TANZIA Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Servacius Likwelile afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Servacius Likwelile afariki dunia

Duuh wazee wetu wanaisha Oooh Mungu tuhurumuw sisi waja wako si lolote si chochote
 
Nina hakika wewe UNA MATATIZO YA AKILI! Hivi kwako kila kifo - chanzo na sababu yake ni Corona? Kweli? Au na wewe ni kati ya wale waj**** wachache mnaolipwa vijisenti kuropokaropoka mambo ya upuuzi humu JF?
Mbona wewe ni mpuuzi sana lkn bado watu wanakuvumilia na kukuheshimu kwa michango yako hata kama ni ya kipuuzi?
 
Mbona wewe ni mpuuzi sana lkn bado watu wanakuvumilia na kukuheshimu kwa michango yako hata kama ni ya kipuuzi?
Ukivuka mipaka lazima uambiwe ukweli ili ujue kuwa ulichoandika hakina maana hasa hasa inapohusu masuala makini na yanayohusu na kukugusa taarifa za maisha na misiba humu JF. Huo ndiyo ukweli labda kilichozidi hapo kwenye mchango wangu ni lugha kali! Kwa hilo nasema SORRY!
 
Ukivuka mipaka lazima uambiwe ukweli ili ujue kuwa ulichoandika hakina maana hasa hasa inapohusu masuala makini na yanayohusu na kukugusa taarifa za maisha na misiba humu JF. Huo ndiyo ukweli labda kilichozidi hapo kwenye mchango wangu ni lugha kali! Kwa hilo nasema SORRY!
Hongera sana kwa uungwana
 
Wizara ya Fedha na Mipango? Na hela zote hivyo hivyo imepita nae?
 
Corona itamalizika kwa rika zote kufuata masharti. Hata mzee akikaa nyumbani kama kijana hafuati masharti atampelekea virus yule mzee aliyebaki nyumbani. Upo hapo?
Kwa hiyo unatushauri wote tukae Nyumbani!? Na nani atakua barabarani kuendesha Maisha yetu ya kila siku!?
 
Kwa hiyo unatushauri wote tukae Nyumbani!? Na nani atakua barabarani kuendesha Maisha yetu ya kila siku!?
Hili ndilo tatizo la elimu yetu. Watu hawako informed na uelewa wao uko chini sana. Na mbaya zaidi nikishaona mtu kaanza sentensi na ''kwa hiyo... '' ni lazima atamalizia na conclusion ya kijinga. Huwezi kukaa nyumbani muda wote. Hata hao wazee kwa maisha ya kiafrika yalivyo hawawezi kukaa nyumbani muda wote. Cha muhimu ni kuchukuwa hatua. Bila shaka unazijua kwani zinaimbwa kila siku... ni mwaka sasa.
 
Back
Top Bottom