, huyu askofu na wenzake walikuwa kimya au kumimina pongezi kwa Magufuli.

Kwangu binafsi ninapenda kusema huyu Marehemu hakuwa tena na mchango wowote kwa jamii ya watanzania labda kwa dini yake.

Ninatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki walioguswa na msiba huu, lakini ninasikitika kusema hapa kuwa, Marehemu hakuwa tena na faida yoyote kwetu kijamii, na bora amepumzika.
Huyu alikuwa ameshastaafu ukuu wa TAG miaka mingi nyuma. Zaidi ya miaka 10 iliyopita, kuna Askofu Mkuu mwingine na si huyu aliyetwaliwa na Bwana. Tuzo aliyopewa Hayati JPM, ilikuwa ni baada ya kupambana vizuri sana na janga la Corona awamu ya kwanza. Haya mengine uliyoyasema humu unaweza kuyathibitisha, just in case?
 
Back
Top Bottom