TANZIA Aliyekuwa Kiongozi wa Freemasons Tanzania, Sir Andy Chande afariki dunia

uwoga wako ndio umasikini wako
 
Ila huyu jamaa alikuwa anatisha na Videvu na macho yale utafikiri Carl Peters.

Alikuwa rafiki mkubwa wa Bamkubwa Mkapa na yeye ndio aliyempeleka huko.

Apumzishwe mahala anapostahili.
Aliyempeleka wapi?
 
Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete wamakutana naye.
Faru John sijui alikuwa anangoja nini?
Kama kuna mwenye picha ya Faru John akiwa na Chande atuwekee hapa.
 
Masharti gani hayo magumu
 
RIP Jayantilal Keshavji Chande! At last uko na Rajani!
 
Kwanini wasife?kwani wao sio binadamu? Mbona Wanachama wa Chama cha kupiga Punyeto Tanzania aka (Chapuwata) wanakufa kila siku kwa kupiga punyeto? itakuwa ni chama cha FreeMason?
Hahahaha
 
Maziko lini?

Natamani kuona u tofauti wa wao kuzikwa. .

Au atapaa kama yule wa Siloam?
 
Kumbe viongozi wetu nao wamo,tazama hizo "shandshakes".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…