Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha...dah!Pole sana kwa Wafiwa, kila nafsi itaonja umauti! Safari ni moja.
BTW: Na yeye alimtabiria kifo yule mgombea?
Iringa ni Ni Jukumu la UKAWA. Wakubwa uliowataja huko watatuma wawakilishiSasa hapo wakubwa sijui wataenda msiba gani? Tabora au Iringa?
Mkuu kulikuwa na Tanzania Elimu Supply tulikuwa tunapanga foleni kununua vifaa vya shule wiki moja kabla ya shule kufunguliwa, duka lao lilikuwa Samora Avenue.Mmh mi mwenyewe umeniacha hoi!!!utakuwa wa 70s
Kweli umeonja chumvi!Ninakumbuka hawa wazee kwenye moja ya mabaraza ya uwaziri awamu ya kwanza
wizara ya afya - Aaron Chiduo
" fedha- Amir Jamal
" elimu- Mama Thabita Siwale
" kilimo- Jackson Makweta
hahahahKweli umeonja chumvi!
Ahahaha,acheni masikhara!dah!Pole sana kwa Wafiwa, kila nafsi itaonja umauti! Safari ni moja.
BTW: Na yeye alimtabiria kifo yule mgombea?
Ahahaha...R.I.P Mzee!Tuwasubiri ULIPO TUPO watuambie huyu naye alisema nini kuhusu Lowassa.