Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
ALichokifanya kinatofauti gani na Membe na Kinana? Mbona sasa wanachadema wengi walikuwa wanalalamikia adhabu walizopewa? Utovu wa nidhamu ni kuwa na mtazamo tofauti na mwenyekiti?Sababu hiyo ndio imfanye awe mtovu wa nidhamu? Na aachiwe tu