TANZIA Aliyekuwa Kiongozi wa Freemasons Tanzania, Sir Andy Chande afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Kiongozi wa Freemasons Tanzania, Sir Andy Chande afariki dunia

Waislamu ndio waleta bugudha, haya wale Wacoptic wamewakosea nini mpaka mnaenda kujilipuwa makanisani mwao Egypt?
Unataka uhamishe huu uzi uhamie kwengine, wale wanaouliwa Africa ya kati sio watu, na wale wanaouliwa Burma na si watu, na bado hao wanaouliwa kila kukicha Syria kwa kutengeneza makundi ya kimaslahi na kuyapa majina ya kunasibishwa na uislam, Wale nao si watu au Muislam hastahili kuishi ila makafiri ndio hati miliki ya hii dunia?
 
Unataka uhamishe huu uzi uhamie kwengine, wale wanaouliwa Africa ya kati sio watu, na wale wanaouliwa Burma na si watu, na bado hao wanaouliwa kila kukicha Syria kwa kutengeneza makundi ya kimaslahi na kuyapa majina ya kunasibishwa na uislam, Wale nao si watu au Muislam hastahili kuishi ila makafiri ndio hati miliki ya hii dunia?
Makafir ndio watu gani hao?
 
Hapo ndo anaenda kujua ukweli kuwa alichokua anakiabudi c kile kilichotakiwa ndo atamjua bwana wa majeshi YESU KRISTO
 
Unajuaje kwamba wewe ndiye utakayemsaidia yeye na si wewe ndiye utakaesaidwa?

Ushaanza kujitoa kwenye hoja ya Mungu?
Hakuna aliyejitoa kwenye hoja ya Mungu, wewe mwenyewe unajua Mungu yupo, ndio maana huwa unaabudu mungu fulani. Kinachokutesa unajua mungu unayemuabudu sio wa kweli ila umejiingiza kwenye mikataba mizito ambayo huwezi kutoka na umekuwa mtumwa wa hiyo mikataba, sasa unataka kuvuruga watu ili wao nao wawe watumwa kama wewe.
Nina habari njema kwako,unaweza kutoka kwenye hiyo mikataba kiulaini na ukawa salaam na ukaipata furaha ya kweli ya maisha, huko hakuna furaha ndio maana unateseka rohoni mwako. Usiogope msaada upo
 
Hakuna aliyejitoa kwenye hoja ya Mungu, wewe mwenyewe unajua Mungu yupo, ndio maana huwa unaabudu mungu fulani. Kinachokutesa unajua mungu unayemuabudu sio wa kweli ila umejiingiza kwenye mikataba mizito ambayo huwezi kutoka na umekuwa mtumwa wa hiyo mikataba, sasa unataka kuvuruga watu ili wao nao wawe watumwa kama wewe.
Nina habari njema kwako,unaweza kutoka kwenye hiyo mikataba kiulaini na ukawa salaam na ukaipata furaha ya kweli ya maisha, huko hakuna furaha ndio maana unateseka rohoni mwako. Usiogope msaada upo
Naabudu Mungu gani na umejuaje kwamba naabudu Mungu huyo?

Au unakisia kisia tu kama unavyokisia habari za kuwepo kwa Mungu?
 
Naabudu Mungu gani na umejuaje kwamba naabudu Mungu huyo?

Au unakisia kisia tu kama unavyokisia habari za kuwepo kwa Mungu?
Sikisii nina uhakika, usipotezee, jifikirie sana na ufanye uamuzi wa kiume utakaokuletea manufaa ya milele. Nina uhakika wewe unaabudu mungu anajejua vizuri siyo wa kweli, na kwa sababu msaada upo usipotozee na usiipoteze fulsa hii. Fikiria sana unapotaka kujibu na usipoteze fulsa hii ya msaada kwako
 
Sikisii nina uhakika, usipotezee, jifikirie sana na ufanye uamuzi wa kiume utakaokuletea manufaa ya milele. Nina uhakika wewe unaabudu mungu anajejua vizuri siyo wa kweli, na kwa sababu msaada upo usipotozee na usiipoteze fulsa hii. Fikiria sana unapotaka kujibu na usipoteze fulsa hii ya msaada kwako
Hujajibu maswali yangu. Narudia.

Naabudu Mungu gani na umejuaje kwamba naabudu Mungu huyo?
 
Hujajibu maswali yangu. Narudia.

Naabudu Mungu gani na umejuaje kwamba naabudu Mungu huyo?
Siyo kila kitu kinaweza andikwa humu; ila wewe nina uhakika unamjua mungu unaemwabudu. Na kwa sababu unamjua sihitaji kukutajia. Hitaji langu na upendo wa Mungu wa kweli ni usalama wa roho yako Huko uliko si salama.
 
Siyo kila kitu kinaweza andikwa humu; ila wewe nina uhakika unamjua mungu unaemwabudu. Na kwa sababu unamjua sihitaji kukutajia. Hitaji langu na upendo wa Mungu wa kweli ni usalama wa roho yako Huko uliko si salama.
Hujajibu swali.

Kwa sababu huna jibu.

Unabwabwaja tu kwamba unajua vitu usivyojua.

Ndiyo maana unasema Mungu yupo wakati huwezi kuthibitisha.

Unasema mimi namjua Mungu wakati huwezi hata kuniambia Mungu gani, namjua vipi na wewe umejuaje kwamba namjua.

You can't be serious, you must be delirious.
 
Natafuta kazi ninaelimu kiwango cha diploma ya maendeleo ya jamii mwenye connection yeyote ya kazi naomba anitafute kwa number 0759118523
 
Back
Top Bottom