ALichokifanya kinatofauti gani na Membe na Kinana? Mbona sasa wanachadema wengi walikuwa wanalalamikia adhabu walizopewa? Utovu wa nidhamu ni kuwa na mtazamo tofauti na mwenyekiti?Sababu hiyo ndio imfanye awe mtovu wa nidhamu? Na aachiwe tu
Kwanini kila anayekuwa na mtazamo wa tofauti na mwenyekiti wka CHADEMA huyo hugeuka kuwa msaliti? Sasa kuna tofauti gani na yale ya membe, Kinana na CCM wakati nyie ndiyo wale wale mnaosema CCM hakuna Demokrasia mwenyekiti ndiye mwenye maamuzi?Ana tabia kama za panya za kuuma na kupuliza
Kaogopa ushindani. Anajua angaliangushwa kwenye kura za maoni.Naamini Kubenea ana kitu kinamsumbua japo hajawa muwazi, maana nikijaribu kutafakari amekuwa akihusishwa na tuhuma za usaliti na hata kuhama chama mara kadhaa na kuna siku aliitisha press conference ikihusishwa na kutangaza kuhama chama japo alibadili gia angani.
Ila imekuwa tofauti na matarajio ya kuhama kwake maana alitarajiwa kuhamia CCM kuunga juhudi ama NCCR-Mageuzi baada ya kugain momentum lakini ameshangaza kuhamia ACT-Wazalendo.
Ameonekana mara kadhaa kupoteza imani ndani ya Chadema na kuonekana hana raha wala amani huko ndani. Nadhani Kubenea ana kitu ambacho hakiko sawa ila amekuwa akijistahi sana kuelezea umma.
Nyie kwani hamuwataki? Mnachekesha kweli nyie.Siku mkija kwuaelewa watu kama Kubenea, Dr Slaa, Zitto, na wapianaji wengine itakuwa too late
Kuwataka akina nani? Mimi siyo CCM nilikuwa mpenzi wa CHADEMA enzi za akina Dr SlaaNyie kwani hamuwataki? Mnachekesha kweli nyie.
Nadhani yote hayo mliishayafikisha TAKUKURU na yakawa agenda/mjadala katika bunge la Ndugai.Chadema alihoji sana ruzuku zinatumikaje, na wabunge kukatwa fedha zao kila mwezi kwa jina la katiba ya kinyonyaji ya Chadema, na alipinga Mwenyekiti kugombea yeye tu miaka yote mtu mmoja tu, ndio alipoanza kuondoka Chadema, na akajua kumbe Chadema ni mradi wa mtu binafsi, hasa pale Sumaye alipoambiwa sumu haionywi baada ya kutaka kugombea uenyekiti, akigombea ubunge kupitia ACT uwezekano wa kushinda Ubungo ni mkubwa kuliko Chadema kwa sasa.
Ndio siasa mkuu.Nakumbuka jamaa alivyokuwa anamshambulia Zitto kuhusu ukaribu wake na Jack Zoka. Tuhuma juu ya Zitto kuwa msaliti nk.
Leo wako pamoja.