TANZIA Aliyekuwa Mbunge wa Mufindi na Waziri wa Elimu Awamu ya Tatu, Joseph Mungai afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Mbunge wa Mufindi na Waziri wa Elimu Awamu ya Tatu, Joseph Mungai afariki dunia

Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....

Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......
WEWE UNA TENDA MEMA??????? Tatzo lenu kila kitu mnageuza sisa as if HAO VIONGOZI WENU WAO WATALIONA PEPO....
 
Pole sana kwa Wafiwa, kila nafsi itaonja umauti! Safari ni moja.


BTW: Na yeye alimtabiria kifo yule mgombea?
 
Duniani tunapita apumzike kwa amani mzee Mungai ingawa niña yangu ya moyoni wakati akiwa waziri wa elimu.
Mungu amlaze pahala pema. Poleni sana wafiwa wa karibu kama hii habari iko verified. Poleni
 
Kuna Miezi mingine kama huu Nov ya Mwaka huu haifai kabisa...
 
Miezi ya mwisho wa mwaka ndio inakuwa hivi. Mara ajali, mara maafa, mara vifo vya kuugua n.k
Kuna Miezi mingine kama huu Nov ya Mwaka huu haifai kabisa...
 
Back
Top Bottom