Aliyekuwa Mbunge wa Ubungo kupitia CHADEMA, Saed Kubenea amejiondoa ndani ya chama hicho na kujiunga na ACT-Wazalendo

Sababu hiyo ndio imfanye awe mtovu wa nidhamu? Na aachiwe tu
ALichokifanya kinatofauti gani na Membe na Kinana? Mbona sasa wanachadema wengi walikuwa wanalalamikia adhabu walizopewa? Utovu wa nidhamu ni kuwa na mtazamo tofauti na mwenyekiti?
 
Ana tabia kama za panya za kuuma na kupuliza
Kwanini kila anayekuwa na mtazamo wa tofauti na mwenyekiti wka CHADEMA huyo hugeuka kuwa msaliti? Sasa kuna tofauti gani na yale ya membe, Kinana na CCM wakati nyie ndiyo wale wale mnaosema CCM hakuna Demokrasia mwenyekiti ndiye mwenye maamuzi?
 
Kaogopa ushindani. Anajua angaliangushwa kwenye kura za maoni.
 
Nadhani yote hayo mliishayafikisha TAKUKURU na yakawa agenda/mjadala katika bunge la Ndugai.
Upande aliyokuwa Kubenea ulikwisha fahamika.
Wasalimie
 
ACT inashiriki kuihujumu Chadema halafu eti wanataka ushirikiano! Hakuna kitu kama hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…