TANZIA Aliyekuwa Kiongozi wa Freemasons Tanzania, Sir Andy Chande afariki dunia

Death is for everyone Even your Prophets Die, No any living things will escape the Death, We still seek out how to eliminate Death at all, we know this is a problem, Scientist we are in progress to figure it out
Are you seeking to violate The Second Law of Thermodynamics?
 
Freemason yetu
Freemasons get a pile of bad rep for doing a lot of good things.

I used to date a girl whose grandfather ran for the U.S Senate. He was a Freemason and a very good family man who did a lot of good in their community.

Mnavyosikia Rotary/ Lions Club wanapeleka wagonjwa wa moyo kutibiwa bure India, zote hizo ni kazi za Freemasons katika jamii to a large extent.

Pia wameunganisha watu wa dini tofauti kufanya kazi pamoja for the common good of mankind bila ya kujali tofauti za kidini.

Dini traditional zimeshindwa hili.
 
Huu ndiyo mwisho wao wapende wasipende! Mama Tanzania amesha washtukia! Wame kwishney kabisa!
Ingekuwa rahisi hivyo kama unavyofikiri basi USA ingekuwa ilIshagapotea maana founders wa USA ni freemasons na wameshakufa wengi sana lakini USA bado ngangari na bado wapo kibao huko USA. Hivyo kusema kwamba sir chande kufariki ndiyo freemason imekufa Tanzania ni utoto na kujidanganya tu. Members wapo wengi tu na wenye majina!
 
Mimi naongelea hiyo knowledge ambayo wanatumia, ilianza kwa mababu na mabibi zetu Misri au Ethiopia kwa ujumla Africa, ikasambaa ugiriki kwa Alexander the Great na sehemu nyingi Europe, ufaransa, wakabeba kina Hitler na uingereza nao hawakubaki nyuma mpaka wakasema jua liaanzia kwao alafu linakwenda sehemu nyingine za dunia (Greenwich), mmarekani akachukua na sasa hivi nguvu zimeamia Asia, China, North Korea n.k. Hizi ni Nguvu za Muumbaji ambazo zina hama kwa wakati. Hivyo watu wenye hivyo vipaji ndiyo ambao wanaamua kuanzisha hizo cults kwa mfano skulls and bones, freemasonry, n.k. Kama una kumbuka Enzi za Bush senior hivi vikundi vilikuwa so powerful wakataka kuanzisha NWO, lakini walishindwa....nadhani umenielewa ninacho taka uelewe!
 
Baada ya kufa mtu unaweza ukatamani upate nafasi nyingine ya kurudi duniani ili utengeneze na Mungu.
 
TUSUBIRI HUKUMU YENYE HAKI KUTOKA KWA MWENYE MUNGU, SIWEZI SEMA ALIKOSEA AU ROHO YAKE INAENDA WAPI. MIMI NA YEYE NA WEWE WOTE TUNA-DHAMBI INGAWA HAZIFANANI.
 
Kumbe na freemason wanakufa.....nlkua cjui....sorry 2 him....ila Mungu wa Mbingun mpe adhabu kubwa huyu msenge.
 

Ndo nakimalizia kitabu hapa
 
Death is for everyone Even your Prophets Die, No any living things will escape the Death, We still seek out how to eliminate Death at all, we know this is a problem, Scientist we are in progress to figure it out
Do not waste your time, you will go no where. What your doing is a sign of rebellion against God, any way, God still loves you and with true repentance you can be reconciled to Him. This is your chance to repent
 
Do not waste your time, you will go no where. What your doing is a sign of rebellion against God, any way, God still loves you and with true repentance you can be reconciled to Him. This is your chance to repent
Can you prove God exists?
 
Can you prove God exists?
The fact that you do not have total control over your life is a proof that God exists. I can assure you that the control of your own breath is not in your hands.
 
The fact that you do not have total control over your life is a proof that God exists. I can assure you that the control of your own breath is not in your hands.
That is a logical non sequitur.

Do you know what that means?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…