TANZIA Aliyekuwa Kiongozi wa Freemasons Tanzania, Sir Andy Chande afariki dunia

watu wazito kuelewa, mtu akiwa freemason haimaanishi kuwa hana dini
watu kundi lao wanaamini kwenye jamii kuna the choosen ones ambao ndo hukutana huko ufreemason na kujadili namna ya kusaidia jamii kwa kuiathiri kimtazamo kupitia sayansi. a sanaa
Ni kweli....wakana Mungu wakiwa ndani ya Fraternity yao.

Ila waroho sana...hawashibi. wanaamini ni elite
 
Sasa mali zote alizozitafit then leo anakufa kuna faid gani
Kila kitu duniani ni ubatili mtupu! Hapo ndo ushangae mtu anayetoa uhai wa mtu kwa sababu ya mambo ya dunia mf siasa, mali n.k
 
A knight in Africa,siyo Night in Afriva
 
Kumbe na wao wabakufa pia,
 
Kumbe nao hufa?
Kwa njia hizi inamaanisha, unafundishwa namna ya kuyafurahia maisha kwa kiwango chake cha juu. Kwa kufuata hizo kanuni tatu za upendo wa kindugu, kujiweka huru na ukweli, wakati huohuo ukijitambua na kuanza kujiandaa na kutokwepeka kwa kifo,” anaandika Chande.
 
Kunasehem ameandika kuw akili yke moyo wke pamoja na nafsi yke IPO uko Freemason. Saasa tusikie yupo ahi.atajua kuw mungu cyo mchungaj
 
Hizi habari sizielewagi kabisaa...
 
Jamaa mbona wa zamani sana yaani hata kipindi hicho baba yangu hajazaliwa nahisi miaka hiyo babu yangu anamfukuzia bibi
 
hapo ndo tujue Tanzania inaendeshwa kwa ushetani na mwenge upigwe marufuku
 
Mbuyu umedondoka!!!!
RIP the Great of all African freemansons
Kwa kweli huyo ndiyo mzizi wenyewe na sasa umeng'olewa wote! Hawana nguvu tena milele! Nguvu zao zimerudi kwa Mwenyewe The One and only Supreme Creator!
 
Kwa kweli huyo ndiyo mzizi wenyewe na sasa umeng'olewa wote! Hawana nguvu tena milele! Nguvu zao zimerudi kwa Mwenyewe The One and only Supreme Creator!
Kuna atakaye mrithi tu.ila nahisi atakuwa mswahili.
 
Ana asili ya uluguru Huyu...
Alafu Kiswahili zero! Hawa wahindi wangetoa ushirikiano wa kweli na Mama Tanzania tungekuwa mbali, lakini wao wanakwapua na kwenda kumtajirisha mzungu! Afanalek hawapati kitu tena, Mama Tanzania anawatajirisha watoto wake tu! Zabibu yake hatampa mtu aliye ikana tena! IMEKWISHA zama za kumnyanyasa Mama yetu Tanzania!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…