kamzuzu1973
Member
- Oct 16, 2016
- 58
- 31
Nakumbukaa aiseeMagufuli alimtaja kule Kenya kwamba Tanzania ilikuwa na waziri mwenye asili ya Kenya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbukaa aiseeMagufuli alimtaja kule Kenya kwamba Tanzania ilikuwa na waziri mwenye asili ya Kenya
UKAWA inahusikaje hapa?lowasa anahusikaje mkuu hapa
mwanae alikuwa ukawa na akampigia kampeni je? unajuaje kama hakuwa nae ukawa
ARSENAL NAYO IJIANDAEKuna Miezi mingine kama huu Nov ya Mwaka huu haifai kabisa...
Dah Josef Mungai aliwahi kuwa waziri wa elimu utawala wa BM
Huyu ni mwanachama wa CHADEMATuwasubiri ULIPO TUPO watuambie huyu naye alisema nini kuhusu Lowassa.
wanasema wanaokufa november wanaingia mbinguni eti!Hawa wazee mbona wote wanatutoka katika mwezi wa marehemu wote? R.I.P waziri wa elimu wa zamani.
Hapana,bali waliozaliwa November ndo moja kwa moja Mbinguni,hakuna hukumuwanasema wanaokufa november wanaingia mbinguni eti!
munu ndo nani?rip mungai munu ailaze roho yako pema peponi