witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Yes anapenda sana heneiken[emoji482][emoji482]Nilikuwa napiga beer juzi hapo Beda Park mzee nae nilikuwa namuona one one time
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes anapenda sana heneiken[emoji482][emoji482]Nilikuwa napiga beer juzi hapo Beda Park mzee nae nilikuwa namuona one one time
Nani atatushauri sasa[emoji26][emoji26]Wazee tunaisha.......moyo unaenda mbio kwa uoga.....nikiiwazia tu corona najihisi pumzi inakata muda wowote.......
Liwalo na liwe......
Utakufa wewe penda kubeba beba mizigoMi nauwaza msambwanda wa mke wake tu,Vick Kamata,aje kwangu tu,ni mlee
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo unasemaje?Mke wake si wanasema naye alikufa? Zamani mke akifa na mwanamume akafuatia kwa karibu, kizingizio kilikuwa ni ugonjwa fulani - sasa mna kisingizio kingine! Kwani kile cha kwanza kimeisha? Watanzania bhana!
mno mkuu jiwe alitaka kumkomesha tu tangu alivyoenda kutibiwa nje wakati jiwe kazuia pale visa ndio vilianzaNahisi ile kubaniwa nafasi ya AU na serikali ya meko kumemuumiza sana.
Ukiudhiwa, achilia machungu. Ukiendelea kuyabeba ni hatari kiafya.
I miss u karibu dear[emoji8][emoji8][emoji8][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Missin u dada wa mujini🥰🥰🥰
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787]Huyo Vicky nilijua ni mtoto wakeee, kumbe ni danga
tukishakubaliana then what nextIfike mahali tukubaliane kuwa hali ni mbaya badala ya kuendelea kudanganyana kuwa Korona ipo chache ilihali tunakufa kizungu na tai shingoni.
Yaani mpwa we acha tu....mifuko imetuna kumbe imejaa tangawizi...maana imekuwa spana mkononi.....kila saa unajitafuna tu kama unakula mirungi......
hajafa kwa corona ni presha na kafia nyumbani acha speculationR.I.P
Corona ipo chukua tahadhari
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌Yaani mpwa we acha tu....mifuko imetuna kumbe imejaa tangawizi...maana imekuwa spana mkononi.....kila saa unajitafuna tu kama unakula mirungi......
Mkuu sija suspect kua corona imehusika.hajafa kwa corona ni presha na kafia nyumbani acha speculation
Tafuna tuu dear, bado nakupenda[emoji8][emoji8]Yaani mpwa we acha tu....mifuko imetuna kumbe imejaa tangawizi...maana imekuwa spana mkononi.....kila saa unajitafuna tu kama unakula mirungi......
Waooow [emoji28][emoji28][emoji8][emoji8]Missin u dada wa mujini[emoji3059][emoji3059][emoji3059]