johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Ni kweli kabisa.Huyu alikuwa ameshastaafu ukuu wa TAG miaka mingi nyuma. Zaidi ya miaka 10 iliyopita, kuna Askofu Mkuu mwingine na si huyu aliyetwaliwa na Bwana. Tuzo aliyopewa Hayati JPM, ilikuwa ni baada ya kupambana vizuri sana na janga la Corona awamu ya kwanza. Haya mengine uliyoyasema humu unaweza kuyathibitisha, just in case?
Askofu mkuu wa sasa wa TAG ni Dr Barnabas Mtokambali