Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Aliyekuwa Meya wa jiji la Arusha Kalist Lazaro, leo Julai 14, 2020 amejitokeza katika ofisi za CCM wilaya ya Arusha kuchukua fomu za kuwania ubunge jimbo la Arusha mjini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uzushi, huyu alihongwa pesa gani?Huyu anapaswa kupigwa sana.pesa zote walizomhonga bado tu hajaridhika?
Huyu alifanya kazi nzuri Sana alipokuwa mayor. Kwenye maswala ya maendeleo aliweka itikadi zake pembeni. Anajiamini, Kama akipewa ridhaa na chama chake anaweza kabisaHuyu mpuuzi hana hata aibu
Amefanya nini cha maana?Huyu alifanya kazi nzuri Sana alipokuwa mayor. Kwenye maswala ya maendeleo aliweka itikadi zake pembeni. Anajiamini, Kama akipewa ridhaa na chama chake anaweza kabisa
Trust me, Arusha looks interesting to me....Aliyekuwa Meya wa jiji la Arusha Kalist Lazaro, leo Julai 14, 2020 amejitokeza katika ofisi za CCM wilaya ya Arusha kuchukua fomu za kuwania ubunge jimbo la Arusha mjini.
Oh hili ni jambazi lilipiga hela kupitia polex2 za kufa mtu ili liunge mguu nia. Rchugga kamata hiyo mbogaAcha uzushi, huyu alihongwa pesa gani?
Wacha wauane kabisa. Li-chama limeishiwa limebaki kuwa sehemu ya kupigia madili. Uzuri mmoja yamejazana huko na nafasi ni chache.Arusha watauana
Ova
Lema is an old Story in A city ...Trust me,Arusha looks interesting to me....
Lema will eat all these pussies for breakfast,lunch and dinner!
Kwa Rais ilikuwa demokrasia iliyojifichaee😂Demokrasia iliyowazi!
Mataga matokeo ya Arusha yakitangazwa mtabaki mmetoa macho kama mmebanwa na mlango wa Lumumba floor 5.Lema is an old Story in A city ...