Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unataka kusema wote waliopata Corona,walikua hawachukuwi tahadhari!?Hili ndilo tatizo la elimu yetu. Watu hawako informed na uelewa wao uko chini sana. Na mbaya zaidi nikishaona mtu kaanza sentensi na ''kwa hiyo... '' ni lazima atamalizia na conclusion ya kijinga. Huwezi kukaa nyumbani muda wote. Hata hao wazee kwa maisha ya kiafrika yalivyo hawawezi kukaa nyumbani muda wote. Cha muhimu ni kuchukuwa hatua. Bila shaka unazijua kwani zinaimbwa kila siku... ni mwaka sasa.
Nilitegemea hili. Sisi wabongo wengi ni watu wabishi na mtu akiambiwa ukweli anatahayari. Rudia kusoma majibizano yetu uone ni nani ana matatizo.Una matatizo makubwa Sana
Wewe nawe. KWANI ULITAKA WAFE NA NINI??? 😬😬😬😬😬wabongo mnaakili ndogo za kipuuzi kweli kweli,kila kifo ni Corona?
kabla ya neno Corona huko mahospitalini kila siku walikua watu wakifa na kuzikwa..kila siku iendayo kwa MUNGU. Hivi hizi akili za kipumbavu namna hii mnatoa wapi?
Kwani ulitaka WAFE na nini?Nina hakika wewe UNA MATATIZO YA AKILI! Hivi kwako kila kifo - chanzo na sababu yake ni Corona? Kweli? Au na wewe ni kati ya wale waj**** wachache mnaolipwa vijisenti kuropokaropoka mambo ya upuuzi humu JF?
Naiamini wewe ni muungwana mkuu.mtake radhi.itakuwa umeonyesha uungwana mkuu.zinatoka mndukuni kwako.
Bidashi nae si ilikuwa Kazi yake au unajisahaulisha tu Ndugu?Mna vituko
corona haiuwi gaflaNani kakwambia kuwa ili corona inakondesha?
Mkuu Una matatizo sanaNilitegemea hili. Sisi wabongo wengi ni watu wabishi na mtu akiambiwa ukweli anatahayari. Rudia kusoma majibizano yetu uone ni nani ana matatizo.
Here we go again..... ''Kwa hiyo....''. Watu wenye kawaida ya kuanza sentensi na maneno ''kwa hiyo.....'' kwenye mijadala mara zote wanafanya wrong conclusion. Ni nani kasema wote waliopata walikuwa hawachukui tahadhari ndugu wee? Kuna wengine wamechukuwa tahadhari zote lakini mpumbavu mmoja asiyechukuwa tahadhari akasababisha waambukizwe. Ndiyo maana tunasema kila mtu achukuwe hatua.Kwa hiyo unataka kusema wote waliopata Corona,walikua hawachukuwi tahadhari!?
Maandiko hayaja wahi kusema uongo. Hata uwe na kiburi kiasi gani.. Utakufa tuu..Vicky Kamata atangaza kuondokewa na mwenza wake Dkt. Servacius Beda Likwelile. Moja ya wahadhiri nguli na wanazuoni wa kitanzania Dkt. Servacius Likwelile hatunaye. Dkt. Likwelile amewahi kuhudumu katika Wizara ya Fedha na Mipango kama Katibu Mkuu kabla ya uteuzi wake kutenguliwa mwaka 2016.
Pia soma
- Vicky Kamata afunga Ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk. Likwelile
Njia nzuri ya kuishinda Corona ni kuimarisha Kinga zako za Mwili,haya ya Barakoa ni kujiongezea matatizo kwenye swala zima la upumuwaji,hasa wale wenye pumu toka wakiwa wadogo!!Here we go again..... ''Kwa hiyo....''. Watu wenye kawaida ya kuanza sentensi na maneno ''kwa hiyo.....'' kwenye mijadala mara zote wanafanya wrong conclusion. Ni nani kasema wote waliopata walikuwa hawachukui tahadhari ndugu wee? Kuna wengine wamechukuwa tahadhari zote lakini mpumbavu mmoja asiyechukuwa tahadhari akasababisha waambukizwe. Ndiyo maana tunasema kila mtu achukuwe hatua.
Hivi picha za ajali ya Mbunge Nditiye zilitolewa kwa umma? Nauliza tuAjali ya gari Dodoma tena... au..?!
Mkuu woga umetanda kila mahali....kilichobakia ni kujikabidhi tu kwa Mungu maana hali imeshakuwa mbaya sana......Tukimbilie wapi mkuu au tusubiri tu maana kuna watu wana vaa barakoa bado ina wabeba!
Pengine siku sio nyingi misiba ikakosa watu kwa kuhofia usalama wa afya!
Tuendelee kuchukua tahadhari na kumuomba Mungu maana giza limetanda pengine ndio pana karibia kupambazuka
Nilikuwa napiga beer juzi hapo Beda Park mzee nae nilikuwa namuona one one time
You are totally wrong. Kuna mamilioni ya watu ambao hata wangefanya juhudi namna gani kuongeza kinga lakini wakipata corona itakuwa fatal. Ndiyo maana nasema watanzania wengi hatuko informed na suala zima la corona kwa hiyo tunakuja na dhana potofu nyingi. Nchi wanazotumia barakoa wametoa mwongozo kabisa... ''kwa wale wenye matatizo ya kiafya wanapovaa barakoa basi wasivae''. Pia kuvaa barakoa mtu havai muda wote. Ni pale unapokuwa kwenye sehemu ambayo ina watu wengi na social distance haiwezekani.Njia nzuri ya kuishinda Corona ni kuimarisha Kinga zako za Mwili,haya ya Barakoa ni kujiongezea matatizo kwenye swala zima la upumuwaji,hasa wale wenye pumu toka wakiwa wadogo!!
Nahisi ile kubaniwa nafasi ya AU na serikali ya meko kumemuumiza sana.huyu ni presha lakini na kafia nyumbani tuache speculation
Halafu hawa mapacha kama Thom And Jerry ...Eeeh[emoji15][emoji15][emoji15]View attachment 1707190