Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati mwingine kabla hujaandika omba Mungu akupe hekimaWazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....
Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......
Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics
Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......
Ndio maana mwinyi anadunda pamoja na kuwa na miaka karibia 100......
But ...R.I.P.......
Moja ya comment mbovu kabisa....inayohusu msiba.Wazee wapumzike wakumbuke kuwa maisha yana mwisho....
Wawe wanatenda mema wanaenda zao.......
Maana huyu ndiye aliua elimu yetu kwa kuchezea chemistry+ physics
Niwakumbushe tena wazee wengine waliobaki siri ya kuishi muda mrefu ni hekima na busara......
Ndio maana mwinyi anadunda pamoja na kuwa na miaka karibia 100......
But ...R.I.P.......
Ha ha ha Sky Eclat, wanivunja mbavu!Tena nimekumbuka sheria alikuwa mama Julie Maning.
kwa hiyo huamini au?Too shallow Mungai yupi amefariki lini na wapi?
Lilianza tetemekoHiki ni nn jameni kule Zanzibar misiba huku pia misiba duh
Mmh mi mwenyewe umeniacha hoi!!!utakuwa wa 70sTena nimekumbuka sheria alikuwa mama Julie Maning.
nchi Mbili tena,?RIP Mungai.
Msiba wako ni mkubwa maana unahusisha na Nchi Jirani.
Unakumbukwa kwa kuvuruga mitaala ya Elimu kwenye utawala wa awamu ya JK.